Mabula Msirikale
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 657
- 1,540
- Thread starter
- #21
Duh hatari sana hivi vikabila vidogo vidogo.maana yake ni UTANIFANYA NINI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hatari sana hivi vikabila vidogo vidogo.maana yake ni UTANIFANYA NINI
hao ndio wenye mji na asili ya songea, wangoni ni wavamizi,Wamatengo ni nusu mngoni na nusu mndendeule, wampoto ni nusu mnyasa na nusu mmatengoDuh hatari sana hivi vikabila vidogo vidogo.
Hofu usikimbie,Mbona binti yao namtuza vizuri tu, anataka kufanya hivo ili iweje sasa?
Labda Anataka akufuatilie kwenye database ya taifa mkuu usiwe na wasi wasi we toa majina hayo 😅😅😅.Habari ya weekend JF.
Mpenzi wangu nimempa ujauzito.
Nipo mbioni kupeleka posa kwao ili nifunge nae ndoa Takatifu.
Wazazi wake bado sijakutana nao, binti yao ameshampa taarifa mama yake kuhusu hali yake ya ujauzito, mama yake akamuuliza kama kama anatunzwa akajibu ndiyo.
Sasa leo asubuhi mpenzi kanipa taarifa ya kushtua anasema mama yake kampigia simu anataka yeye (binti) amtumie majina yangu matatu, ya baba yangu matatu pia majina na mama yangu matatu.
Mama kijacho wangu kasema hawezi kumtumia kakataa japo hajamtamkia mama yake kua hatomtumia hayo majina.
Wadau huyu mama mkwe wangu mtarajiwa anataka hayo majina ya nini? Humu kuna wajuzi wengi naomba kujua anachotaka.
Mtumishi kuna vitu waafrika huwa tunajitoa ufahamu wakati mwingine ila wazungu Wana kitu inaitwa incenstor DNA ni muhimu Sana na hata hivyo ktk hupnmchakato wako wanndoa majina utaandika mwenyewe bila hata kuulizwa,as long umemwelewe manzinhebunamua moja ukubali yaisheHabari ya weekend JF.
Mpenzi wangu nimempa ujauzito.
Nipo mbioni kupeleka posa kwao ili nifunge nae ndoa Takatifu.
Wazazi wake bado sijakutana nao, binti yao ameshampa taarifa mama yake kuhusu hali yake ya ujauzito, mama yake akamuuliza kama kama anatunzwa akajibu ndiyo.
Sasa leo asubuhi mpenzi kanipa taarifa ya kushtua anasema mama yake kampigia simu anataka yeye (binti) amtumie majina yangu matatu, ya baba yangu matatu pia majina na mama yangu matatu.
Mama kijacho wangu kasema hawezi kumtumia kakataa japo hajamtamkia mama yake kua hatomtumia hayo majina.
Wadau huyu mama mkwe wangu mtarajiwa anataka hayo majina ya nini? Humu kuna wajuzi wengi naomba kujua anachotaka.
"Mimi siogopi maana namtumainia Mungu. "Mimi siogopi maana namtumainia Mungu. Mwanzo nilikua na plan za kumtumia mama mkwe nauli binti yake atakapokaribia kujifungua aje . Kwa hili la leo mmh nimegairi mtoto wangu si atakua anaoga madawa tu.
Mama mkwe ni afisa uhamiaji kwani?Habari ya weekend JF.
Mpenzi wangu nimempa ujauzito.
Nipo mbioni kupeleka posa kwao ili nifunge nae ndoa Takatifu.
Wazazi wake bado sijakutana nao, binti yao ameshampa taarifa mama yake kuhusu hali yake ya ujauzito, mama yake akamuuliza kama kama anatunzwa akajibu ndiyo.
Sasa leo asubuhi mpenzi kanipa taarifa ya kushtua anasema mama yake kampigia simu anataka yeye (binti) amtumie majina yangu matatu, ya baba yangu matatu pia majina na mama yangu matatu.
Mama kijacho wangu kasema hawezi kumtumia kakataa japo hajamtamkia mama yake kua hatomtumia hayo majina.
Wadau huyu mama mkwe wangu mtarajiwa anataka hayo majina ya nini? Humu kuna wajuzi wengi naomba kujua anachotaka.
Basi kuna ka ukweliKuna mtu ameniambia hivo pia kua mama mkwe anataka ani zoom nyota
wengi wako namtumbo, namabengo,lusewa, matimila,mputa etc,Wandendeule itakuwa Wilaya ya Tunduru hiyo asili yao bila shaka!
Wanataka kukupigia ramliHabari ya weekend JF.
Mpenzi wangu nimempa ujauzito.
Nipo mbioni kupeleka posa kwao ili nifunge nae ndoa Takatifu.
Wazazi wake bado sijakutana nao, binti yao ameshampa taarifa mama yake kuhusu hali yake ya ujauzito, mama yake akamuuliza kama kama anatunzwa akajibu ndiyo.
Sasa leo asubuhi mpenzi kanipa taarifa ya kushtua anasema mama yake kampigia simu anataka yeye (binti) amtumie majina yangu matatu, ya baba yangu matatu pia majina na mama yangu matatu.
Mama kijacho wangu kasema hawezi kumtumia kakataa japo hajamtamkia mama yake kua hatomtumia hayo majina.
Wadau huyu mama mkwe wangu mtarajiwa anataka hayo majina ya nini? Humu kuna wajuzi wengi naomba kujua anachotaka.
Haswaaa..Hata mimi nimehisi hivo, maana hata yeye ni singo mama.