Mama mkwe anamhimiza mke wangu anichune; naomba ushauri

Mama mkwe anamhimiza mke wangu anichune; naomba ushauri

Pole mkuu, kuna msemo unasema Life Begin at 40, now una 35, mkeo akikuchuna akawekeze kwao, kuja kurecovery tena ni bidee sana au itakuchukua muda.

Tunaoa wanawake sababu tu ya kuendeleza kizazi, lakini mwanamke ni kiumbe kibinafsi sana, na tamaa nyingi.

Mme wake anapambana alete riziki na mali nyumbani, mali inaletwa inapitilizwa kwa Mama Mkwe, mama Mkwe naye inawezekana anahonga kwa vijana wapenda mteremko.

Ina disapoint sana, Pole mkuu, Mtaji wa Milioni 7 sio mchezo ni hela ndefu.
"Life begins at 40."
Ni kauli iliyobeba hatma ya mwanadamu hapa duniani.
Na iko connected na LUCIFER directly, wala haihusiani na umri kabisa hiyo kauli,, ukihitaji kuifahamu vyema utanitag nimwage ufafanuzi hapa kwa faida ya wengi..
 
Wewe mreta uzi kweli wewe ni wa ajabu .........funga lemba kwenye bichwa daily ..... una hakikisha unaisugua mpaka chumba chote cha kulala kinanuka kama moshi wa sigara yaani hakuna kulala...... akuombe sana pesa na wewe sugua mpaka pawake moto........hapo itakuwa ngoma droo
 
Singida once again??
Let me see you my friend,
Kifupi mimi na wewe ni kama tumeshare mke.
Isije ikawa wilaya ya Ikungi.
Mkuu hawa wasingida wewe acha tu; wanachosha vibaya.
 
"Life begins at 40."
Ni kauli iliyobeba hatma ya mwanadamu hapa duniani.
Na iko connected na LUCIFER directly, wala haihusiani na umri kabisa hiyo kauli,, ukihitaji kuifahamu vyema utanitag nimwage ufafanuzi hapa kwa faida ya wengi..
Hebu tufafanue vizuri mkuu hii hoja yako tuielewe. Una maanisha nini hasa?
 
Wewe mreta uzi kweli wewe ni wa ajabu .........funga lemba kwenye bichwa daily ..... una hakikisha unaisugua mpaka chumba chote cha kulala kinanuka kama moshi wa sigara yaani hakuna kulala...... akuombe sana pesa na wewe sugua mpaka pawake moto........hapo itakuwa ngoma droo
Mkuu hawakomesheki hawa hata uwadinyeje.....ukikomaa sana unakuwa unajiumiza mwenyewe.
 
Hebu tufafanue vizuri mkuu hii hoja yako tuielewe. Una maanisha nini hasa?
"Life starts at 40"

Kila nafsi ina namna inavyoingia kwenye mwili ili maisha yaanze na hapo ndipo huwa mtu kamili.
Binadamu wote hapa ulimwenguni wamegawiwa vipawa na karama mbali mbali.
Hii inakuwa rahisi kutokana na mfumo na kanuni za uumbaji zilizopo ambazo kila mtu anatakiwa azijue ili achague uwanja utakaomfiti yeye.
Mfano kuna mtu yeye ili awe na mafanikio mazuri na maisha yasiyokuwa na misukosuko ni anaanzisha ufugaji wa wanyama na wale wanyama wanamuinua kiuchumi na anakuwa na passion na hiyo mifugo kiasi cha kufika hata kugombana na mkewe.
Wewe utaona mafanikio kupitia yeye lakini ukijaribu kufanya wewe unakuta hufikii mafanikio kama ya yule.
Sasa wewe unajikuta ni konda Daslam kumbe kipawa chako ni Mkulima wa mpunga hivyo ulitakiwa uwe pale Kyela.
Life starts at 40..
Siku ya 40 baada ya mimba kutungwa ndio Nafsi hutoka kwenye sayari nyingine kutokana na tarehe na mwezi husika.
Nafsi ile huingia moja kwa moja kwenye tumbo la mama mjaa mzito na kujikita ndani ya mwili wa mtoto ndio maana wanawake hawezi kubeba mimba leo kisha kesho au baada ya siku mbili mtoto akacheza tumboni,, never
So nafsi ile ikiingia ndiyo hufuata masuala nyeti ambayo wanajimu huyaita nyota
Hii ndio huamua uwe na nani maishani mwako kama rafiki, msaidizi kazini kwako ama mke wako.
Hujawahi kukutana na mtu halafu mkabond katika mazingira ya ajabu ajabu tu?
Au ukakutana na mwanamke kisha usitumie nguvu kubwa katika kumtongoza na ukijiangalia wewe sio kwamba ni una mvuto kihivyo wala kipato kwamba labda umejibrand sana.
Unakuta anakuambia tu kuwa alivyosikia sauti yako au kukuona amesisimka sana.
Haya yote ni masuala yatokanayo na chanzo cha "Life starts at 40". Hii pia inaunganisha ile hali ya usiku ambayo wengi tunaita ndoto lakini si kweli kuwa ni ndoto..
Isiwe ndefu sana ikakera maana Atoto wangu hapendi ndefu sana ananiambiaga inamkera hasikii utamu wake.
 
