Mama Mulamula umekosea, unasema Ulaya wanatuleteaga vitu vya sumu huku Afrika: Una ushahidi wa hilo?

Mama Mulamula umekosea, unasema Ulaya wanatuleteaga vitu vya sumu huku Afrika: Una ushahidi wa hilo?

Walishindwa kuua kipindi cha ukoloni leo watake kukuua?
1961 tulikuwa watu wangapi TZ? na leo tupo zaidi ya milion 50
Hizo taarifa siyo kweli. Ingekuwa hivyo wangeanza na wafrika wanaoishi kwenye nchi zao
Zipo tetesi za mpango wa siri za wazungu kuua Waafrika weusi ili baadaye vizazi vyao vije ku take over ardhi ya Africa, wanatumia njia mbalimbali ikiwemo njia ya Vaccine na Fortifications ya madawa (kampuni ya SANKU) katika unga wa vyakula nk.

Tatizo letu ni kwamba sisi vyombo vyetu vya usimamizi wa mambo ya kiuchunguzi mfano TFDA na TBS au ofisi ya mkemia mkuu havina ueledi mkubwa au ni butu tukiwategemea hao hao tunaowashutumu watusaidie kiutaalamu katika kuchunguza na kukagua dawa wanazotuletea, in that case we are victims.
 
Hizo ni story za wajinga kwenye vibanda umiza aisee !! Yani wasiweke sumu kwenye vitu vingine waje kwenye hill!?? Basi. Zuien ARV,zuien chanjo za watoto,zuieni ,Dawa za magonjwa yoooooooooote maana zinatoka kwao

Hata hizo ARV ni sumu pia, hukulijua hilo?
 
Mama mulamula ni mtu makini sana na huwa anasema ukweli siku zote ,hao wazungu unaowatetea yeye kaishi nao na kafanya kazi nao wewe hata Kenya tu hujawahi kufika anachosema mama anahakika nacho tusiwaaamini Hawa watu hawajawah kututakia mema.
 
Walishindwa kuua kipindi cha ukoloni leo watake kukuua?
1961 tulikuwa watu wangapi TZ? na leo tupo zaidi ya milion 50
Hizo taarifa siyo kweli. Ingekuwa hivyo wangeanza na wafrika wanaoishi kwenye nchi zao


Looo, kweli nimeamini Waafrika bado tupo gizani katika karne hii ya 21, yule mfalme wa Ubelgiji aliua Wakongo wangapi zama za ukoloni???, Uliza jinsi gani wamama wajawazito wa kiafrika (Afro Americans) walivyokuwa wanafanyiwa na wazungu huko Marekani.

Wazungu walibugi step kutuacha tuwe huru sasa wanatafuta njia nyingine ya kurudi tena Africa na mara hii ni kutuua kimyakimya bila ya sisi wenyewe kutambua, Walianza na dawa za uzazi wa mpango, wakaja na chanjo kibao, Mara, Surua, Dondakoo, Tetekuwanga, Kifaduro, Pepopunda, Ndui nk, Chanjo zote hizo ni kwa ajili ya watoto wa kiafrika na sio watoto wa kizungu, hivi sasa ndio kuna virutubisho (mimi naziita SUMU) inayowekwa kwenye unga wa mahindi na ngano ambavyo ni vyakula vikuu vya Waafrika, kampuni ya SANKu ndiyo msambazaji mkuu wa hizo (sumu) Katika Afrika ya mashariki na.kusini.

Ulaya imekuwa sio mahali salama tena pa kuishi kutokana na uhasama wa wazungu pindi itakaporipuka vita vya nyuklia hivyo isitoshe bara pekee lenye raslimali nyingi duniani ni Africa na wao wanamezea mate hizo raslimali zetu sasa unawezaje kuchukua mali ya mtu mbele yake???, njia rahisi ni kumuua na kisha unaingia ndani mwake na mali yake inakuwa yako kama si wewe basi vizazi vyako, hicho ndicho wazungu wamekusudia kufanya na huo ni mpango wa muda mrefu (a long time plan).
 
Mimi hapa kwangu electronics zangu zote hamna hata moja made in Tanzania. Kabla ya kumkataa mzungu basi tukatae na vitu vyao. Kutwa mzungu mzungu lakini vitu unavyovitumia kavitengeneza huyo huyo.
 
Hizo ni story za wajinga kwenye vibanda umiza aisee !! Yani wasiweke sumu kwenye vitu vingine waje kwenye hill!?? Basi. Zuien ARV,zuien chanjo za watoto,zuieni ,Dawa za magonjwa yoooooooooote maana zinatoka kwao
Huyu atakuwa mfuasi wa gwajiboy
 
Hiyo ni chanjo kiboko ya asili na yenye ufanisi bila madhara yoyote. Pia nguniani (majani ya maharage), figili, mlenda, ndelule (majani ya njegere), maswisa (sweet forest berries), manyapi (matunda damu), mafyulisi (peaches), mambohola (passion fruits za zambarau), nk.; hasa kule kwetu Mwakaleli.

Ukila hivyo hupati magonjwa ya kuambukiza au yasiyoambukiza!
Chanjo ya makatapera, makusu, mbula, numbu, migagi, masasati, vitindi, mang'ang'a, mabangayeye, madava, kabunguja, sungwa, na nguniyani
 
Mzungu yuko bize maabara Mwafrika yuko bize na kutaka kuthibitishia ulimwengu kuwa Yesu alikuwa mwafrika

Malaria ugonjwa wa tropiki ila mtu wa tropiki anasubili mzungu wa Ulaya na Marekani ndo atafute chanjo.
 
Back
Top Bottom