Mama Mkwe anataka majina yangu matatu

Mama Mkwe anataka majina yangu matatu

Habari ya weekend JF.
Mpenzi wangu nimempa ujauzito.
Nipo mbioni kupeleka posa kwao ili nifunge nae ndoa Takatifu.

Wazazi wake bado sijakutana nao, binti yao ameshampa taarifa mama yake kuhusu hali yake ya ujauzito, mama yake akamuuliza kama kama anatunzwa akajibu ndiyo.
Sasa leo asubuhi mpenzi kanipa taarifa ya kushtua anasema mama yake kampigia simu anataka yeye (binti) amtumie majina yangu matatu, ya baba yangu matatu pia majina na mama yangu matatu.

Mama kijacho wangu kasema hawezi kumtumia kakataa japo hajamtamkia mama yake kua hatomtumia hayo majina.

Wadau huyu mama mkwe wangu mtarajiwa anataka hayo majina ya nini? Humu kuna wajuzi wengi naomba kujua anachotaka.
Labda Anataka akufuatilie kwenye database ya taifa mkuu usiwe na wasi wasi we toa majina hayo 😅😅😅.

Ila nijuavyo lakini mshirikina akipata vitu hivi basi atakayekuokoa ni Muumba pekee

1.jina la mama yako
2.tarehe yako ya kuzaliwa
3.na chochote ulichotumia/ unachotumia au ulichomiliki/unachomiliki
 
Habari ya weekend JF.
Mpenzi wangu nimempa ujauzito.
Nipo mbioni kupeleka posa kwao ili nifunge nae ndoa Takatifu.

Wazazi wake bado sijakutana nao, binti yao ameshampa taarifa mama yake kuhusu hali yake ya ujauzito, mama yake akamuuliza kama kama anatunzwa akajibu ndiyo.
Sasa leo asubuhi mpenzi kanipa taarifa ya kushtua anasema mama yake kampigia simu anataka yeye (binti) amtumie majina yangu matatu, ya baba yangu matatu pia majina na mama yangu matatu.

Mama kijacho wangu kasema hawezi kumtumia kakataa japo hajamtamkia mama yake kua hatomtumia hayo majina.

Wadau huyu mama mkwe wangu mtarajiwa anataka hayo majina ya nini? Humu kuna wajuzi wengi naomba kujua anachotaka.
Mtumishi kuna vitu waafrika huwa tunajitoa ufahamu wakati mwingine ila wazungu Wana kitu inaitwa incenstor DNA ni muhimu Sana na hata hivyo ktk hupnmchakato wako wanndoa majina utaandika mwenyewe bila hata kuulizwa,as long umemwelewe manzinhebunamua moja ukubali yaishe
 
Mimi siogopi maana namtumainia Mungu. Mwanzo nilikua na plan za kumtumia mama mkwe nauli binti yake atakapokaribia kujifungua aje . Kwa hili la leo mmh nimegairi mtoto wangu si atakua anaoga madawa tu.
"Mimi siogopi maana namtumainia Mungu. "

Sasa mbona unaghairi asije?😅
 
Habari ya weekend JF.
Mpenzi wangu nimempa ujauzito.
Nipo mbioni kupeleka posa kwao ili nifunge nae ndoa Takatifu.

Wazazi wake bado sijakutana nao, binti yao ameshampa taarifa mama yake kuhusu hali yake ya ujauzito, mama yake akamuuliza kama kama anatunzwa akajibu ndiyo.
Sasa leo asubuhi mpenzi kanipa taarifa ya kushtua anasema mama yake kampigia simu anataka yeye (binti) amtumie majina yangu matatu, ya baba yangu matatu pia majina na mama yangu matatu.

Mama kijacho wangu kasema hawezi kumtumia kakataa japo hajamtamkia mama yake kua hatomtumia hayo majina.

Wadau huyu mama mkwe wangu mtarajiwa anataka hayo majina ya nini? Humu kuna wajuzi wengi naomba kujua anachotaka.
Mama mkwe ni afisa uhamiaji kwani?
 
Wandendeule itakuwa Wilaya ya Tunduru hiyo asili yao bila shaka!
 
Ni waswahili fulani hivi wanafanana na watu wa mikoa ya kusini !
 
Habari ya weekend JF.
Mpenzi wangu nimempa ujauzito.
Nipo mbioni kupeleka posa kwao ili nifunge nae ndoa Takatifu.

Wazazi wake bado sijakutana nao, binti yao ameshampa taarifa mama yake kuhusu hali yake ya ujauzito, mama yake akamuuliza kama kama anatunzwa akajibu ndiyo.
Sasa leo asubuhi mpenzi kanipa taarifa ya kushtua anasema mama yake kampigia simu anataka yeye (binti) amtumie majina yangu matatu, ya baba yangu matatu pia majina na mama yangu matatu.

Mama kijacho wangu kasema hawezi kumtumia kakataa japo hajamtamkia mama yake kua hatomtumia hayo majina.

Wadau huyu mama mkwe wangu mtarajiwa anataka hayo majina ya nini? Humu kuna wajuzi wengi naomba kujua anachotaka.
Wanataka kukupigia ramli
 
Uchawi au utabiri unatumika sana mikoa ya pwani kujua utaleta umaskini,utajiri au nyota zenu na ukoo wake unaendana.
ila asilimia kubwa wanatumia kukupiga lock konki.

watu wengi mkiona mtu anakuuliza jina la mama yako muogope sana
 
Back
Top Bottom