"Life starts at 40"

Kila nafsi ina namna inavyoingia kwenye mwili ili maisha yaanze na hapo ndipo huwa mtu kamili.
Binadamu wote hapa ulimwenguni wamegawiwa vipawa na karama mbali mbali.
Hii inakuwa rahisi kutokana na mfumo na kanuni za uumbaji zilizopo ambazo kila mtu anatakiwa azijue ili achague uwanja utakaomfiti yeye.
Mfano kuna mtu yeye ili awe na mafanikio mazuri na maisha yasiyokuwa na misukosuko ni anaanzisha ufugaji wa wanyama na wale wanyama wanamuinua kiuchumi na anakuwa na passion na hiyo mifugo kiasi cha kufika hata kugombana na mkewe.
Wewe utaona mafanikio kupitia yeye lakini ukijaribu kufanya wewe unakuta hufikii mafanikio kama ya yule.
Sasa wewe unajikuta ni konda Daslam kumbe kipawa chako ni Mkulima wa mpunga hivyo ulitakiwa uwe pale Kyela.
Life starts at 40..
Siku ya 40 baada ya mimba kutungwa ndio Nafsi hutoka kwenye sayari nyingine kutokana na tarehe na mwezi husika.
Nafsi ile huingia moja kwa moja kwenye tumbo la mama mjaa mzito na kujikita ndani ya mwili wa mtoto ndio maana wanawake hawezi kubeba mimba leo kisha kesho au baada ya siku mbili mtoto akacheza tumboni,, never
So nafsi ile ikiingia ndiyo hufuata masuala nyeti ambayo wanajimu huyaita nyota
Hii ndio huamua uwe na nani maishani mwako kama rafiki, msaidizi kazini kwako ama mke wako.
Hujawahi kukutana na mtu halafu mkabond katika mazingira ya ajabu ajabu tu?
Au ukakutana na mwanamke kisha usitumie nguvu kubwa katika kumtongoza na ukijiangalia wewe sio kwamba ni una mvuto kihivyo wala kipato kwamba labda umejibrand sana.
Unakuta anakuambia tu kuwa alivyosikia sauti yako au kukuona amesisimka sana.
Haya yote ni masuala yatokanayo na chanzo cha "Life starts at 40". Hii pia inaunganisha ile hali ya usiku ambayo wengi tunaita ndoto lakini si kweli kuwa ni ndoto..
Isiwe ndefu sana ikakera maana Atoto wangu hapendi ndefu sana ananiambiaga inamkera hasikii utamu wake.
Asante kwa andiko zuri na konki kabisa mkuu . Ubarikiwe sana.
 
Hii mbinu ya kuact huna pesa mimi niliitumia mwaka jana.
Akaanza kuniambia mbona nakuamini sana hebu nyanyuka upambane upya tafuta biashara nyingine wewe.
Nikaact nimekata tamaa kabisa sielewi na nilikuwa broke kweli lakini najua kuwa nikitaka mtaji kuna issue nitafanya.
Yalianza mapicha picha ya hatari
Sarakasi kama zote but sikujali
Mwishowe akatorokea kusikojulikana mpaka wa leo nauguza madonda moyoni..
Mwanamke kama hutoki nae kijiji kimoja au wilàya moja usimuoe ni bora ujiunge kataa ndoa tu.
Mkuu umeongea jambo la msingi sana. Hawa wanawake zetu ni pasua kichwa.
 
