Mama mkwe anamhimiza mke wangu anichune; naomba ushauri

Mama mkwe anamhimiza mke wangu anichune; naomba ushauri

My point ☝️

MWANAMKE usimtangulizie vitu au pesa au Mali kamwe hatokua MWEMA Kwako , mwanamke mtangulizie maarifaa na HEKIMA na atakukumbuka na kukushukuru milele

👉Sasa kama MWANAUME upo kwaajili ya ngono hapo lazima utamtangulizia mwanamke vitu ili kumshawishi na kumlaghai akupe tunda

hu msingi sio mzuri kwa NDOA B'se MTU anaweza kula tunda before NDOA akalielewa then akaweka NDANI aise kwa hu Msingi Lazima utapigwa na kitu kizito Mkuu kwasababu huwezi kupata MKE MWEMA kwa Msingi wa Uzinzi/uasherati/ZINAA

MWANAMKE anaekuvulia chupi kabda ya NDOA anakuhalibu wewe MWANAUME na kamwe hutoweza kuimudu hiyo NDOA na kusimama kwenye nafasi Yako wewe kama kiongozi wa familia

Kwaiyo not allowed Mkuu test mitambo before marriage hasa kwenye ngono May be kutest kwenye Mambo mengine lakini sio tunda
Asante sana mkuu. Nilivyokuelewa ni kwamba unataka tuwe tunatesti mitambo kabla ya kuoa mkuu?
 
Kwenye kumuingia mama mkwe ili nimgegede kama members wengi walivyoshauri humu?
Mpe pombe akienda uwani mchanganyie na mkojo.Ukipiga mzigo usilale nae atakupa laana.piga zigo mrudishe getoni kwake ila usisahau asubuhi kwenda kumsabahi na baada ya wiki msifie na umtoe tena out ukiona anakubali ujue amekuelewa endelea nae sebene
 
Mkuu kwanza niseme kitu Hapa B'se tunaweza kua tunawalaumu Sana awa viumbe kumbe na sisi waoaji tunamatatizo au ndo chanzo cha matatizo yote, MWANAUME ndie muoaji Kwaiyo akioa MWANAMKE mpumbavu tatizo ni yeye na Sio MWANAMKE kwasababu MWANAUME ndie aliemfuata kwa Roho na mwili wake na kwa Akili zake akaona huyu Mwanamke ni SAHIHI kua MKE na mama wa watoto Wangu

"UKWELI NI KWAMBA KUMPA MWANAMKE SAHIHI (MKE) KUNAANZIA NA WEWE KUA SAHIHI"

Kuna msemo mmoja wa waswahili husema ndege wafananao Ndio huruka pamoja, UKWELI Huwezi kupata MWANAMKE SAHIHI (MKE) kama wewe MWANAUME sio MTU SAHIHI (MME), Ebu anza kua MME before hujaingia katika NDOA nakuhakikishia utapa MKE 😁

Mithali 19:14

"Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na Bwana"
"mtu hupewa na Bwana" 👉 hapa sio kwamba utashushiwa kimiujiza Hapana ila MUNGU atakutumia wewe mwenyewe kukupa MKE mwenye busara

Sasa tujiulize swali👇

utamjuaje MWANAMKE mwenye busara kama wewe mwenyewe huna busara?
ndipo tunaludi kwenye point yetu ya kwanza kupata MTU SAHIHI kunaanza na wewe kua SAHIHI (i.e utapewa wa kufanana na wewe kama ni mpumbavu utapewa mpumbavu mwenzako mkashindane na kuhangaika na kuvumiliana katika NDOA, kama ni mwelevu utapewa mwelevu mwenzio mkaishi katika NDOA hakuna miujiza Wala shotcut katika hili wakuu na kuna watu wanasema NDOA za sikuizi ni kama betting Sio Kweli ila uhalisia ni Kwamba TUNAPEWA WANAWAKE TUNAOFANANA NAO TABIA)
Wisdom is the accumulation of knowledge/enlightenment while wise is the application of wisdom Kwaiyo kamwe huwezi kua na BUSARA kama huna HEKIMA Kwasababu BUSARA ni matokeo ya Hekima

