Mama mkwe anamhimiza mke wangu anichune; naomba ushauri

Ksms hukuchunwa wewe wapo watakaochunwa.

Uamuzi ni wako, uchunwe wewe au wengine.
 
Ni kweli lakini sio kwa direction hizo za Mama mkwe. Mtu hata hajazaa jamaa kawarekebishia mazingira, mke kamfungulia biashara.
Na anaendelea kutoa ushirikiano bado anasisitizwa amchune....labda kama sijaelewa kilichoandikwa.

Jamaa kama ni mimi, wala simwambii kuhusu hizo texts. Ila nitapunguza kumshirikisha katika miradi na issue za fedha.

Nitaweka budget aifate, na pesa nyingine itoke katika biashara niliyompakusaidia kwao, labda kuwe na jambo la msingi sana au dharura.

Sitaenda tena kusalimia ukweni kwa miaka 10 hadi 15, akifa sijui nani nani wa karibu ataenda mwenyewe. Nitaenda akifa baba mkwe au mama mkwe.
Nitaimarisha peripherals zangu za imani na ulinzi ikiwa ni pamoja na kuweka kamera maeneo maalumu. NA HII NI KWA SABABU YA HISIA ZA UPENDO NA USTAARABU.

Vinginevyo kwa mudi ya siku husika, ningeenda hard on them direct.... namchana mke wangu hapo hapo live, nampigia mama yake namweleza kuwa hajengi anataka kubomoa, akijibu pumba kesho tu mchakato wa talaka unaanza na nnakuja na demu la kununua lina makalio makubwa nalala nalo ndani na mwanae yupo GODDAMIT 😆
Wanaume sio wa kuwaamini aisee, pongezi kwa huyo mwanamke amefanya kazi nzuri 👏 👏
 
Hawana akili na adabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…