Mkuu umeongea jambo la msingi sana. Hawa wanawake zetu ni pasua kichwa.
Master shida sio mwanamke unaekuwa nae bro.
Ukichunguza haya mambo kiundani unakuta kuna mikono ya watu ndani yake hasa ndugu kwa upande wa wake zetu.
Unakuta kuna mkono wa Mama yake,, either kupitia ushauri ama kupitia maagano ya kichawi anaamua kuitoa sadaka amani ya mabinti zake.
Kumbuka kuna muda tunaoa wanawake ambao baadae mama zao wanawaozesha kwenye maagano ya giza.
So wewe binadamu wa kawaida huwezi kuipata ile neema ya ndoa kikamilifu yaani kuna muda unaishi na mtu lakini unaona huyu mtu hayuko sawa lakini mabadiliko hayo hutokea ghafla baada ya mashambulizi ya kiroho kuanza.
Chukueni hii kwa faida yenu Wanaume na vijana wadogo.
Wanawake wote hapa ulimwenguni hufika muda wakajikita kwenye maagano ya giza mepesi na mazito ili kutimiza uhitaji wao kulingana na wakati huo
Mara nyingi mwanamke huwa anaiwinda nafasi ya mwanaume.
Hata kama umefungua taasisi ya dini iwe ni mkristo au ni muislam mwanamke hutamani akupiku katika nafasi yako.
Anaetaka nimwage hapa dondoo kidogo kuhusu namna Ibilisi alimshawishi mwanamke anitag nitashusha tu kwa faida ya wengi..
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Ndugu zangu naomba ushauri! Mimi ni mwanaume wa miaka 35 nimeoa mwaka huu mwezi wa pili na mwanamke niliyemuoa nimekuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu, ningeshamuoa tangu zamani ila kuna vikwazo vilikuwa vinazuia tusioane ikiwemo masomo na kupangilia maisha yaende sawa.

Kabla sijamuoa huyu mwanamke tulikuwa tunapanga mambo mengi mazuri, kama kujenga, kuzaa watoto, kufungua biashara, kutengeneza family ya kiMungu, jinsi tutakavyowalea watoto wetu, tuliongea mambo mengi sana. Nilimfungulia biashara ya milioni saba mwaka jana mwezi wa pili, nyumbani kwao nilikarabati nyumba yao, nikaweka masofa ya gharama, TV. king'amuzi na radio.

Nilimjengea mama yake jiko na choo cha kisasa nikawabadilisha kabisa. Sijui nilirogwa ama vipi nilijikuta nasukumwa kufanya tu na nilijikuta nampenda sana mpenzi wangu. Tumeenda hivyo hadi mwezi wa pili mwaka huu ndipo tulifunga ndoa, tukafanya harusi kubwa tu na mimi ndio nilikuwa nagharamikia nikisaidiana na familia yangu. Sasa siku kadhaa zilizopita kupitia simu ya mke wangu nimekuja kugundua kuwa mama yake anamfundisha asiwe mzembe kunichuna.

Tena sio kumfundisha, inaonekana alishamfundisha zamani sasa anamhimiza asikae kizembe ahakikishe anavuna vitu vya kutosha, imagine!! Ni kama Mungu tu kwasababu mimi sina mazoea kushika simu ya mke wangu kwahiyo alikuwa hafuti meseji japo hizo nilizofuma zimeanzia mwezi wa tatu. Anamwambia asikae kizembe hii bahati aliyoipata kwenye familia yake hakuna binti hata mmoja aliyebahatika kupata mume mwenye unafuu kama mimi.

Sasa hivi ndio akili inanirudi naanza kuunganisha matukio ya nyuma, nimemwaga sana pesa kwao yani alikuwa akiniitisha tu natuma! nimejikuta naumia mnooo najuta hata kufunga hii ndoa, nilijibana nikamfungulia duka ambalo hata mama yangu sijamfanyia hivyo. Lakini mimi nilifanya kwasababu ya kumfanya achangamke na nikikwama kulea familia tukipata watoto anisaidie.

