Mama mkwe nimemueleza aje amchukue binti yake kama anaona mimi namtesa

Mama mkwe nimemueleza aje amchukue binti yake kama anaona mimi namtesa

Muache.. Umeamua kuoa .. Kuoa Ni kumpa ajira mwanamke.. Umemuajiri mwanamke .. Mrudishe kwao ukiwa Sawa kiuchumi utamfata
Amuandalie na pension yake kabisa au ampe likizo na malipo juu
 
Tafuta pisi Kali kuliko yeye halafu mtambulishe kwake mwambie kuanzia Leo huyu namwajiri ndio atakua anauza duka la maji, wewe utarudi nyumbani kwenu kwakua unaona nakunyanyasa.
 
Wachana na huyo mwanamke mapema sana kabla jua halijazama, kwa maelezo yako huyo mwanamke ni wale mademu wasiojua maisha wenye tamaa ya maisha mazuri na kujiona yeye na mwanaume ni wako sawa. Haoni kwamba yeye ndiyo maskini ila anaona wewe ndiye maskini kuliko yeye shenzi zake.


Hallelujah!!!
 
Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
Ukiona Kipato chako hakitosholezi kuishi na mtoto wa watu....
 
Wanawake wa namna hiyo ni Kwa wale ambao wazaz wao hawawaambii ukweli. Ni wale wanawake ambao waliwahi kutegemewa na WAZAZI kama Msaada Kwa mambo ya kifedha. Unakuta mwanamke anampa habar za maisha ya familia yake kuwa anateseka na anateswa na mume wake. Mama au mzazi anahisi kama Kuna maisha ya mazuri ya mwanae yapo MAHALI flani sehemu flani hivi. Mzazi anaona kama mwanae alikosea KUOLEWA na wewe. Kuna muda wanakumbushia maisha na Binti yake kuwa Kuna muda binti yake aliishi life zuri why hayo maisha yasijirudie . Kuna muda wanaweza kuambiana kuwa Binti aende alikokuwa hata kama alikuwa anajiuza! Yapo mengi, mzazi hamkaripii mwanae na kumsihi kuwa ndoa huwa mafanikio hayaji haraka .maisha ya ndoa siyo mlima kileleni kwamba unateremka tu kutoka kileleni. Yana kukosa na na kupata ..Kuna muda mtalala njaa endapo mipango haitakaa sawa.sio Kwa sababu hamfanyi kazi.. Bali mfumo tu umekaa vibaya siku hiyo. Utalazimika kukopa Ili UISHI! Kazi ya muda huwa haileti uhakika wa ridhiki katika nyumba.. hata hizi kazi za kudum serikali au kwenye mashirika nazo Kuna muda hazina mwenendo mzuri wa uhakika wa fedha na chakula katika nyumba.
FANYA YAFUATAYO.
1 . Mwambie mzazi wake amwambie mwanae/ Binti ukweli.
2. Mwanamke HAJUI anachokitaka siku zote, hata siku moja usije ukajidanganya kuwa utamridhisha Kwa kumpa vitu. Badala ya kutumia laki 500000 aridhike, nenda kanunue shamba au kiwanja,.
3. Weka akiba Kwa kiasi kidogo unachopata kila siku au kila week,.
4 . Lea watoto wako kama unao maana hao ndio ndugu zako wa damu..waoneshe mapenzi kuwa upo na wewe ni baba Yao.
5. Usilie Kwa ajili ya mwanamke au usidhani kuwa asipokuwepo yeye maisha hayataenda.. Hawa watu ni kama Viti tu.. usipokaa wewe mwingine atakaa.
 
Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
Pole sana mkuu
Wanawake ni mitihani kwa wanaume kama hujasimama imara kama anashindwa kukuelewa na kuvumilia kipindi kigumu sio salama kwa ndoa yako
 
Ngoja wafia ndoa waliokunywa maji ya ndoa waje kukuzodoa
#kataa ndoa
Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
 
Pole sana
Haya maisha haya
Wanaopendwa hawathamini upendo
Kwa maelezo yako mkeo hakupendi
Pole sana
Pamoja na kipato nilichojaliwa alafu mwanaume akupeleke kwanda shoping hata ya elfu 50
Ni moja ya love mark kubwa sana
Jioni hii wakati tunafunga ofisi akaja boda kaagizwa mzigo
Akakaa kusubir boss wake alipie tukawa tunaongea akasema yeye kwa siku analaza 40,000 ila tatizo wanapenda wanawake ila ela wanapata
Naamini pesa ya kula hakosi kama wewe una boda
Ila HAKUPENDI
Na pia wanawake wengi wanaigana wanavyotunzwa na waume zao
Anataka nae umfanyie hivyo hivyo ni ujinga na kitokuangalia future
Na kuendekeza haya mambo ya kutumzana
Matokeo yake mtoto wa watu unamuumiza tu
SijawH kuwa kwenye situation ya ukata sana ila namshukuru Mungu sio materialistic sana
Sijawahi gombana na mume wangu swala la uchumi kabisa ni mambo mengine
Ana pesa zake na anasimamia jukumu la kutulea familia lakini yakitokea ups and down huwa n muelewa kirahisi sana
Sijakulia maisha ya kitajiri
Gari yangu ya kwanza kuendesha ni ya mume wangu na ya kwanza kumiliki nimemununuliwa n mume wangu ila mambo yooote yanatokea naturally tu
Simforce na simuumizi
Kwa sababu jambo moja ambalo nina uhakika nalo ni kwamba nampenda sana mume wangu

Kaa chini chambua
Utagundua mkeo hakupendi
Hii ni kubwa sana, kama haya uliyoyaandika hapa unayaishi, bhas uzidi kubarikiwa 🙏🏻
 
Usioe mwanamke asiye na Shukrani.
Asiyejua bajeti
Àmbaye hakupendi

Mwanamke yeyote anayetoa mambo yenu ya ndàni akatoa nje ikiwemo Kwa ndugu Zake au Wazazi wake Bila ninyi kukaa na kuruhusu tàarifa hizô zitoke huyo mfukuze.

Hata Wanaume weñye tàbia za kusema mambo ya Nyumba yake Kwa Wazazi wake ikiwemo madhaifu ya Mkewe, Mke anaruhusa ya kumuacha
Tatizo lake hatujui kuchagua mke ila tunajua kuchagua demu na kuwazoesha pesa siku tukija kuwaoa na tukaishi nao kiuharisia wa maisha yetu kimbembe kinaanza, Alimzoesha kumpa pesa kipindi cha uchumba na hajawai kumnyima ata siku moja, Mwanamke anatakiwa.muda mwingine akiomba pesa anyimwe hasa kwenye uchumba.
 
Tatizo lake hatujui kuchagua mke ila tunajua kuchagua demu na kuwazoesha pesa siku tukija kuwaoa na tukaishi nao kiuharisia wa maisha yetu kimbembe kinaanza, Alimzoesha kumpa pesa kipindi cha uchumba na hajawai kumnyima ata siku moja, Mwanamke anatakiwa.muda mwingine akiomba pesa anyimwe hasa kwenye uchumba.

Yeah!
Mwanamke anatakiwa ajue anaishi Tanzania kwèñye jamii inayoendelea Ndoto za telenova na novela za luningani aache
 
Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
Piga chini.....
 
Wahanga wa ndoa ni wapumbavu sana. Nilishaacha kuwashauri. Kila mara tunasisitiza humu kuwa ndoa ni utapeli na haramu iliyohalalishwa lakini kuna watuhawaelewi kabisa. Basi kula chuma hicho.
 
Pole broo sikiliza hizo nyimbo
1.lady jaydee ft Tid "what I need from you is understanding"
2.sababu ya ulofa - top C
3.msondo ngoma - ajali(ukizaliwa mwanaume jua Kila kitu kwako ni tabu)
4.Mme bwege-bushoke
5.Yako wapi mapenzi-Christian bela
6.Usilie-christian hela ft banana zoro
7.Mjomba-mrisho mpoto ft banana zoro anakwambia "Bora kujenga daraja kuliko ukuta" kazi kwako mkuu🧠

Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.bk
 
mkuu, hizo nihela zako yeye anataka kuwa na helazake.....mruhusu akajitume acha ubabaikaji
 
Back
Top Bottom