Mama Mongella - Aghushi na Kutafuna Mamillioni Ya Pesa!

Mama Mongella - Aghushi na Kutafuna Mamillioni Ya Pesa!

Kama mtakumbuka wakati uleee kabla ya uchaguzi kuna mtu aliomba watu wapendekeze majina ya watu wanaofaa kuwa rais wa Tanzania.. kuna baadhi walimtaja huyu mama nikasema HAFAI - tena kwa mshangao nikauliza kitu gani mnakiona toka kwake.

Huyu mama mtu wa home, tunamjua vizuri tabia zake na nadhani imefikia wakati mnapotaka kumchagua mtu katika nafasi kama hizi jaribuni kwanza kuomba CV yake ya kiswahili, kabla ya hiyo ya kizungu.
Maendeleo ya mwafirka, yatatokana na kuondoa viongozi kama hawa. Maneno mengi na huruma nyingi usoni pa watu lakini ndani kunawaka moto na imani za uchawi, unafiki, Ukoloni (ubwana), roho mbaya na Ubinafsi. Hili la wizi tena ndio limeongezea tamu ya CV yake ya kiswahili.

Mzee Msekwa pia inadaiwaa alikuwa na tabia hiyo kwa miaka mingi sana hakuyajua hayo hadi alipodondoka Uspika, Leo hii mtu safi. Cheo ni dhamana ulopewa na wananchi sio haki yako including familia yako. Ikiwa international boby zinapoiga marufuku kiongozi kuajiri ndugu ama jamaa zake inakuwaje hili ni jambo la kawaida ktk tawala za Kiafrika?

Jaribuni kupitia Taasisi zote nchini utaona kuwa viongozi wote wameweza kuzitumia nafasi zao kutoa ajira kwa ndugu zao.. Waafrika kwa ujumla hupata elimu ya juuu ili tupate kuwasaidia ndugu ama familia, yaani elimu yako inakuwa tegemeo la familia kuondokana na Umaskini.

Hilo swala la elimu kutupa nchi maendeleo ni imani ya wazungu na utaikuta ktk kamusi na vitabu vyenu nyie wasomi lakini reality ni kuwa elimu kwa mwafrika ni nyenzo itakayokuwezesha kushika nafasi ya KULA hivyo kuikomboa familia yako kiuchumi.
 
Kama mtakumbuka wakati uleee kabla ya uchaguzi kuna mtu aliomba watu wapendekeze majina ya watu wanaofaa kuwa rais wa Tanzania.. kuna baadhi walimtaja huyu mama nikasema HAFAI - tena kwa mshangao nikauliza kitu gani mnakiona toka kwake.
Huyu mama mtu wa home, tunamjua vizuri tabia zake na nadhani imefikia wakati mnapotaka kumchagua mtu katika nafasi kama hizi jaribuni kwanza kuomba CV yake ya kiswahili, kabla ya hiyo ya kizungu.
Maendeleo ya mwafirka, yatatokana na kuondoa viongozi kama hawa. Maneno mengi na huruma nyingi usoni pa watu lakini ndani kunawaka moto na imani za uchawi, unafiki, Ukoloni (ubwana), roho mbaya na Ubinafsi. Hili la wizi tena ndio limeongezea tamu ya CV yake ya kiswahili.
Mzee Msekwa pia inadaiwaa alikuwa na tabia hiyo kwa miaka mingi sana hakuyajua hayo hadi alipodondoka Uspika, Leo hii mtu safi
Cheo ni dhamana ulopewa na wananchi sio haki yako including familia yako. Ikiwa international boby zinapoiga marufuku kiongozi kuajiri ndugu ama jamaa zake inakuwaje hili ni jambo la kawaida ktk tawala za Kiafrika?.
Jaribuni kupitia Taasisi zote nchini utaona kuwa viongozi wote wameweza kuzitumia nafasi zao kutoa ajira kwa ndugu zao.. Waafrika kwa ujumla hupata elimu ya juuu ili tupate kuwasaidia ndugu ama familia, yaani elimu yako inakuwa tegemeo la familia kuondokana na Umaskini...
Hilo swala la elimu kutupa nchi maendeleo ni imani ya wazungu na utaikuta ktk kamusi na vitabu vyenu nyie wasomi lakini reality ni kuwa elimu kwa mwafrika ni nyenzo itakayokuwezesha kushika nafasi ya KULA hivyo kuikomboa familia yako kiuchumi.