Nimewaza mengi! Nawaza huenda hata hakuwa na nia ya kunizalia maana unawezaje kuiba mali za baba watoto wako? akiishiwa watoto watakula nini sasa? Sijamwambia kitu natafakari kwanza maana nilitaka kummaliza kabisa, niliondoka nyumbani nalala hotelini na hajui kama nimesoma meseji zake, nimezipiga picha tu niko nazo. Nahisi kichwa kinawaka moto. Naomba ushauri wa haraka nisiteketezwe zaidi🙏
Duh! Ndoa ni mwendo wa kuwindana tuu huko ndani.
Nani atamlia timing vizuri mwenzie🤣🤣🤣🤣
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Ndugu zangu naomba ushauri! Mimi ni mwanaume wa miaka 35 nimeoa mwaka huu mwezi wa pili na mwanamke niliyemuoa nimekuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu, ningeshamuoa tangu zamani ila kuna vikwazo vilikuwa vinazuia tusioane ikiwemo masomo na kupangilia maisha yaende sawa.

Kabla sijamuoa huyu mwanamke tulikuwa tunapanga mambo mengi mazuri, kama kujenga, kuzaa watoto, kufungua biashara, kutengeneza family ya kiMungu, jinsi tutakavyowalea watoto wetu, tuliongea mambo mengi sana. Nilimfungulia biashara ya milioni saba mwaka jana mwezi wa pili, nyumbani kwao nilikarabati nyumba yao, nikaweka masofa ya gharama, TV. king'amuzi na radio.

Nilimjengea mama yake jiko na choo cha kisasa nikawabadilisha kabisa. Sijui nilirogwa ama vipi nilijikuta nasukumwa kufanya tu na nilijikuta nampenda sana mpenzi wangu. Tumeenda hivyo hadi mwezi wa pili mwaka huu ndipo tulifunga ndoa, tukafanya harusi kubwa tu na mimi ndio nilikuwa nagharamikia nikisaidiana na familia yangu. Sasa siku kadhaa zilizopita kupitia simu ya mke wangu nimekuja kugundua kuwa mama yake anamfundisha asiwe mzembe kunichuna.

Tena sio kumfundisha, inaonekana alishamfundisha zamani sasa anamhimiza asikae kizembe ahakikishe anavuna vitu vya kutosha, imagine!! Ni kama Mungu tu kwasababu mimi sina mazoea kushika simu ya mke wangu kwahiyo alikuwa hafuti meseji japo hizo nilizofuma zimeanzia mwezi wa tatu. Anamwambia asikae kizembe hii bahati aliyoipata kwenye familia yake hakuna binti hata mmoja aliyebahatika kupata mume mwenye unafuu kama mimi.

Sasa hivi ndio akili inanirudi naanza kuunganisha matukio ya nyuma, nimemwaga sana pesa kwao yani alikuwa akiniitisha tu natuma! nimejikuta naumia mnooo najuta hata kufunga hii ndoa, nilijibana nikamfungulia duka ambalo hata mama yangu sijamfanyia hivyo. Lakini mimi nilifanya kwasababu ya kumfanya achangamke na nikikwama kulea familia tukipata watoto anisaidie.

Nimewaza mengi! Nawaza huenda hata hakuwa na nia ya kunizalia maana unawezaje kuiba mali za baba watoto wako? akiishiwa watoto watakula nini sasa? Sijamwambia kitu natafakari kwanza maana nilitaka kummaliza kabisa, niliondoka nyumbani nalala hotelini na hajui kama nimesoma meseji zake, nimezipiga picha tu niko nazo. Nahisi kichwa kinawaka moto. Naomba ushauri wa haraka nisiteketezwe zaidi🙏
Mkuu
Kwanza piga magoti kumshukuru Mungu kwa kukuonesha mbwamwitu waliokuzunguka.

Pili muombe Mungu akupe hekima namna bora ya kufanya. Maana huyo mke siyo mkeo....
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Ndugu zangu naomba ushauri! Mimi ni mwanaume wa miaka 35 nimeoa mwaka huu mwezi wa pili na mwanamke niliyemuoa nimekuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu, ningeshamuoa tangu zamani ila kuna vikwazo vilikuwa vinazuia tusioane ikiwemo masomo na kupangilia maisha yaende sawa.

