Huyu ni kijana ambaye ni mpole alafu hana makuu sijui kwanini watu kama hawa wanapata watu wa hovyoHapa umeweka mapungufu ya mkeo tu. Weka na yako story ikae sawa ijulikane shida iko wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni kijana ambaye ni mpole alafu hana makuu sijui kwanini watu kama hawa wanapata watu wa hovyoHapa umeweka mapungufu ya mkeo tu. Weka na yako story ikae sawa ijulikane shida iko wapi.
Mrangi mkuuMlifanya joint-venture mkuu, kwanza n kabila gani huyo mwenza wako?
Kummake Sisi WANAUME tumeshikwa safari hii.Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?
Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.
Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.
Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.
Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
Saizi nimelazimika kumuoa wazazi wake waliniambia nilazima nimuoe kwakuwa nimpe mimbaUmemuoa? Au sogea tupike?
Eti competitors dah nimecheka sanaWanawake wamageuka "competitors" wa wanaume na sio "partners".......inahitaji akili ya Hali ya juu sana kuishi na competitor
Umepiga kisawasawa akikujibu nitagKwahiyo unahalalisha mwanaume kuchepuka akiwa na hela ila tu mradi asifirisike?
Na mwanamke amvumilie mwanaume mchepukaji kisa hela ipo wanafaidi yeye na michepuko, ila mwanaume akifirisika basi walaumiwe michepuko kwa matumizi (as if mwanamke wa ndoa hakutumia) kisha mwanamke amuache mume mufirisi?
Sasa unaitaja ndoa au umalaya.
Gentleman,Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?
Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.
Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.
Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.
Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
Maji yakifika shingoni mtalakiMrangi mkuu
Unapenda mkuyege kweli wewe?Si muachane,kwani kuachana ni jambo la kushangaza sikuhizi.... mwanamke akikupendea pesa ukichacha na penzi limekufa anaanza kukuona kama nguchiro.... akikupendea mkuyenge na pesa at least utabaki mkuyenge....ukiishiwa pesa mwanaume mkuyenge nao unaanza kusuasua basi hapo pia unaachwa 🤣🤭🥴
Madam ilikuwa mimba yako, hawakukupa kwa nguvu ila walikukabidhi tu majukumu yako.Huyu mwanamke walinipa kwa nguvu wazazi wake ...baada ya yeye kupata mimba
Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?
Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.
Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.
Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.
Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
Sio bahati mbaya wewe ni mwivi, kuiba sio jambo la kuona ni kawaida ni dhambi, nadhani katika amri za Mungu wizi umekatazwa. Hivi unadhani yale matairi uliyokuwa unaiba au chochote kimedondoka kutoka mawinguni? Kuna mtu umekuwa unamuibia, na mshahara wa dhambi ndio huu unapambana nao sasa tena ushukuru huko jela, ungekuwa umefungwa muda huu na watu wanaishi na mkeo na mamako mkwe hapo kwako.Mkuu mafundi wote tunafanya hivo pale kwa mchina ...mimi ni kama ilikuwa Bahati mbaya
Fuata huu ushauri wa mwanamke.Si muachane,kwani kuachana ni jambo la kushangaza sikuhizi.... mwanamke akikupendea pesa ukichacha na penzi limekufa anaanza kukuona kama nguchiro.... akikupendea mkuyenge na pesa at least utabaki mkuyenge....ukiishiwa pesa mwanaume mkuyenge nao unaanza kusuasua basi hapo pia unaachwa 🤣🤭🥴