Ukiangalia jinsi ofisi fulani zinavoajiri watu, kama benki kuu na hizi balozi.You begin to wonder kama Tanzania kuna "Equal Opportunity" maana kila sehemu Mkapa this, Malecela that,Sokoine this,Makamba that, Mwinyi this sio kwamba hatutaki hawa watu wafanye kazi lakini kuna level ya concentration fulani inaboa unapokuta kwenye ofisi moja huyu Mongella huyu Malecela unajiuliza hivi hapa last name ni qualification au vipi?
Mi nawasifu sana watoto wa viongozi wanaopiga mitikasi yao au waliokuwa katika sekta binafsi (bila ya kutafutiwa kazi na wazee wao)
Mkuu Pundit,
Heshima mbele, now what is your take kuhusu watoto wa viongozi kwamba wasifanye kazi za kuajiriwa serikalini? au kwenye mashirika kwa sababu ya majina ya baba zao? Mkuu time zimebadilika, zile enzi watoto wa viongozi wanakuwa walevi tu wavuta bangi sio leo tena mkuu, ninaweza kukuelewa kama kuna mtoto wa kiongozi ambaye ameajiriwa mahali kwa vitisho vya baba, lakini hiyo sio tabia za foreign mkuu, na ingekuwa believe me foreign asingeajiriwa mtoto wa masikini wangekuwa wote ni watoto wa wakubwa tu, unless tuna ushahidi wa mtoto fulani wa kigogo kulazimisha kuajiriwa mahali tunakuwa tunatafuta sababu tu ya our natinal misery at the wrong place,
Sio watoto wote wa viongozi wanaoweza kutafuta kazi zao wenyewe, kama vile ambavyo sio watoto wote wa masikini wanaoweza kujiajiri wenyewe, it works both ways, lakini haina maana mtoto wa kiongozi mwenye qualifications asiombe kazi serikalini au popote pale, kwa sababu itaonekana kuwa ni baba yake I mean ni hoja finyu sana. Zamani tunajua walikuwa wakipeana bila qualificatons, lakini sio sasa mchezo uliiisha siku nyingi, waacheni watoto wa viongozi wafanye kazi zao za kutafuta maisha, maana sasa tutakuwa tunalia wivu tu!