Kwani lazima akutangaze hadharani na hajakuoa jamanii,,mbona ndio vizurii,,halaf huyo zari mbona maduka yote yalikufa au kipindi hicho akili zilikufa au ,kumbuka pia wanaume wanahitaji kumlea mwanamke na sio mwanamke amlee mwanaume yaan utafikiri zari anampa pesa daimond au kuna kitu kakifanya dai akawa hapa alipo ,kwani kukaa na mwanauke muda mrefu ndio kuwa na akili au,si mnaweza kukosana tu ulidhani kuachana na majizp hamisa ndio mbaya au ,mbona zari na umri ule hata ndoa tu hakuna mpaka anageuzwa video vixen anaolewa kwa video
Hakuna nakataaa,unataka kusema hamisa ana miaka mingapi!?30??