Mama Mongella - Aghushi na Kutafuna Mamillioni Ya Pesa!

Mama Mongella - Aghushi na Kutafuna Mamillioni Ya Pesa!

duh, hii shida, Msekwa najua atacheka hadi fizi ya mwisho! Tulishasema correlation kati ya u-CCM na ufisadi is so strong and positive. Halafu inaonekana wale wanaCCM wa wakati wa Nyerere ufisadi wao haukujionyesha kwa kuwa hawakupata nafasi tu, ukiwapa nafasi kidogo wana-prove kwamba ni mafisadi wa kutupa. Si ajabu hata Kingunge naye ndio hivyo tena.

Safari yetu ya kupambana na ufisadi ni futile so long as tunaendelea kuikumbatia CCM!

Kitila Kingunge ndiyo vipi? Unaweza kutupa zake?
 
1. Mama Mongela katuangusha Watanzania- umdhanie siye ndiye! Basi yuko TGNP anaonekana kweli kutetea haki za wanawake- kumbe sii mwadlifu hata kidogo! Ana tamaa mno! Hii ni tamaa ya fisi!

2. Akina mama Watz wengine (Asha- Rose, Tibaijuka, n.k) tunawasihi msikate tamaa kwa hili- songeni mbele kazi kwa bidii ila uadilifu mbele!
 
1. Mama Mongela katuangusha Watanzania- umdhanie siye ndiye! Basi yuko TGNP anaonekana kweli kutetea haki za wanawake- kumbe sii mwadlifu hata kidogo! Ana tamaa mno! Hii ni tamaa ya fisi!

2. Akina mama Watz wengine (Asha- Rose, Tibaijuka, n.k) tunawasihi msikate tamaa kwa hili- songeni mbele kazi kwa bidii ila uadilifu mbele!

yaani hii hadithi naisoma kama siamini vizuri.
hili kweli limetokea au mama wanamharibia?

kama ni kweli hii ni hatari tena kubwa, maana dunia hii samaki akioza mmoja wameoza wote.

kina mama mlobaki mna kibarua kizito kujisafisha uchafu aliokupakeni ikiwa ni kweli.


jengine tunajifunza si kila muhubiri mema ni mwema
 
Mkuu Mtanzania haka kamstari kako ambiguous kidogo, tehe, tehe,tehe...."Huyu mama hata huko nyuma mambo yake hayako wazi sana......" Inaonekana weye wamfahamu kiundani huyu mama!!!
Wamezoea kuchota zetu mabwege lakini wanasahau kuwa huu wizi unaishia ndani ya nchi ya wadanganyika tu, ukivuka mipaka tu umekwisha!!
 
Hii ni aibu kwa taifa la wadanganyika. Unajua kwenye taasisi kama AU ambayo bado kulindana kumejaa (kwa sababu ya uafrika), ukiona watu wanaamua kufumua soo ujue huyu mama alikuwa habebeki. Ingekuwa UN ambako wazungu ndo wameshika hatamu, huyu mama angekuwa Ukerewe kwao au Makongo nyumbani kwake, maana angekatwa hata pension yake! Kulipa hizo pesa.

Jamani kama waungwana walivyosema hapo juu, hizi taasisi za kimataifa wenye interests ni wengi mno! Ukifanya mchezo mwenzio anakuwa tayari kuhakikisha unaondoka aingie yeye. Mama hapo katuharibia sisi ambao tungependa kwenda kuhangaika na hizo nafasi!

Yaani wabongo bwana, fanya usanii basi angalau uajiri watu wenye unquestionable crediantials! kama huyo mkwe angekuwa na vyeti vilivyo kamilika sidhani kama wangemletea noma...
 
Mama Mongella mambo ya undugunaizesheni anayo sana, alishawahi kumchomeka mdogo wake ubalozi wetu wa UN New York ambako mpaka sasa anafanya kazi.By the way kuna mtoto wa Malecela pia yupo pale kwa hiyo haya mambo inaonekana ni kitabia fulani ambacho kipo katika uongozi wetu.