Kwa lugha NYEPESI BUSARA ni kutenda kwa HEKIMA kwa maana ya Kwamba ukiwaza kwa HEKIMA, Matokeo yake utatenda kwa hekima Kwaiyo hivi ni vitu viwili muhimu sana na vinategemeana hasa HEKIMA Ndio muhimu

Ayubu 28:28

"Kisha akamwambia mwanadamu, Tazama, kumcha Bwana ndiyo hekima, Na kujitenga na uovu ndio ufahamu."
👉kumcha Bwana ndiyo hekima 👉na Ndio usahihi tunao zungumzia Hapa ina maana kua na smart minds ........ukishakua na HEKIMA aise kamwe huwezi kuoa MWANAMKE mpumbavu never LAZIMA hadi unafikia siku ya tukio la kuunganishwa kati ya wewe na mke wako utakua umehakikisha MKE wako ni mwenye HEKIMA hivyo anayo BUSARA Sasa hi Sio KAZI NYEPESI na Sio swala la siku, week, mwezi, au Mwaka it gonna take More than one years B'se HEKIMA ina ambukizwa Mkuu kwa kufundishwa na kiukweli ni wajibu wa MWANAUME kabda , na baada ya kuoa kumfundisha MKE wake Maarifa ili awe na HEKIMA siku zote

Kwaiyo Kuhusu swala la kuletewa MKE baada ya miaka 20 halina Uhalisia wowote ila ni wewe mwenyewe ukikaa mkao wa kua MME na WAKATI wa kuoa umefika utaletewa Mwanamke wako uanze KUMBADILISHA kua MKE na kuna gharama kubwa Sana hapa B'se it need a lot of time For this phenomena to change a women into prudent wife

Na kuna viashiria utawekewa NDANI Yako juu ya MWANAMKE utakae kua una muandaa kua MKE mwenye BUSARA na utafahamu Hakika huyu ndiye wa ubavu Wangu 😁

hupewa na BWANA Sio kwamba utashushiwa kama mvua hapana ni tukio ambalo litachukua muda KIDOGO Hadi kukamilika na tunajua hi miili YETU ni nyumba (hekalu) la MUNGU ina maana MUNGU lazima aweke makazi NDANI ya mwili wako then atakua anakuongoza katika Mambo yote hata hili la kumuandaa mke mwenye busara Kwaiyo this phenomena honestly inategemea sana mahusiano binafsi kati ya MWANAUME na MUNGU wake
Kuna kitu nimalizie hapa utawezaje kujua kwamba This girl NDIE MKE Wangu ambae MUNGU amenikilimia haijalishi ni alikua kahaba au Lah kwa mara ya kwanza utakapo kutana nae ni KWAMBA 👉 atakua msikivu kwa kila kitu SAHIHI unachomwambia/kumfundisha na atakua yupo tayari kubadilika in Short atakua na ITII sio kwako na sio kwasababu ya KAZI, au pesa au mali zako Sasa hapo ni kua makini B'se wanawake wengi waigiza upendo means atakutii kwasababu ya vitu, pesa au Mali zako na ukishindwa kutofautisha hapa kiukweli utaingia choo cha kike na utajuta
MWANAMKE usimtangulizie vitu au pesa au Mali kamwe hatokua MWEMA Kwako , mwanamke mtangulizie maarifaa na HEKIMA na atakukumbuka na kukushukuru milele
Sasa kama MWANAUME upo kwaajili ya ngono hapo lazima utamtangulizia mwanamke vitu ili kumshawishi na kumlaghai akupe tunda na hu msingi sio mzuri kwa NDOA B'se MTU anaweza kula tunda before NDOA akalielewa then akaweka NDANI aise kwa hu Msingi Lazima utapigwa na kitu kizito Kama jamaa YETU hapo juu
NDOA ni swala seriously Sana na sensitive ila kwa Sasa linachukuliwa simple Sana Ndio maana madhara yamekua makubwa sana kila Siku tunasikia wana ndoa wanatoana uhai na rate ya talaka ipo juu sana ni kwasababu watu tumeacha misingi ya NDOA na kujitwalia wake bila utaratibu
Mithali 2