Mkuu nakuaminia sina la kuongeza zaidi ya kukubaliana na wewe tu hapo. Kubwa zaidi umeonyesha tabia tofauti kabisa na wengi wetu humu kutetea watu wa "nyumbani" au kabila langu.

Uzalendo wa kweli kama huu ndio unaokosekana sio tu huko serikalini bali hata hapa JF.

Bravo mkuu
 
Masatu,
Mzee wangu shukran, kwa muda nimekuwa nikilitazama hili jina lako unalotumia na kujiuliza mengi. Jina popular sana UK vipi?
 
kwani huyo mkwewe si ni ndugu yake mke wa kingunge,mke wa kingunge wao wanamuita shangazi yao,lakini wamelelewa na kingunge pale victoria na kaolewa hakiwa anaishi pale kwa kingunge mwiru.
naungana na wale wanaosema hayo ni malezi ya ccm.
 
......................Sitoshangaa kesho kusikia kuwa bunge letu linakanusha kuwa lilikuwa halimlipi mshahara wake ili ionekane kuwa ni halali yeye kujilipa hizo dola 800 kwa siku...............

..............tatu kumbe wewe unawafahamu vizuri sana hawa watu............lakini kwa hapo tokoloshe yupo nao tu
 
Huyo Mama Mongela KAJIAIBISHA MWENYEWE na kama ni wizi wote hao vigogo kuanzia bunge letu mpaka AU watatudanganya tena. Sitoshangaa kesho kusikia kuwa bunge letu linakanusha kuwa lilikuwa halimlipi mshahara wake ili ionekane kuwa ni halali yeye kujilipa hizo dola 800 kwa siku.

Hapa ni mwendo wa "TEXT MESSAGE" UCHAGUZI UJAO. CCM LAZIMA WAONE JOTO YA JIWE KWANZA NDIO WATAACHA UFISADI.

Hapo umenena
 
Huyu naye hajapata nafasi tu ya kufisadi, ufisadi na CCM wameoana!

Kitila,

No data no right to accuse, kama una-mu acuse Shein by association au kuwa complacent in the face of ufisadi say so, lakini huwezi kum-judge mtu kwa sababu "hajapata nafasi" that is presuming somebody to be guilty until proven innocent.

Sasa kama yeye ni number two katika administration ya nchi unataka apate nafasi gani tena?

Let's be serious for a minute when it comes to people's reps.
 
Kitila,

No data no right to accuse, kama una-mu acuse Shein by association au kuwa complacent in the face of ufisadi say so, lakini huwezi kum-judge mtu kwa sababu "hajapata nafasi" that is presuming somebody to be guilty until proven innocent.

Sasa kama yeye ni number two katika administration ya nchi unataka apate nafasi gani tena?

Let's be serious for a minute when it comes to people's reps.

.............na zaidi ukitaka kumfahamu vema angalia pia CV yake ya nyuma.....both ya kiswahili na ya kizungu
 
Huyu naye hajapata nafasi tu ya kufisadi, ufisadi na CCM wameoana!

sijakuelewa hajapata vipi wakati ni vice president?

KAHAMA ni mbunge tu keshauza nchi kwa kila mzungu ujaye ndio itakuwa huyo shein? semakweli shien ni clean kama alivokuwa Dr Omar Ali Juma
 
Mkandara: natamani maneno yako yangevuka mpaka yasambae zaidi na zaidi; Ahsante sana, hizo ni salamu kali za mwaka mpya!
 
KM.....

hapo kaka sikubaliani na wewe,the guy almost 5yrs ameshakaa pale lakini still yupo fresh tu.

mie naamini wampe nafasi 2015 awe rais wa MUUNGANO au waonaje?


Hatutaki kukata matawi sasa hivi; tunahitaji tung'oe mti (CCM), vinginevyo ni kucheza sindimba!
 
Brazameni,
Duh, umenikumbusha Dr. Omar damn. hapo ndipo utakapo koma na mazingira ya kiafrika. Ule msemo Wema hawana maisha! hii hutokea only in AFRICA. Wenzetu kwao hao wema huishi miaka mingi zaidi (kina mama Theresa) na wakifa huacha kazi zao zikiendeleza wema wao sio sisi.

Kisha yaonyesha kuwa viongozi wengi toka Zanzibar ni clean zaidi kuliko bara tukiwa ondoa Karume na Seif Shariff Hamad.
 
