Mama Mulamula umekosea, unasema Ulaya wanatuleteaga vitu vya sumu huku Afrika: Una ushahidi wa hilo?

Mama Mulamula umekosea, unasema Ulaya wanatuleteaga vitu vya sumu huku Afrika: Una ushahidi wa hilo?

Mokaze

Ila hii nchi bwana Hahahhaa sasa mzungu aue waafrika kwa lipi hasa? Kwamba sahvi hawezi kujichukulia ardhi Africa mpaka awaue? Yaani wenzio wanawaza kuhamia Mars na kujenga man made islands na smart cities za sky scrappers ndio awaze kuja kuishi Africa?

Shida waafrika hatujiamini tunajiona victims wa kila kitu.... Cha kushangaza mnaandika huu upupu kutumia simu zao na hata mioyo yetu inawekewa mashine zao kupush damu!!

Funny


Wewe unashangaza sana, huyo mzungu si ndiye aliyekuja huku Africa akadanganya babu yako na akamtawala, kumdhalilisha na kumnyonya au umesahau???-- hawa wazungu waliopo leo na sie Waafrica tuliopo leo sio Vitukuu vya Wanyonyaji na Wanyonywaji???.

Hebu niambie zama zile za mababu zetu na mababu zao ni sawa na zama hizi???, zama hizi ni za kisasa hivyo unyonyaji na unyanyasaji tutakaofanyiwa/tunaofanyiwa na hawa vitukuu vya Wakokoni dhidi ya sisi vitukuu vya waliotawaliwa ni lazima uwe wa kisasa zaidi kulingana na zama hizi zilizopo, walianza kuweka serikali za vibaraka mara baada ya nchi zetu kupata "uhuru", sasa zama za vibaraka zimeisha na wao ni lazima wapate malighafi kutoka kwetu sasa wafanyeje???, nji mojawapo ni hiyo ya kuleta Vaccines (slow killing poisons) zinazofubaza akili, zinazoua via vya uzazi vya watoto wetu, dawa za uzazi wa mpango zinazoua mayai ya akina mama zetu, madawa ya virutubisho (Sumu) yanayowekwa kwenye vyakula kama unga wa sembe na unga wa ngano, kampuni inayohusika na jambo hili ipo katika East, central and southern Africa regions maeneo yote haya wanaishi Waafrika weusi na ni maeneo yenye utajiri mkubwa wa malighafi kama madini nk, Tunauawa softly and slowly tukija kutahamaki it will be too late.

Kwakuwa wazungu wako mbele.kimaendeleo kutuzidi basi ndio watu wema???, kwakuwa natumia simu waliounda wao basi hiyo ni ishara kwamba wao ni watakatifu???--- that's nonsensical .
 
Zipo tetesi za mpango wa siri za wazungu kuua Waafrika weusi ili baadaye vizazi vyao vije ku take over ardhi ya Africa, wanatumia njia mbalimbali ikiwemo njia ya Vaccine na Fortifications ya madawa (kampuni ya SANKU) katika unga wa vyakula nk.

Tatizo letu ni kwamba sisi vyombo vyetu vya usimamizi wa mambo ya kiuchunguzi mfano TFDA na TBS au ofisi ya mkemia mkuu havina ueledi mkubwa au ni butu tukiwategemea hao hao tunaowashutumu watusaidie kiutaalamu katika kuchunguza na kukagua dawa wanazotuletea, in that case we are victims.
Kwan kuiteketeza hii Africa Ni sh. Ngp??wanashindwa piga bomu matatu tu ya machozi mkafa wote wakafanya Yao?Kwan wanawaogopa nn mpaka wanawapa dawa wanazozalisha wao na teknoklojia wanayotumia wao mpaka mnajambiana na kianza kuwatukana??

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Kwan kuiteketeza hii Africa Ni sh. Ngp??wanashindwa piga bomu matatu tu ya machozi mkafa wote wakafanya Yao?Kwan wanawaogopa nn mpaka wanawapa dawa wanazozalisha wao na teknoklojia wanayotumia wao mpaka mnajambiana na kianza kuwatukana??

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app


Chanjo za degedege za Wazungu ulizochanjwa utotoni ndio hizo zinaanza kufanya kazi ukubwani.