Relate to watoto wa wakubwa Benki kuu, Makamba Ikulu etc inaonekana tunajenga vi-class fulani vya elites wanaokuwa "Watanzania zaidi" kuliko wengine. Dangerous indeed.
 
Pundat unasema Ubalozini kwenu kule NY kuna mtoto wa Malecela ? Ni yupi huyo ? Ana sifa za kuwa pale ama inakuwaje mbona hii habari ni mpya sana ?Hebu Pundat niweke sawa tafadhali
 
Mhhhh!

Sasa jamani naomba kama kuna mjumbe anaweza kutuorodhoshea majina ya watu ndani ya CCM ambao ni wasafi na hawana madoa.

Huko Afrika Kusini kuna kajimtu mithili ya kibwengu ambae anaitwa Tokoloshe. Ana sura pia ifananayo na shetani na cha ajabu zaidi ni kwamba Tokoloshe ana tako moja tu!

Tokoloshe hupenda kuwavizia "victims" wake wakati wa usiku kwa madhumuni ya kuwaadhibu kwa viboko au hata kukujeruhi pale ambapo inabainika (kwa Tokoloshe) kwamba dhuluma ya watu fulani dhidi ya jamii, imezidi kipimo. Lakini pia tokoloshe anaweza kuwatumia watu kufanza mambo mengi mabaya likiwemo jambo la dhuluma na wizi.

Hivi juzijuzi tu kiongozi mpya wa ANC bwana Jacob Zuma alitania aliposema kwamba atahakikisha anajenga kuta ndevu na kunyanyua urefu wa kitanda nyumbani pake ili kuzuia ujio wa Tokoloshe.

Ni kiumbe kinachoogopewa sana na inafaa sana kama sasa nchi zetu za Afrika zitatawaliwa na Tokoloshe, maana naona watu wataogopa ujio wake na watatia adabu.

Hii ni kwa sababu hakuna wa kumwamini kumpa majukumu ya kuongoza nchi.

Onyo

Mtu anaejijua kwamba ni mwivi na amekwiba na kudhulumu mali ya umma mpaka akasaza, asijisumbue kwa kufuata wazo la bwana Jacob Zuma kwani Tokoloshe sasa ana watoto wengi tu ambo ni warefu na ni moto wa kuotea mbali.
 
Mama Mongella mambo ya undugunaizesheni anayo sana, alishawahi kumchomeka mdogo wake ubalozi wetu wa UN New York ambako mpaka sasa anafanya kazi.By the way kuna mtoto wa Malecela pia yupo pale kwa hiyo haya mambo inaonekana ni kitabia fulani ambacho kipo katika uongozi wetu. Relate to watoto wa wakubwa Benki kuu,Makamba Ikulu etc inaonekana tunajenga vi-class fulani vya elites wanaokuwa "Watanzania zaidi" kuliko wengine.Dangerous indeed.

Wooote hawatafika mbali...let me assure you...we are counting down. Tumenyanyasika sana ktk nchi yetu asilia.
 
Kuna kitu viongozi wa third world wanashare, "GREED". Iwe ni Mama Butto from Pakistan au Jacob Zumma in South Africa, all of this guys shares one thing and that is greed.

Huyu mama kama ameiba hizo pesa, i expecting she will be prosecuted and be punish under the international standards.Mimi i dont care amatuingiza kwenye aibu kiasi gani, what i care ni kupewa adhabu mahususi kwa matendo yake.
 
Mhhhh!

Sasa jamani naomba kama kuna mjumbe anaweza kutuorodhoshea majina ya watu ndani ya CCM ambao ni wasafi na hawana madoa.

Huko Afrika Kusini kuna kajimtu mithili ya kibwengu ambae anaitwa Tokoloshe. Ana sura pia ifananayo na shetani na cha ajabu zaidi ni kwamba Tokoloshe ana tako moja tu!

