Yaani wazungu wauewe waafrica wote ili waje kutawala tena? Hivi akili sifuri kama hizi mnatoa wapi jamani.
Wewe akili (-1) negative 1, sikiliza, Wazungu wanataka raslimali zetu, angalia Katika Africa Congo ndiyo nchi kubwa sana kuliko nchi zote huko kuna madini ya kila aina, Shaba, Almasi, Dhahabu, Colbart, Coltan, Uranium,Bati, zinc, Platinum, Mbao, kasoro Tanzanite tu ndio hakuna, Congo Drc ni nchi isiyokuwa na amani tangu ipate uhuru kutoka kwa Belgium hadi leo ni vurugu tupu hasa katika maeneo yenye utajiri wa madini, huko Wazungu (makampuni ya kizungu) hutoa fedha nyingi kufadhili sikaha makundi ya wapiganaji ili kuleta taharuki na nafasi ipatikane ili wapate malighafi ya madini kwa njia za haramu kupitia hayo makundi ya kijeshi anbayo viongizi wao ndio wanaomiliki migodi haramu, isitoshe ili wapate madini kirahisi wanachofanya wazungu ni kutawanya virusi vya Ebola katika maeneo yenye utajiri ili ama kuleta taharuki na hofu au kuwafanya watu wajali afya zao na wasijishughulishe na mambo yanayohusu madini au kukimbiza watu kutoka katika yale maeneo wanayoyaona kuwa na madini mengi na watu wakishaondoka hapo baadaye uchimbaji haramu huuanza na wanunuzi wakubwa wa hayo madini ni hayo makampuni makubwa ya Ulaya na America.
Kwanini so far chanjo ya Ebola bado haijapatikana lakini chanjo ya Covid 19 tayari zipo??, Ebola imekuwepo miaka mingi tangu 1976 kabla ya Covid 2019!!, Ebola ni Economic Warfare iliyotengenezwa na Wazungu kuua raia wa Congo ili kuleta taharuki wapate kuiba mali za Congo, Mungu kajalia Tz hatuna mali nyingi kama Congo vinginevyo hata sisi tungetupiwa Virusi wa Ebola ili wapate kutudhoofisha na Waibe mali zetu kirahisi au hata wangetuletea vita kama ilivyo kwa Congo.
Ukilinganisha population ya Wazungu (Europeans) na waafrika weusi, Wazungu ni wengi kwa idadi kuliko watu weusi achilia mbali Wachina, Wahindi na Waarabu nk, Wao hawazaliani sana kama sisi Watu weusi kwa maana hiyo wameshikwa na khofu kubwa kwamba katika miaka ijayo tutawazidi kwa idadi na ikifikia hatua hiyo kamwe hawatatuweza tena kututawala kisiasa na kiuchumi hivyo njia rahisi ya kupunguza kasi yetu ya kuzaliana ni kutuletea vidonge vya uzazi wa mpango (kumbuka wanawake zao hawatumia hivyo vidonge kwakuwa ni sumu waliyoitengeneza kwa ajili ya Muafrika mweusi) pia wametuletea chanjo kwa watoto wetu, chanjo za Magonjwa ya ajabu ambayo hapo zamani wala hayakuwepo, magonjwa waliyoyatengeneza kama Kifaduro, Tetekuwanga, Dondakoo, Pepopunda, Surua, polio nk, na hizo chanjo zilikuwa zinatolewa kwa watoto wetu kwa maramoja, huko India ilipelekwa "Chanjo ya polio" kumbe sio chochote isipokuwa Sumu na watoto wengi sana walikufa na walionusurika hadi leo ni walemavu, lengo lao ni hilo hilo kupunguza idadi yetu ili wapate kutawala kiuchumi nchi zetu hasa za ulimwengu wa tatu.
Mzungu akiwa nyoka ni nyoka kwelikweli na akiwa binadamu ni binadamu hasa, kumbuka Adolf Hitler, sasa tusijisahau tukadhani wazungu wote ni binadamu kwetu.