Kabla sijamuoa huyu mwanamke tulikuwa tunapanga mambo mengi mazuri, kama kujenga, kuzaa watoto, kufungua biashara, kutengeneza family ya kiMungu, jinsi tutakavyowalea watoto wetu, tuliongea mambo mengi sana. Nilimfungulia biashara ya milioni saba mwaka jana mwezi wa pili, nyumbani kwao nilikarabati nyumba yao, nikaweka masofa ya gharama, TV. king'amuzi na radio.

Nilimjengea mama yake jiko na choo cha kisasa nikawabadilisha kabisa. Sijui nilirogwa ama vipi nilijikuta nasukumwa kufanya tu na nilijikuta nampenda sana mpenzi wangu. Tumeenda hivyo hadi mwezi wa pili mwaka huu ndipo tulifunga ndoa, tukafanya harusi kubwa tu na mimi ndio nilikuwa nagharamikia nikisaidiana na familia yangu. Sasa siku kadhaa zilizopita kupitia simu ya mke wangu nimekuja kugundua kuwa mama yake anamfundisha asiwe mzembe kunichuna.

Tena sio kumfundisha, inaonekana alishamfundisha zamani sasa anamhimiza asikae kizembe ahakikishe anavuna vitu vya kutosha, imagine!! Ni kama Mungu tu kwasababu mimi sina mazoea kushika simu ya mke wangu kwahiyo alikuwa hafuti meseji japo hizo nilizofuma zimeanzia mwezi wa tatu. Anamwambia asikae kizembe hii bahati aliyoipata kwenye familia yake hakuna binti hata mmoja aliyebahatika kupata mume mwenye unafuu kama mimi.

Sasa hivi ndio akili inanirudi naanza kuunganisha matukio ya nyuma, nimemwaga sana pesa kwao yani alikuwa akiniitisha tu natuma! nimejikuta naumia mnooo najuta hata kufunga hii ndoa, nilijibana nikamfungulia duka ambalo hata mama yangu sijamfanyia hivyo. Lakini mimi nilifanya kwasababu ya kumfanya achangamke na nikikwama kulea familia tukipata watoto anisaidie.

Nimewaza mengi! Nawaza huenda hata hakuwa na nia ya kunizalia maana unawezaje kuiba mali za baba watoto wako? akiishiwa watoto watakula nini sasa? Sijamwambia kitu natafakari kwanza maana nilitaka kummaliza kabisa, niliondoka nyumbani nalala hotelini na hajui kama nimesoma meseji zake, nimezipiga picha tu niko nazo. Nahisi kichwa kinawaka moto. Naomba ushauri wa haraka nisiteketezwe zaidi🙏
Sasa umeishajua kelele za nini? Tafadhali, fix hiyo problem kiutu uzima. Kwanza muoneshe meko hizo messages; halafu kaa kimya bila kutoa maoni yoyote yale. Ila kata kabisa misaada kwa mkeo. Mkeo akipiga kelele tu, mwambie wakajaribu kwengine kwani wanaume ni wengi!!
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Ndugu zangu naomba ushauri! Mimi ni mwanaume wa miaka 35 nimeoa mwaka huu mwezi wa pili na mwanamke niliyemuoa nimekuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu, ningeshamuoa tangu zamani ila kuna vikwazo vilikuwa vinazuia tusioane ikiwemo masomo na kupangilia maisha yaende sawa.

Kabla sijamuoa huyu mwanamke tulikuwa tunapanga mambo mengi mazuri, kama kujenga, kuzaa watoto, kufungua biashara, kutengeneza family ya kiMungu, jinsi tutakavyowalea watoto wetu, tuliongea mambo mengi sana. Nilimfungulia biashara ya milioni saba mwaka jana mwezi wa pili, nyumbani kwao nilikarabati nyumba yao, nikaweka masofa ya gharama, TV. king'amuzi na radio.

Nilimjengea mama yake jiko na choo cha kisasa nikawabadilisha kabisa. Sijui nilirogwa ama vipi nilijikuta nasukumwa kufanya tu na nilijikuta nampenda sana mpenzi wangu. Tumeenda hivyo hadi mwezi wa pili mwaka huu ndipo tulifunga ndoa, tukafanya harusi kubwa tu na mimi ndio nilikuwa nagharamikia nikisaidiana na familia yangu. Sasa siku kadhaa zilizopita kupitia simu ya mke wangu nimekuja kugundua kuwa mama yake anamfundisha asiwe mzembe kunichuna.