Tokoloshe hupenda kuwavizia "victims" wake wakati wa usiku kwa madhumuni ya kuwaadhibu kwa viboko au hata kukujeruhi pale ambapo inabainika (kwa Tokoloshe) kwamba dhuluma ya watu fulani dhidi ya jamii, imezidi kipimo. Lakini pia tokoloshe anaweza kuwatumia watu kufanza mambo mengi mabaya likiwemo jambo la dhuluma na wizi.

Hivi juzijuzi tu kiongozi mpya wa ANC bwana Jacob Zuma alitania aliposema kwamba atahakikisha anajenga kuta ndevu na kunyanyua urefu wa kitanda nyumbani pake ili kuzuia ujio wa Tokoloshe.

Ni kiumbe kinachoogopewa sana na inafaa sana kama sasa nchi zetu za Afrika zitatawaliwa na Tokoloshe, maana naona watu wataogopa ujio wake na watatia adabu.

Hii ni kwa sababu hakuna wa kumwamini kumpa majukumu ya kuongoza nchi.

Onyo

Mtu anaejijua kwamba ni mwivi na amekwiba na kudhulumu mali ya umma mpaka akasaza, asijisumbue kwa kufuata wazo la bwana Jacob Zuma kwani Tokoloshe sasa ana watoto wengi tu ambo ni warefu na ni moto wa kuotea mbali.

I guess Dr ALI MOHAMMED SHEIN vice president yeye na mkewe mama mwema shein.
 
Mama Mongella mambo ya undugunaizesheni anayo sana, alishawahi kumchomeka mdogo wake ubalozi wetu wa UN New York ambako mpaka sasa anafanya kazi.By the way kuna mtoto wa Malecela pia yupo pale kwa hiyo haya mambo inaonekana ni kitabia fulani ambacho kipo katika uongozi wetu. Relate to watoto wa wakubwa Benki kuu,Makamba Ikulu etc inaonekana tunajenga vi-class fulani vya elites wanaokuwa "Watanzania zaidi" kuliko wengine.Dangerous indeed.

Mzee Es..........

hebu weka mambo hadharani hapo,manake kamanda nakuamini una data za kutosha kuhusu MZEE TINGA TINGA.
 
Mhhhh!

Tokoloshe hupenda kuwavizia "victims" wake wakati wa usiku kwa madhumuni ya kuwaadhibu kwa viboko au hata kukujeruhi pale ambapo inabainika (kwa Tokoloshe) kwamba dhuluma ya watu fulani dhidi ya jamii, imezidi kipimo.

Hivi huyu Tokoloshe ndiye huyo kwenye picha yako?
 
View attachment 909
Hivi huyu Tokoloshe ndiye huyo kwenye picha yako?

Hahahahahaha! Hapana Kitila ,

Huyu kwenye picha yangu ni kiumbe kipendacho amani, utulivu na wakati wote huwa yuko alert hata kama kimo ndani ya shimo.

Siku moja rafiki yangu mmoja mwema alikuja kunitembelea akiwa na hiyo kamera uionayo.

Mimi nikajaribu kuitumia kwa ufundi mkubwa sana kumchukua mwanangu wa mwisho na matokea yake hio picha ya hapo chini.
 
Huyo Mama Mongela KAJIAIBISHA MWENYEWE na kama ni wizi wote hao vigogo kuanzia bunge letu mpaka AU watatudanganya tena. Sitoshangaa kesho kusikia kuwa bunge letu linakanusha kuwa lilikuwa halimlipi mshahara wake ili ionekane kuwa ni halali yeye kujilipa hizo dola 800 kwa siku.

Hapa ni mwendo wa "TEXT MESSAGE" UCHAGUZI UJAO. CCM LAZIMA WAONE JOTO YA JIWE KWANZA NDIO WATAACHA UFISADI.
 
Back
Top Bottom