17 Amwachaye rafiki wa ujana wake, Na kulisahau agano la Mungu wake.

18 Maana nyumba yake inaelekea mauti, Na mapito yake yanakwenda kwenye wafu.

rafiki wa ujana 👉 mke au mme wako

agano la Mungu wake 👉 NDOA (i.e vile viapo mlivyo nena kwa vinywa vyenu katika madhabahu ya MUNGU)

Sasa kumuacha mke au mume wako na kuvunja NDOA ya MUNGU ( kulisahau AGANO la wake) ni hatari sana kwakweli kama tunavyo ona kwenye verse ya chini yake 👇

Maana nyumba yake inaelekea mauti, Na mapito yake yanakwenda kwenye wafu.


KOSEA VITU VYOTE LAKINI USIKOSEE KUOA AU KUOLEWA 📌
mkuu mimi sitaki mwanamke mwenye historia ya ukahaba nyuma, etbaje awe mke kwangu , yaani shetani abafilike aje kuwa malaika, na wakati mimi sikuwahi kuwa shetani,, hapanaaaa, hata kama akakuwa mke ila hapanaa.
 
mkuu mimi sitaki mwanamke mwenye historia ya ukahaba nyuma, etbaje awe mke kwangu , yaani shetani abafilike aje kuwa malaika, na wakati mimi sikuwahi kuwa shetani,, hapanaaaa, hata kama akakuwa mke ila hapanaa.

😁😁😁 Ni kweli ni ngumu sana kwa MWANAUME yoyote mwenye akili timamu kuaccept hicho kitu na kwa mtumishi wa MUNGU Hosea lilikua ni agizo la MUNGU Kwamba akaoe mke wa Uzinzi

Isaya 1

2 Hapo kwanza Bwana aliponena kwa kinywa cha Hosea, Bwana alimwambia Hosea, Enenda ukatwae mke wa uzinzi, na watoto wa uzinzi; kwa maana nchi hii inafanya uzinzi mwingi, kwa kumwacha Bwana.

3 Basi akaenda akamwoa Gomeri, binti Diblaimu;

Sasa Mkuu unawezaje kumtambua mwanamke ambae hajakua na hostoria ya uzinzi(ukahaba) kwa MAISHA ya mjini hata vijijini sikuhizi ni kama mjini?
 
Pole sana.

Mkeo amekosea MNO.

Ukienda kuanza maisha na mume, agenda za kwenu sio shughuli ya kuweka kwenye vipaumbele vyenu. La hasha!

Mume apambane na ya kwenu ninyi wawili (na sio ya ukoo wenu), na wewe hivyo hivyo.

Lasivyo, unakuwa "kasha", upo na mwenzio ila hana mtu.

Cha kufanya:

Zungumza nae kwa upendo.

Mfahamishe wazi jinsi unavyojisikia na sikiliza upande wake (wazazi wana nguvu SANA, hata hivyo akifanya mchezo, ataharibu ndoa).

Familia yake ni jukumu lake, kwavile ana biashara ambayo tayari umemfungulia.

Awe tayari hata kumblock mzazi ikiwa ataendelea kuleta pressure, hadi pale atakapojua kuwa hatanii.
 
😁😁😁 Ni kweli ni ngumu sana kwa MWANAUME yoyote mwenye akili timamu kuaccept hicho kitu na kwa mtumishi wa MUNGU Hosea lilikua ni agizo la MUNGU Kwamba akaoe mke wa Uzinzi

Isaya 1

2 Hapo kwanza Bwana aliponena kwa kinywa cha Hosea, Bwana alimwambia Hosea, Enenda ukatwae mke wa uzinzi, na watoto wa uzinzi; kwa maana nchi hii inafanya uzinzi mwingi, kwa kumwacha Bwana.