Tena sio kumfundisha, inaonekana alishamfundisha zamani sasa anamhimiza asikae kizembe ahakikishe anavuna vitu vya kutosha, imagine!! Ni kama Mungu tu kwasababu mimi sina mazoea kushika simu ya mke wangu kwahiyo alikuwa hafuti meseji japo hizo nilizofuma zimeanzia mwezi wa tatu. Anamwambia asikae kizembe hii bahati aliyoipata kwenye familia yake hakuna binti hata mmoja aliyebahatika kupata mume mwenye unafuu kama mimi.

Sasa hivi ndio akili inanirudi naanza kuunganisha matukio ya nyuma, nimemwaga sana pesa kwao yani alikuwa akiniitisha tu natuma! nimejikuta naumia mnooo najuta hata kufunga hii ndoa, nilijibana nikamfungulia duka ambalo hata mama yangu sijamfanyia hivyo. Lakini mimi nilifanya kwasababu ya kumfanya achangamke na nikikwama kulea familia tukipata watoto anisaidie.

Nimewaza mengi! Nawaza huenda hata hakuwa na nia ya kunizalia maana unawezaje kuiba mali za baba watoto wako? akiishiwa watoto watakula nini sasa? Sijamwambia kitu natafakari kwanza maana nilitaka kummaliza kabisa, niliondoka nyumbani nalala hotelini na hajui kama nimesoma meseji zake, nimezipiga picha tu niko nazo. Nahisi kichwa kinawaka moto. Naomba ushauri wa haraka nisiteketezwe zaidi🙏
Nakupa ukweli mchungu, 1. walikufanyia mambo ya ushirikina 2. Shukuru Mungu umezinduka 3. Muombe Mungu akupatie hekima kuu uweze kuvuka salama 4. Zungumza nae ajue umejua ikiwezekana muite mpaka mama yake Kisha waweke chini waeleze umejua mipango yao
5. SAMEHE 6. SAMEHE

Nakuambia haya baada ya Mimi kugundua mume wangu amezaa nje watoto 2 na bado anampango wa kuendelea kuzaa nje lakini pia amekuwa akinifanyia ushirikina ili kila anachosema nikubali, lakini pia ushirikina wake umenizibia kizazi changu kama haitoshi alitaka mie na watoto wangu tuwe vichaa kupitia uchawi huo anaoufanya na kwa kuwa Mungu siyo mwanadamu yote nimefahamu na nimemwambia mbele ya umati mkubwa. Niko kwenye ndoa huu mwaka wa 14! Siyo kwamba Sina pa kwenda ninapo ila Sina plan ya kuanza upya kwahyo apambane yeye akaanze upya. Mie nipo sana na NIMEAMUA KUTANGAZA MSAMAHA ili niiponye nafsi yangu
 
Nakupa ukweli mchungu, 1. walikufanyia mambo ya ushirikina 2. Shukuru Mungu umezinduka 3. Muombe Mungu akupatie hekima kuu uweze kuvuka salama 4. Zungumza nae ajue umejua ikiwezekana muite mpaka mama yake Kisha waweke chini waeleze umejua mipango yao
5. SAMEHE 6. SAMEHE

Nakuambia haya baada ya Mimi kugundua mume wangu amezaa nje watoto 2 na bado anampango wa kuendelea kuzaa nje lakini pia amekuwa akinifanyia ushirikina ili kila anachosema nikubali, lakini pia ushirikina wake umenizibia kizazi changu kama haitoshi alitaka mie na watoto wangu tuwe vichaa kupitia uchawi huo anaoufanya na kwa kuwa Mungu siyo mwanadamu yote nimefahamu na nimemwambia mbele ya umati mkubwa. Niko kwenye ndoa huu mwaka wa 14! Siyo kwamba Sina pa kwenda ninapo ila Sina plan ya kuanza upya kwahyo apambane yeye akaanze upya. Mie nipo sana na NIMEAMUA KUTANGAZA MSAMAHA ili niiponye nafsi yangu
Nashukuru kwa kunipa matumaini mkuu maana nimeishakata tamaa kabisa juu ya mwanamke huyu.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Ndugu zangu naomba ushauri! Mimi ni mwanaume wa miaka 35 nimeoa mwaka huu mwezi wa pili na mwanamke niliyemuoa nimekuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu, ningeshamuoa tangu zamani ila kuna vikwazo vilikuwa vinazuia tusioane ikiwemo masomo na kupangilia maisha yaende sawa.

