😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎Humu ndani hatuna uwezo wa kuhakiki composition ya chanjo maana hata technology iliyotumika kuitengeneza sijui kama tuna scientist ana weledi wa kuichambua. Unaanzia wapi
Mama funguka kama turbo, ila on your own riskUsimzibe mdomo mama,wacha afunguke
Issue siyo kufunguka. Matokeo baada ya kuropoka yanaumiza wasiohusikaUsimzibe mdomo mama,wacha afunguke
Chanjo ya makatapera, makusu, mbula, numbu, migagi, masasati, vitindi, mang'ang'a, mabangayeye, madava, kabunguja, sungwa, na nguniyani😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎
Futa kauli yako, sisi tumeweza kutengeneza chanjo, tunashindwaje kuchambua chanjo?
Mama yupo right...Issue siyo kufunguka. Matokeo baada ya kuropoka yanaumiza wasiohusika
sema unataka kurudi utumwaniTunataka kurudisha umoja wa kimataifa then tunazidi kuwaponda "WAZUNGU".
Tushaitwa shithole countries.Tunataka kurudisha umoja wa kimataifa then tunazidi kuwaponda "WAZUNGU".
Umesahau kifuge na kisyesyeChanjo ya makatapera, makusu, mbula, numbu, migagi, masasati, vitindi, mang'ang'a, mabangayeye, madava, kabunguja, sungwa, na nguniyani
Rudi shule, una akili ndogo sanaMama yupo right...
hakuna inchi imetajwa specific hapo....
acheni uoga
Tushaitwa shithole countries.
Tushaambiwa turudishwe utumwani n.k.
sema unataka kurudi utumwani
ww na mizungu toka lini mkawa na umoja!?
Ongezea mafyulisi, matobho na sungununuChanjo ya makatapera, makusu, mbula, numbu, migagi, masasati, vitindi, mang'ang'a, mabangayeye, madava, kabunguja, sungwa, na nguniyani
Tangu dunia inaumbwa, modern world to be specific, tumekuwa tukipata dawa na supplies zetu zote za viwanda, vyakula etc toka Europe na Marekani. kama kutuua tungelikuwa tumetoweka zamani sana. Vaccines zote za watoto zinatok huko na bado watoto wanaozitumia ukubwani hawana tatizo wanazaa etc etc. Achana na rubbish theoriesZipo tetesi za mpango wa siri za wazungu kuua Waafrika weusi ili baadaye vizazi vyao vije ku take over ardhi ya Africa, wanatumia njia mbalimbali ikiwemo njia ya Vaccine na Fortifications ya madawa (kampuni ya SANKU) katika unga wa vyakula nk