3 Basi akaenda akamwoa Gomeri, binti Diblaimu;

Sasa Mkuu unawezaje kumtambua mwanamke ambae hajakua na hostoria ya uzinzi(ukahaba) kwa MAISHA ya mjini hata vijijini sikuhizi ni kama mjini?
hapo pagumu sana, sielewi itakuaje, kama ni hvyo basi namimi kuna haja gani ya kuwa msafi ikiwa nitakutana na mwanamke aliyewah kuwa shetan nyuma baadae kaja kuwa malaika.
HIZI NDOA HIZI🙌
 
hapo pagumu sana, sielewi itakuaje, kama ni hvyo basi namimi kuna haja gani ya kuwa msafi ikiwa nitakutana na mwanamke aliyewah kuwa shetan nyuma baadae kaja kuwa malaika.
HIZI NDOA HIZI🙌
😂😂😂😂 Dah MUNGU atutangulie na kutuongoza katika hilo Mkuu hakika kwa Akili na nguvu Zetu hatuwezi kutoboa

Lakini njia pekee hapa me naona ni Binti kua bikira, sasa kumpata binti bikira ambae ameshapevuka akili (23-25 +Years) sio jambo jepesi 😁

Wengi katika hi age BHN washamaliza kila aina ya wanaume na abortion na p2 washatumia Sana 😂
 
😂😂😂😂 Dah MUNGU atutangulie na kutuongoza katika hilo Mkuu hakika kwa Akili na nguvu Zetu hatuwezi kutoboa

Lakini njia pekee hapa me naona ni Binti kua bikira, sasa kumpata binti bikira ambae ameshapevuka akili (23-25 +Years) sio jambo jepesi 😁

Wengi katika hi age BHN washamaliza kila aina ya wanaume na abortion na p2 washatumia Sana 😂
hao bikira labda ukawatoe shule za kishua huko feza,ist na kadharika, huko huwezi kukosa, tena unasibir ile wanamaliz 4 au 6 ndio udake, ila huku st kayumba na mitaani ni🚮🚮.
 
Kweli kabisa mkuu. Kwa hayo mambo makuu niliyomtendea mke wangu na familia yake sikutarajia kama mama mkwe angenifanyia umafia kama huu.
Maelezo mazuri, isipokuwa mie nina dodoso kadhaa, ukizisoma na ukanijibu nitaweza kushauri:

Kuingia kwenye ndoa (mchakato na harakati zote) ni nani alizipromote, ni wewe au mkeo?

Ukarabati wa choo na jiko la mama mkwe ulifanya chini ya ushauri ama shinikizo la mkeo?

Katika msg conversation ulizozifuma kwenye simu ya mke, ndoa yako inapewa uzito gani katika mazungumzo hayo na wawili hao?

Je katika ushawishi wa mama mkwe kwa mwanaye (mkeo), uitikio wake una uzito gani katika kuunga mkono utekelezaji?

Je yote uliyoyafanya ukweni yalikuwa ni ya kipenda roho toka moyoni mwako ama umegundua uliyafanya kwa shinikizo la mke?

Mkuu naomba unichambulie swali moja moja na kunijibu, ili nizame kindaki ndaki katika ushauri wa jambo hili.
 
swali ni je mama mkwe analipa?
Wake tunaowaoa huwa ni kivuli ama photocopy la mama mkwe, wawezakuta mkwe ni mzuri kuliko mwanaye, tofauti ikawa ni makunyanzi ya umri tu.

Lakini sasa baki ukielewa kuwa ni kosa kuangalia maumbile ya mwili wa mkweo.

Kwetu ukigundulika unamtazama kwa makini na kwa matamanio huwa ni fine kubwa, hapo lazima ng'ombe ikutoke!

Mazoea ya kupeana mikono, sijui kupiga stori ama kula pamoja nk huwa ni mwiko na havipo, utamuanzia wapi?

