naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,961
- 5,460
Chumba na sebule wanakuja mkuu utajua wewe watalalajeJamani Africa tunakwama wapi? Umeona binti umempenda umeulizia bei gani (mahari) umelipa ili uachane nao kiroho safi! Kumbe ndo unaenda kubeba ukoo na utitiri wa ndugu kisa unaishi nyumba kubwa either umepanga au umejenga. Ungekuwa na chumba kimoja au chumba na sebure wangekuja? Africa! Tunakwama wapi?