Mama mtu mzima ananitaka kimapenzi, ana miaka 34+

TRA na Daladala wapi na wapi! Dogo punguza fix hum kuna wakubwa zako!!
 
Hivi miaka 34 ni jimama?Kumbe mimi babu sana.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kumbe majimama sikuhizi yanaanzia kiaka 34+ na hamsemi? Muwe mna tu update mapema sijapenda
 
Umekuja kushtaki kwa sisi kaka zako siyo.

Dogo hilo jimama ni hatari na si bure anataka wa kumsindikiza na kaukimwi kake.

Leta namba yake inbobo nilikanye asije akakupoteza chalii wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…