1.
Halafu masatu unashangaa kwa nini hupati kazi foreign!
Una maana Masatu, hawzi pata kazi Foreign kwa sababu mtoto wa Malecela, ambaye ni mwanasheria by professional, aliyesoma na kufanya kazi mbali mbali kwenye NGOS, na baadaye kuchukuliwa na foreign kutokana na umahiri wake kikazi, na kufanya kazi wizarani kwa muda zaidi ya miaka mitatu na kuwa elligible kwa post nje, kama wengine wote hapo wizarani, unasema hiyo ni ndugunization? au itamzuia Masatu asiingie foreign are you serious au ni ile culture ya kulia lia tu kama watoto wadogo bila ya kujua tatizo lako binafsi kwa hiyo dawa ni kusingizia fulani ndiye sababu ya misery yako! Hivi mkuu huko foreign unakujua au unakusikia tu? Huwezi ingia huko bila kichwa kizima mkuu na huwezi pewa post bila kichwa ama sivyo utarudishwa na balozi wa kituo!
2. [
B]a tena KAZI KWENU kikosi cha CSI cha JF[/B]
Mambo yote yapo hapa hadharani tena yako clear mkuu, hakuna kilichofichwa, kama kuna unachokijua weka hapa mkuu upewe majibu!
3.
Malecela ana watoto wangapi? maana kwa jinsi walivyotajwa hapo naona kuna wengine hawako
Sasa kama unawajua kwa nini usiseme na jinsi walivyo tatizo kwa kwa mendeleo ya taifa letu
4.
ama kweli foreign hapafai
kwa mantiki hii labda ni wewe mkuu ndiye hufai maana huna point so far, kama ni foreign nafikiri inaeleweka na jamii nzima kuwa ni moja ya kitengo mahiri kwa utendaji kazi serikalini, kwa hiyo labda wewe mkuu ndiye unatatizo, au wewe ni ndugu wa Mama Mongella?
5.
Mbona jujamtaja mtoto wa kigogo mwingine aliyepewa kazi tuuu kwa sabubu yuko hapo UN muda mrefu?
Tizama swali lako mkuu, mbona hujamtaja mtoto wa kigogo mwingine ambaye yuko hapo UN muda mrefu, sijui ni nani huyo lakini kama alikuwepo hapo UN muda mrefu kbal;a ya kuajiriwa, ina maana ana experience tunayoiihitaji, sasa ulitaka tumuache huyo tukamchukue bongo mtu ambaye hana experience kabisa?
Mkuu vipi, mbona nilikuwa ninakuona siku zote kuwa una kichwa au ndio stress za kritsmas? duh!