By the way kuna mtoto wa Malecela pia yupo pale kwa hiyo haya mambo inaonekana ni kitabia fulani ambacho kipo katika uongozi wetu. Relate to watoto wa wakubwa Benki kuu,Makamba Ikulu etc inaonekana tunajenga vi-class fulani vya elites wanaokuwa "Watanzania zaidi" kuliko wengine.Dangerous indeed. Mzee Es..........
hebu weka mambo hadharani hapo,manake kamanda nakuamini una data za kutosha kuhusu MZEE TINGA TINGA.


Heshima mbele wakuu,

The ishu ni Umoja wa Afrika, AU kumshitukia Mama Mongella, kwa tuhuma mbili nzito, wizi na undugunization, kuhusu wizi wamesema ameiba dola 130,000, kuhusu undugu wamesema mojawapo ni mke wa mtoto wake ambaye amemuajiri kama msaidizi wake, meaning kwamba huyo mtoto either hana qualifications, au sheria za AU kama za UN haziruhusu ndugu zaidi ya wawili kuwafanyia kazi kwa wakati mmoja. Kwa mfano, Balozi wetu Manongi alipoteuliwa na Mama Migiro kuwa msaidiizi wake, ilibidi ndugu wa Manongi aliyekuwa UN, aache kazi mara moja ili balozi aweeze kufanya kazi huko, sasa Mama Migiro, pia angeweza kuizunguka sheria hiyo angetaka kutokana na nafasi yake kule UN, sasa ingekuja kugundulika baadaye, yangekuwa kama haya ya Mama Mongella, maana inawezekana kuwa mkwe wake anazo qualifications lakini sheria za
AU labda kama za UN haziruhusu ndugu wawili.

Now let me make this clear, kuhusu watoto wote wa Malecela na kazi zao, mmoja ni PHD Holder Director wa Research Wizara ya Afya, Tanzania, mwingine pia ni PHD holder Associate Professor na mtaaalamu wa Premature Babies huko majuu DC Washington, mwingine ni holder wa MA from UK, ambaye ni Senior State Attorney kwenye ofisi ya waziri wetu wa sheria Tanzania, mwingine ni holder wa BA from India, ni Second Officer/Diplomat katika wizara yetu ya nje, stationed kwenye Permanent Mission to UN kule NY, mwingine former Baharia na ni holder wa MA in Political Science/Criminology na in the meantime ni Owner/Operator wa Tractor&Trailor, huko majuu New York, sasa wakuu ninaomba mnisaidie kuelewa kuhusiana na hoja ya Malecela na undugunization kama kweli inaweza kusimama hapa? Unless kama watoto wa viongozi hawatakiwi kufanya kazi kabisa maana sasa itakuwa kila wakifanya kazi ni undugunization au?

Binafsi nimesikitishwa sana na hizi tuhuma dhidi ya Mama Mongella, my longtime close friend na Bob you are very right mimi ni mmoja wa wale waliokuwa wakimpigia debe huyu mama kwenye urais wa bongo, nilikuwa na hii story for a while sasa lakini nilikuwa siamini kabisaa na I am still puzzled na ni lazima niseme ukweli how difficult ilikuwa kwangu kuiweka hii story hapa JF, lakini taifa ni taifa tumesema time and time again kuwa ndio sababu hasa ya kuwepo kwetu hapa JF, our nation na kwenye kumkoma nyani hatumuangalii usoni,

I mean, Mama Mongella Getrude, kweli the women I have all trusted as a leader anapoweza kujiingiza kwenye this kind of nonesense what is there left kwetu wananchi? Majuzi tu alimtwanga Chenge mbele ya wananchi, kumbe na yeye amebeba this kind of crap? AU shirika la kimataifa it takes a lot mpaka kufikia kumu-accuse kiongozi wa juu kama yeye, I have no doubt kabisa kuwa hii story ni ukweli tena wa mchana kweupeee, Tibaijuka naye analo hili soo la undugunization kule UN bado halijaisha, now this? Bado ninajaribu kui-diggest hii ishu kabla ya kusema more,

I am lost!
 
i guess Dr ALI MOHAMMED SHEIN vice president yeye na mkewe mama mwema shein.

Nimesikia kwa watu kuwa hii ni sifa na utamaduni wa wapemba, UAMINIFU, ndio maana wanafanikiwa kwenye biashara. Hebu watafutieni tuhuma za ufisadi kina Dr Salim Ahmed Salim na Marehemu Dr Omar Ali Juma kama mtapata hata moja.
 
Kuna kitu viongozi wa third world wanashare, "GREED". Iwe ni Mama Butto from Pakistan au Jacob Zumma in South Africa, all of this guys shares one thing and that is greed.

