Dunia inaenda kasi mnooo... kuna watu ni wachoyo sana
Usiangalie uchoyo tu.. Wengine tunahitaji uhuru, kama mimi kubanwabanwa nilishashindwa iwe na ndugu zangu au ndugu wa mwenzangu..
Kama kuwasaidia nitawaisaidia huko huko waliko sio lazima waamie kwangu, dada angu alijaribu kuleta upuuzi wa kuhamia kwangu.. Kilichomkuta hakuamini mpaka saizi heshima ipo!!
ulimfanyaje??Usiangalie uchoyo tu.. Wengine tunahitaji uhuru, kama mimi kubanwabanwa nilishashindwa iwe na ndugu zangu au ndugu wa mwenzangu..
Kama kuwasaidia nitawaisaidia huko huko waliko sio lazima waamie kwangu, dada angu alijaribu kuleta upuuzi wa kuhamia kwangu.. Kilichomkuta hakuamini mpaka saizi heshima ipo!!
kama unataka m Tanzania hakimbie kwako usiwe unapika chakula na kama unataka nyumba yako wageni wajazane tu kuwe kuna uwakika wakupatakikana vyakula vyakutosha watoto wa mjomba, shangaz, baba mkubwa, wajomba zako watakuwa wanakuja kila shule zikifungwa[emoji3][emoji3][emoji3],lazima watoke nduki
Kwahiyo if ikitokea bahati mbaya kaka/mdogo wako wa kiume afariki halafu ameacha watoto.... watoto wake hauwezi kuwa chukua na kuishi nao kama wanao ??
Tatizo tuna watoto na mke wangu, sasa imekuwa taabu kweli kweli.Wakimbie
dawa ni kuwapa ugali na maharage mabovu kila siku lazima watoke ndukikama unataka m Tanzania hakimbie kwako usiwe unapika chakula na kama unataka nyumba yako wageni wajazane tu kuwe kuna uwakika wakupatakikana vyakula vyakutosha watoto wa mjomba, shangaz, baba mkubwa, wajomba zako watakuwa wanakuja kila shule zikifungwa
yap angekuwa mdogo wake angemchana live akatafute kazi,Huyo mama angekuwa ni mama yako mzazi na huyo shemejio angekuwa ndugu yako ungesema yote hayo??
Ubarikiwe tena baba yanguNimekuelewa sana, nafanyia kazi huu ushauri
Huyo Mr London ni mtoto wa kishua. Hajazoea maisha ya extended family.Hautaki ndugu?! Si hua naskia ukioa au kuolewa ndugu wa mwenzio ni wako?!
Asingeoa maana hii ni roho mbayaHuyo Mr London ni mtoto wa kishua. Hajazoea maisha ya extended family.
jamaa wewe ni mjingaWatu wa ukumbi huu, habari zenu.
Nimeoa na sasa nina watoto 2 alhamdullah, nampenda sana mke wangu lakini kuna jambo hili linaendelea kila uchao nahisi moyoni nimeanza kulichukia chukia.
Kuna muda mamamkwe amekuja kumsaidia ulezi wife wakati wa kujifungua lakini akapitiliza ule muda nilioambiwa na wife kama angekaa, sasa akawa anakaa kama ndio mahali pa kuishi. Yeye ni age kidogo, mama mtu mzima, hana mume.
Kuna kipindi huyu mama anaumwaumwa, mara ikaja ni kuhusu haya mambo yaliyoingia; sijui kapewa jini, mara shetani tafrani nyumbani mpaka sasa amesafirishwa mji wa pili kwa matibabu zaidi lakini nahisi akimaliza matibabu kama aturidi hapa kwangu.
Suala lingine naona shemeji yangu mtoto wa kiume shababi naye amekuja. Siku hiyo wife akaniambia leo shemeji yako, yaani mdogo wake, atalala hapa nikasema safi nikamtolea kitanda na godoro ili achape usingizi kwa siku ile, lakini naona siku ya pili kaendelea mpaka imefika kama wiki akasafiri kidogo kaenda kukaa kama siku 4 karudi yupo tunaendelea naye anachapa usingizi kama kawaida.
Nilijaribu kumuuliza wife ananimbia anafuatilia kitambulisho cha Taifa. Sasa mimi najiuliza, ivi unaweza kuacha shughuli zako siku zote kwa kitambulisho tu? Kuna siku akasema ile namba tayari ashapewa lakini mzee yupo ameganda tu na sasa pale home majukukumu yanaongezeka.
Naomba fatwa watu wa hapa, vipi niendelee kuvumilia maana hata uhuru pale nyumbani naona umebanwa kidogo.
Halafu kumbuka pia kuwa hawa watu huwa hawachaguliwi sehemu ya kwenda kuishi, huwa wanachagua wao wenyewe! Kwa hiyo kama amepachagua hapo nyumbani kwako, tafadhali sana usimubugudhi. Lakini pia kwa upande mwingine kuna mbaraka wa pekee sana unaoambatana na uchaguzi huo iwapo alikuwa na options kadhaa, na akaamua kuja kwako na si kwa hao wengine. Kuna mbaraka wa pekee kwenye uchaguzi huo kwenu mliochaguliwa!Nimekuelewa sana, nafanyia kazi huu ushauri
Mkuu bila huyo mama usinge pata kipozeo tena mjali Sana mama kuliko huyo mkeo.Watu wa ukumbi huu, habari zenu.
Nimeoa na sasa nina watoto 2 alhamdullah, nampenda sana mke wangu lakini kuna jambo hili linaendelea kila uchao nahisi moyoni nimeanza kulichukia chukia.
Kuna muda mamamkwe amekuja kumsaidia ulezi wife wakati wa kujifungua lakini akapitiliza ule muda nilioambiwa na wife kama angekaa, sasa akawa anakaa kama ndio mahali pa kuishi. Yeye ni age kidogo, mama mtu mzima, hana mume.
Kuna kipindi huyu mama anaumwaumwa, mara ikaja ni kuhusu haya mambo yaliyoingia; sijui kapewa jini, mara shetani tafrani nyumbani mpaka sasa amesafirishwa mji wa pili kwa matibabu zaidi lakini nahisi akimaliza matibabu kama aturidi hapa kwangu.
Suala lingine naona shemeji yangu mtoto wa kiume shababi naye amekuja. Siku hiyo wife akaniambia leo shemeji yako, yaani mdogo wake, atalala hapa nikasema safi nikamtolea kitanda na godoro ili achape usingizi kwa siku ile, lakini naona siku ya pili kaendelea mpaka imefika kama wiki akasafiri kidogo kaenda kukaa kama siku 4 karudi yupo tunaendelea naye anachapa usingizi kama kawaida.
Nilijaribu kumuuliza wife ananimbia anafuatilia kitambulisho cha Taifa. Sasa mimi najiuliza, ivi unaweza kuacha shughuli zako siku zote kwa kitambulisho tu? Kuna siku akasema ile namba tayari ashapewa lakini mzee yupo ameganda tu na sasa pale home majukukumu yanaongezeka.
Naomba fatwa watu wa hapa, vipi niendelee kuvumilia maana hata uhuru pale nyumbani naona umebanwa kidogo.
Unawafanyaje, kuwafukuza siwezi na kwangu kumekuwa kwao, ndugu zangu kwangu hawatii mguu, wao hivyo ndio wanataka lakini kwangu imekuwa ngumu.Nanye Go, Hilo swala lakushindaje?
Ila nashukuru kuoa wa mwisho kwao.
Nashukuru wakwe walikuwa wanafanya mishe zao hadi leo wanafanya mishe zao.