Kumtupia ndoano mamkwe yataka akili za ziada, maana ukikosea mahesabu, jambo hilo laweza kuharibu mustakabali mzima wa ndoa yako.
 
We piga screenshot,mazungumzo hifadhi,kwenye Google drive for future reference
 
Mke wako anakupenda na hataki kukuchuna, maelekezo yako yanasema alishafundishwa jinsi ya kukuchuna lakini inaonekana mke wako haimuingii akilini swala hilo kaa na mke mke na umuambie kwamba nyinyi ni mwili mmoja kukuibia ww ni sawa amejiibia mwenyewe..........note before mwanamke anaachwa kwa kosa moja tu mengine yavumilie jombaa!!!
 
Uliyoyafanya yote ni ya kawaida tu... Labda huo ushaur wa mama mkwe kwa mwanae ila unajipanikisha bure tu..Ulipofanya hayo yote ulikua na akili timamu.. Mke akuzalie ila ulivyompa atatumia kwa wanae pia
 
Huyo mwanamke ni mpumbavu na atakuja kulia, hizo mali anazochuna kwako na kupeleka kwao hazitakua zake ni za mama yake. Kama wamezaliwa wengi lazima kutakua tu na mgogoro mwisho wa siku.

Angekomaa na wewe akajenga mji wenu angekuja kuenjoy yeye na wanae. Maana Mali zako ni zake

Hata kama baadae mume utabadilika lkn sheria za ndoa zipo zitamlinda, lkn huko Kwa mama yake atalindwa na nini
Kweli mkuu wanawake baadhi akili zao ndogo yeye ana Jenga Nyimba kwao kwenye eneo la familia yao sasa ukute kwao wapo wanane, wazazi wamefariki kwenye mirathi atasema nyumba yake.
 
Pole man!

Wanawake wengi ni wabinafsi sana mkuu!

Usimwambie chochote Kaa kimya!halafu sitisha Kila kitu kuhusu duka Wala kutuma Hela ukweni!!!
 
Uliyoyafanya yote ni ya kawaida tu... Labda huo ushaur wa mama mkwe kwa mwanae ila unajipanikisha bure tu..Ulipofanya hayo yote ulikua na akili timamu.. Mke akuzalie ila ulivyompa atatumia kwa wanae pia
Mkuu hakuna kitu kama hicho kwenye jamii zaki Africa yani mfano Dada yangu ajenge Nyumba kwenye eneo la wazazi wetu halafu watoto wake waje warithi, kwanza kwa kule mtoto wakike watoto zao wanarithi kwa upande wa Baba na siyo kwa upande wa mama, upande wa umamani kule siyo kwao, mfano Dada yangu kaolewa na Mmakonde halafu watoto wake waje kurithi Nyumbani kwetu iko kitu hakipo, hiyo Dada ana potent muda na pesa anazo wekeza uko ila kama ana wajengea familia yao sawa lakin siyo avenge kwaajili ya watoto wake hapo atakuwa kapoteza.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Ndugu zangu naomba ushauri! Mimi ni mwanaume wa miaka 35 nimeoa mwaka huu mwezi wa pili na mwanamke niliyemuoa nimekuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu, ningeshamuoa tangu zamani ila kuna vikwazo vilikuwa vinazuia tusioane ikiwemo masomo na kupangilia maisha yaende sawa.

Kabla sijamuoa huyu mwanamke tulikuwa tunapanga mambo mengi mazuri, kama kujenga, kuzaa watoto, kufungua biashara, kutengeneza family ya kiMungu, jinsi tutakavyowalea watoto wetu, tuliongea mambo mengi sana. Nilimfungulia biashara ya milioni saba mwaka jana mwezi wa pili, nyumbani kwao nilikarabati nyumba yao, nikaweka masofa ya gharama, TV. king'amuzi na radio.

