Mama Mkwe wangu ananivunjia heshima

mtafute mhaya jirani akutafsirie hii....OBWIGUSI BWEMANA NYOKOZALA OMWETA MAE!
Alaf lifanyie kazi!
 
Mm wake zangu mpaka wananipigia wao,maana siwezi kuwapigia simu mara kwa mara yote kuepuka haya
 
Tatizo la kuokoteza wanawake hovyo
Zamani wazazi wetu ndio walikuwa wanaridhia au kutuma watu kuwajua wakwe
Siku hizi mnabeba mpaka watoto wa wazinzi
Sasa wewe endelea tu hapo wife anaficha yake au nae anafanya kama mama
Like mother like daughter
Hapo hakuna kitu
Ukikaa vibaya anakupa
 
mkwe mkwee....anataka dyudyu
 
Ipo siku watakufukuza hapo kwako. Na kabla hujafukuzwa mkeo atagongwa na mchepuko wake hapohapo kwako. Wewe huheshimiwi na familia nzima ya ukweni kwako akiwemo mkeo. NIMEKEREKA SANA. Watu tuna masikitiko ya mlinzi wa maiti kutaka kuua mtu ili asimdhuru maiti halafu wewe unakuja na huu ushuzi!! 😑😑😑
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…