Kabla sijamuoa huyu mwanamke tulikuwa tunapanga mambo mengi mazuri, kama kujenga, kuzaa watoto, kufungua biashara, kutengeneza family ya kiMungu, jinsi tutakavyowalea watoto wetu, tuliongea mambo mengi sana. Nilimfungulia biashara ya milioni saba mwaka jana mwezi wa pili, nyumbani kwao nilikarabati nyumba yao, nikaweka masofa ya gharama, TV. king'amuzi na radio.

Nilimjengea mama yake jiko na choo cha kisasa nikawabadilisha kabisa. Sijui nilirogwa ama vipi nilijikuta nasukumwa kufanya tu na nilijikuta nampenda sana mpenzi wangu. Tumeenda hivyo hadi mwezi wa pili mwaka huu ndipo tulifunga ndoa, tukafanya harusi kubwa tu na mimi ndio nilikuwa nagharamikia nikisaidiana na familia yangu. Sasa siku kadhaa zilizopita kupitia simu ya mke wangu nimekuja kugundua kuwa mama yake anamfundisha asiwe mzembe kunichuna.

Tena sio kumfundisha, inaonekana alishamfundisha zamani sasa anamhimiza asikae kizembe ahakikishe anavuna vitu vya kutosha, imagine!! Ni kama Mungu tu kwasababu mimi sina mazoea kushika simu ya mke wangu kwahiyo alikuwa hafuti meseji japo hizo nilizofuma zimeanzia mwezi wa tatu. Anamwambia asikae kizembe hii bahati aliyoipata kwenye familia yake hakuna binti hata mmoja aliyebahatika kupata mume mwenye unafuu kama mimi.

Sasa hivi ndio akili inanirudi naanza kuunganisha matukio ya nyuma, nimemwaga sana pesa kwao yani alikuwa akiniitisha tu natuma! nimejikuta naumia mnooo najuta hata kufunga hii ndoa, nilijibana nikamfungulia duka ambalo hata mama yangu sijamfanyia hivyo. Lakini mimi nilifanya kwasababu ya kumfanya achangamke na nikikwama kulea familia tukipata watoto anisaidie.

Nimewaza mengi! Nawaza huenda hata hakuwa na nia ya kunizalia maana unawezaje kuiba mali za baba watoto wako? akiishiwa watoto watakula nini sasa? Sijamwambia kitu natafakari kwanza maana nilitaka kummaliza kabisa, niliondoka nyumbani nalala hotelini na hajui kama nimesoma meseji zake, nimezipiga picha tu niko nazo. Nahisi kichwa kinawaka moto. Naomba ushauri wa haraka nisiteketezwe zaidi🙏
Daah pole sana kaka, hiyo inauma sana. Kwanza zingatia familia yako na huyo mwanamke kama unaweza ingekua ni me izo meseji ni ushaidi wawe kufanya maaumuzi sahh uyo hakufai apo ukiteleza kiuchumi na mama yake atamshauri akuache kwakua tyr ameshachuma pesa zako. #PIGA CHINI UYO MWANAMKE KAKA HAO VIUMBE NI HTR
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Ndugu zangu naomba ushauri! Mimi ni mwanaume wa miaka 35 nimeoa mwaka huu mwezi wa pili na mwanamke niliyemuoa nimekuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu, ningeshamuoa tangu zamani ila kuna vikwazo vilikuwa vinazuia tusioane ikiwemo masomo na kupangilia maisha yaende sawa.

Kabla sijamuoa huyu mwanamke tulikuwa tunapanga mambo mengi mazuri, kama kujenga, kuzaa watoto, kufungua biashara, kutengeneza family ya kiMungu, jinsi tutakavyowalea watoto wetu, tuliongea mambo mengi sana. Nilimfungulia biashara ya milioni saba mwaka jana mwezi wa pili, nyumbani kwao nilikarabati nyumba yao, nikaweka masofa ya gharama, TV. king'amuzi na radio.