Nilimjengea mama yake jiko na choo cha kisasa nikawabadilisha kabisa. Sijui nilirogwa ama vipi nilijikuta nasukumwa kufanya tu na nilijikuta nampenda sana mpenzi wangu. Tumeenda hivyo hadi mwezi wa pili mwaka huu ndipo tulifunga ndoa, tukafanya harusi kubwa tu na mimi ndio nilikuwa nagharamikia nikisaidiana na familia yangu. Sasa siku kadhaa zilizopita kupitia simu ya mke wangu nimekuja kugundua kuwa mama yake anamfundisha asiwe mzembe kunichuna.

Tena sio kumfundisha, inaonekana alishamfundisha zamani sasa anamhimiza asikae kizembe ahakikishe anavuna vitu vya kutosha, imagine!! Ni kama Mungu tu kwasababu mimi sina mazoea kushika simu ya mke wangu kwahiyo alikuwa hafuti meseji japo hizo nilizofuma zimeanzia mwezi wa tatu. Anamwambia asikae kizembe hii bahati aliyoipata kwenye familia yake hakuna binti hata mmoja aliyebahatika kupata mume mwenye unafuu kama mimi.

Sasa hivi ndio akili inanirudi naanza kuunganisha matukio ya nyuma, nimemwaga sana pesa kwao yani alikuwa akiniitisha tu natuma! nimejikuta naumia mnooo najuta hata kufunga hii ndoa, nilijibana nikamfungulia duka ambalo hata mama yangu sijamfanyia hivyo. Lakini mimi nilifanya kwasababu ya kumfanya achangamke na nikikwama kulea familia tukipata watoto anisaidie.

Nimewaza mengi! Nawaza huenda hata hakuwa na nia ya kunizalia maana unawezaje kuiba mali za baba watoto wako? akiishiwa watoto watakula nini sasa? Sijamwambia kitu natafakari kwanza maana nilitaka kummaliza kabisa, niliondoka nyumbani nalala hotelini na hajui kama nimesoma meseji zake, nimezipiga picha tu niko nazo. Nahisi kichwa kinawaka moto. Naomba ushauri wa haraka nisiteketezwe zaidi🙏
sasa inabidi mama mukwe umwambie aje akuchune yeye mwenyewe itapendeza zaidi
 
Mkuu hakuna kitu kama hicho kwenye jamii zaki Africa yani mfano Dada yangu ajenge Nyumba kwenye eneo la wazazi wetu halafu watoto wake waje warithi, kwanza kwa kule mtoto wakike watoto zao wanarithi kwa upande wa Baba na siyo kwa upande wa mama, upande wa umamani kule siyo kwao, mfano Dada yangu kaolewa na Mmakonde halafu watoto wake waje kurithi Nyumbani kwetu iko kitu hakipo, hiyo Dada ana potent muda na pesa anazo wekeza uko ila kama ana wajengea familia yao sawa lakin siyo avenge kwaajili ya watoto wake hapo atakuwa kapoteza.
Kwanini unasema hivyo mkuu? Bahati nzuri bado sijazaa naye
 
happens. tulisema usioe kwa huruma, usioe kwa kuprove mtu, usioe kwa sifa. honestly utashtuka hata kukupenda hakupendi sema ulikuwa na pesa tu. you invest too much to walk away.
act huna pesa mapema. ujue panapo vuja.

note : hizo screenshot asizione utalogwa ndugu mwandishi,
Hii mbinu ya kuact huna pesa mimi niliitumia mwaka jana.
Akaanza kuniambia mbona nakuamini sana hebu nyanyuka upambane upya tafuta biashara nyingine wewe.
Nikaact nimekata tamaa kabisa sielewi na nilikuwa broke kweli lakini najua kuwa nikitaka mtaji kuna issue nitafanya.
Yalianza mapicha picha ya hatari
Sarakasi kama zote but sikujali
Mwishowe akatorokea kusikojulikana mpaka wa leo nauguza madonda moyoni..
Mwanamke kama hutoki nae kijiji kimoja au wilàya moja usimuoe ni bora ujiunge kataa ndoa tu.
 
Back
Top Bottom