Mama Mkwe wangu ananivunjia heshima

Wewe ni Mjinga na unaonekana hujakamilika kama Mwanaume kamili yaani Mama Mkwe analeta mwanaume wake kwenye kitanda unacholala na Mkeo unahisi kwa nini kafanya hivi?sababu kubwa jitathmini kama ni mwanaume kamili au lah Asante
Sasa kosa Lake ni lipi mkuu?
 
Shukuru kama binti yake hana tabia kama za mama yake.
Muwekeeni mipaka TU na kumvumilia
 
Ujinga ni kuwekeza ukweni,ndio maana una dharaulika,!,mama na mwanaye wamekutawala akili
 
Mama mkwe si ndugu yako, na ndoa ni ya watu wawili, wewe kama kiongozi umeruhusu mtu wa tatu lazima shida itokee. Rudi kwenye nafasi yako fanya maamuzi.
 
kwetu mwiko kabisa mama mkwe kuja kukaa kwangu na mwanae....kwa mantiki hiyo ntakushauri fukuza kabisa hiyo kitu hapo, fukuzaaa iende kwake na mtoto wake akileta maneno fukuza,
 
Wewe ni Mjinga na unaonekana hujakamilika kama Mwanaume kamili yaani Mama Mkwe analeta mwanaume wake kwenye kitanda unacholala na Mkeo unahisi kwa nini kafanya hivi?sababu kubwa jitathmini kama ni mwanaume kamili au lah Asante
Hapa ilibidi jamaa aunge tera wamgonge huyo maza mtungo na huyo bwana ake. Upumbavu sipendagi
 
Huyo mama ni Mndamba mwenzangu.
Nipe namba yake nimkanye kwa kindamba atanielewa tu.

Nitamwambia kama amekosa heshima basi atulize K yake.
Mm ni Mndamba wa Kipingo na ni mstaafu.
Pole sana kijana kupata mama mkwe msela mavi.
 
Wewe jamaa!!

Kwanini usingechukua fimbo ukaingia ndani na kumtimua huyo mama na hawara yake!!?

Hasta polisi na ustawi was jamii wangekusaidia kesi!

Hao unapiga fimbo za kichwani wanatoa damu halafu unawaambia sitaki kuwaona tena!!!

POLE SANA KWA USTAARABU ULIOZIDI,NDUGU WA UKWENI HUWA NI MSALABA!

NILIWAHI MTIMUA SHEMEJI WA KIKE KISA ALILALA NJE JAPO BABA MKWE ALITETEA NILIGOMA AKAMALIZIA SHULE HOSTEL HUKO!!

KILA MWANAMME ANA A POINT OF NO RETURN!!



NENDA KAMTIMUE NA MKEWE AKILETA KELELE TIMUA!!
 
Dhambi, Mungu hapendi
 
Ndio ukweli wenyewe sasa mkuu yani mwanaume ukioa mwanamke ambaye amelelewa na Mama pekee hapo jua huna mke lazima itafika wakati atakua kama Mama yake tu
 
Wewe ni Mjinga na unaonekana hujakamilika kama Mwanaume kamili yaani Mama Mkwe analeta mwanaume wake kwenye kitanda unacholala na Mkeo unahisi kwa nini kafanya hivi?sababu kubwa jitathmini kama ni mwanaume kamili au lah Asante
Hapana, ulitakiwa umshauri kama alivyoomba.

Muoneshe njia afanye nini 'kumalizana' na tabia chafu ya mamkwe wake?

Kuishia kusema ajitathimini kama ni mwanaume kamili bila kumshauri cha kufanya, ni matusi umemtukana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