Nilimjengea mama yake jiko na choo cha kisasa nikawabadilisha kabisa. Sijui nilirogwa ama vipi nilijikuta nasukumwa kufanya tu na nilijikuta nampenda sana mpenzi wangu. Tumeenda hivyo hadi mwezi wa pili mwaka huu ndipo tulifunga ndoa, tukafanya harusi kubwa tu na mimi ndio nilikuwa nagharamikia nikisaidiana na familia yangu. Sasa siku kadhaa zilizopita kupitia simu ya mke wangu nimekuja kugundua kuwa mama yake anamfundisha asiwe mzembe kunichuna.

Tena sio kumfundisha, inaonekana alishamfundisha zamani sasa anamhimiza asikae kizembe ahakikishe anavuna vitu vya kutosha, imagine!! Ni kama Mungu tu kwasababu mimi sina mazoea kushika simu ya mke wangu kwahiyo alikuwa hafuti meseji japo hizo nilizofuma zimeanzia mwezi wa tatu. Anamwambia asikae kizembe hii bahati aliyoipata kwenye familia yake hakuna binti hata mmoja aliyebahatika kupata mume mwenye unafuu kama mimi.

Sasa hivi ndio akili inanirudi naanza kuunganisha matukio ya nyuma, nimemwaga sana pesa kwao yani alikuwa akiniitisha tu natuma! nimejikuta naumia mnooo najuta hata kufunga hii ndoa, nilijibana nikamfungulia duka ambalo hata mama yangu sijamfanyia hivyo. Lakini mimi nilifanya kwasababu ya kumfanya achangamke na nikikwama kulea familia tukipata watoto anisaidie.

Nimewaza mengi! Nawaza huenda hata hakuwa na nia ya kunizalia maana unawezaje kuiba mali za baba watoto wako? akiishiwa watoto watakula nini sasa? Sijamwambia kitu natafakari kwanza maana nilitaka kummaliza kabisa, niliondoka nyumbani nalala hotelini na hajui kama nimesoma meseji zake, nimezipiga picha tu niko nazo. Nahisi kichwa kinawaka moto. Naomba ushauri wa haraka nisiteketezwe zaidi🙏
Mkuu kwa ushauri wangu chanzo cha yote haya yanayo kusibu ni mama mkwe kumwalibu binti yake kwa kumjaza sumu za ujinga na kutojieshimu ni ngumu sana mtoto kugoma kumsikiliza mzazi kuna mambo mawili hapa mkeo kukubali ushauli wa mama kulinda bland yake kwa mama yake au kukubali moyoni hila akilini mwake ajakubaliana na mambo ya mama yake
Usichukue mahamuzi ya alaka mahana watu wengi utoa majibu laisi tu kwa lengo la kukuvunja moyo utazani wao Awapati changamoto katika ndoa zipo siku zote na azikimbiwi kikubwa ni kutumia mahalifa na hekima kaha chini msilikishe baba yako na ikibidi mwitishe kikao cha pande zote mbili wala usiwaoneshe dalili kuwa ulisoma sms mbele ya kikao wabane waseme ukweli wana malengo gani juu yako au nini mipango yao juu yako mbele ya waze wenye busara na hekima ikibidi mtafte mwanashetia bora awepo wakikata kuwa awana mipango yoyote mbele ya pande zote 2 ndio uwaoneshe chatj zao adharani itakuwa funzo kwao na vizazi vyao najua watabadilika kwa wema ulio wafanyia ni zaidi ya wema mama mkwe ndio anaye toa shule ya kumpotosha mke wako mhana mtoto umleavo ndivo ukuavyo ikiwa ngumu mpe talaka kwa uzurj amjazaa bado afungashe mabegi yake aludi kwao atazamane na mama yake itakuafunzo kuliko kumtolea kauli chafu ndoa ni ya kidini na sio ya kisheria haki itatendeka unaweza nicheki kwa ushauli zaidi nkuelekeze mambo muhimu ya kufanya kulejesha amani ya ndoa yako
 
Back
Top Bottom