Huyu mama kama ameiba hizo pesa, i expecting she will be prosecuted and be punish under the international standards.Mimi i dont care amatuingiza kwenye aibu kiasi gani, what i care ni kupewa adhabu mahususi kwa matendo yake.

Mtanganyika,

And so are the leaders of first world, the Blairs, Thatchers, Bushes, Clintons, Cheneys and other or we would claim their style is free economy and capitalism?
 
Masatu,
Mzee wangu shukran, kwa muda nimekuwa nikilitazama hili jina lako unalotumia na kujiuliza mengi. Jina popular sana UK vipi?

Ndio hivyo mkuu we are sailing in the same boat lakini hatujuani na bora ibaki hivi hivi otherwise unaweza kupatwa na heart attack bure...
 
Heshima mbele wakuu,

The ishu ni Umoja wa Afrika, AU kumshitukia Mama Mongella, kwa tuhuma mbili nzito, wizi na undugunization, kuhusu wizi wamesema ameiba dola 130,000, kuhusu undugu wamesema mojawapo ni mke wa mtoto wake ambaye amemuajiri kama msaidizi wake, meaning kwamba huyo mtoto either hana qualifications, au sheria za AU kama za UN haziruhusu ndugu zaidi ya wawili kuwafanyia kazi kwa wakati mmoja. Kwa mfano, Balozi wetu Manongi alipoteuliwa na Mama Migiro kuwa msaidiizi wake, ilibidi ndugu wa Manongi aliyekuwa UN, aache kazi mara moja ili balozi aweeze kufanya kazi huko, sasa Mama Migiro, pia angeweza kuizunguka sheria hiyo angetaka kutokana na nafasi yake kule UN, sasa ingekuja kugundulika baadaye, yangekuwa kama haya ya Mama Mongella, maana inawezekana kuwa mkwe wake anazo qualifications lakini sheria za
AU labda kama za UN haziruhusu ndugu wawili.

Now let me make this clear, kuhusu watoto wote wa Malecela na kazi zao,

mmoja ni PHD Holder Director wa Research Wizara ya Afya, Tanzania,

mwingine pia ni PHD holder Associate Professor na mtaaalamu wa Premature Babies huko majuu DC Washington,

mwingine ni holder wa MA from UK, ambaye ni Senior State Attorney kwenye ofisi ya waziri wetu wa sheria Tanzania,

mwingine ni holder wa BA from India, ni Second Officer/Diplomat katika wizara yetu ya nje, stationed kwenye Permanent Mission to UN kule NY,


mwingine former Baharia na ni holder wa MA in Political Science/Criminology na in the meantime ni Owner/Operator wa Tractor&Trailor, huko majuu New York,




sasa wakuu ninaomba mnisaidie kuelewa kuhusiana na hoja ya Malecela na undugunization kama kweli inaweza kusimama hapa? Unless kama watoto wa viongozi hawatakiwi kufanya kazi kabisa
maana sasa itakuwa kila wakifanya kazi ni undugunization au?
Halafu masatu unashangaa kwa nini hupati kazi foreign!


haya tena KAZI KWENU kikosi cha CSI cha JF

hivi Malecela ana watoto wangapi? maana kwa jinsi walivyotajwa hapo naona kuna wengine hawako

ama kweli foreign hapafai

Mbona jujamtaja mtoto wa kigogo mwingine aliyepewa kazi tuuu kwa sabubu yuko hapo UN muda mrefu?
 
We Brazameni

we acha tu fungu la kukosa ni kukosa tu....
 
mie ninataka sana kumjua huyu:

mwingine ni holder wa MA from UK, ambaye ni Senior State Attorney kwenye ofisi ya waziri wetu wa sheria Tanzania,
 
Ukiangalia jinsi ofisi fulani zinavoajiri watu, kama benki kuu na hizi balozi.You begin to wonder kama Tanzania kuna "Equal Opportunity" maana kila sehemu Mkapa this, Malecela that,Sokoine this,Makamba that, Mwinyi this sio kwamba hatutaki hawa watu wafanye kazi lakini kuna level ya concentration fulani inaboa unapokuta kwenye ofisi moja huyu Mongella huyu Malecela unajiuliza hivi hapa last name ni qualification au vipi?

Mi nawasifu sana watoto wa viongozi wanaopiga mitikasi yao au waliokuwa katika sekta binafsi (bila ya kutafutiwa kazi na wazee wao)

Uadilifu katika principle za ethics za kazi kama kutoleta undugunaizesheni ndiyo huo huo unaoleta au kuweza kuzuia grand scale corruption.
 
Back
Top Bottom