Wewe unaona ni rahisi kupiga bomu la machozi Africa nzima??, huo moshi watauzuiaje usiende huko kwao Ulaya wakati anga ni ileile ??!!--- chanjo za wazungu za utotoni ni mbaya kweli hata zimefuta commonsense yako yote!!! na hicho ndicho wazungu wanapenda watu kama nyie to prove the efficacy of their bogus vaccines.
 
Kosa la mama mulamula ni lipi? Watu wengine bhana, wewe hujui mpaka leo kuwa mzungu daima hamtakii mema mwafrika? Badilika
 
Hizi ni hadithi tu kama Wazungu wangekuwa na nia ya kutuua Waafrika wote basi tungeshapotea zamani sana katika uso wa hii dunia.
Zipo tetesi za mpango wa siri za wazungu kuua Waafrika weusi ili baadaye vizazi vyao vije ku take over ardhi ya Africa, wanatumia njia mbalimbali ikiwemo njia ya Vaccine na Fortifications ya madawa (kampuni ya SANKU) katika unga wa vyakula nk.

Tatizo letu ni kwamba sisi vyombo vyetu vya usimamizi wa mambo ya kiuchunguzi mfano TFDA na TBS au ofisi ya mkemia mkuu havina ueledi mkubwa au ni butu tukiwategemea hao hao tunaowashutumu watusaidie kiutaalamu katika kuchunguza na kukagua dawa wanazotuletea, in that case we are victims.
 
Huyu mama sikuwahi kumuona wala kumsikia, alipokuwa anaapishwa jinsi alivyokuwa anaruka ruka na kucheza kwa furaha nikasema hapa kuna walakini

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Wazungu wameleta ukimwi tukaipiga vita na kujikinga,wakaleta afrika ebola tumedhibiti,mara mafua ya ndege,kimeta,kensa,red eyes,sasa corona ili wauze kinga duniani.
This is bullshit ukisema wanaleta sumu ni njia mojawapo ya kusema ni ukweli why RVs zinapunguza makali ya HIV ila haitibu ukimwi.
Nadawa zingine unakuta ni Mungu anasaidia tu.
Wazungu hujipenda wao kwa hiyo usipende kuwatetea hao.
Wanachuki na chuki huzaa roho mbaya,ukishakuwa na hizi mbili basi .
1.huogopi kutenda maovu
2.hushurutishwi kuuwa ,kuangamiza,kuharibu.
Hujui wazungu ukija,wajua dunia imekqata.
 
Zipo tetesi za mpango wa siri za wazungu kuua Waafrika weusi ili baadaye vizazi vyao vije ku take over ardhi ya Africa, wanatumia njia mbalimbali ikiwemo njia ya Vaccine na Fortifications ya madawa (kampuni ya SANKU) katika unga wa vyakula nk.

Tatizo letu ni kwamba sisi vyombo vyetu vya usimamizi wa mambo ya kiuchunguzi mfano TFDA na TBS au ofisi ya mkemia mkuu havina ueledi mkubwa au ni butu tukiwategemea hao hao tunaowashutumu watusaidie kiutaalamu katika kuchunguza na kukagua dawa wanazotuletea, in that case we are victims.
Na si umesikia nchi moja imetoa kibali cha kutengeneza nyama ya kuku maabara!! Kisha kuingia sokoni kuliwa na wala kuku!
 
Kwan kusema ukweli dhambi!?? Mbona wao wanatusema sisi vibaya tu!
 
Hizi ni hadithi tu kama Wazungu wangekuwa na nia ya kutuua Waafrika wote basi tungeshapotea zamani sana katika uso wa hii dunia.


Akupoteze kabisa katika uso wa dunia ili hapo baadaye ashindwe kupata (lab rats) wa kufanyia majaribio ya dawa na chanjo zake???!!---- wewe unadhani akiki za mzungu na zako ni sawa??, yeye anafikiri ya miaka 50 ijayo wewe unafikri ya mwaka kesho, yeye anafikiri ya miaka 100 ijayo wewe unafikiri ya miaka 5 ijayo, that's the difference.
 
Tangu dunia inaumbwa, modern world to be specific, tumekuwa tukipata dawa na supplies zetu zote za viwanda, vyakula etc toka Europe na Marekani. kama kutuua tungelikuwa tumetoweka zamani sana. Vaccines zote za watoto zinatok huko na bado watoto wanaozitumia ukubwani hawana tatizo wanazaa etc etc. Achana na rubbish theories


Wewe unadhani mzungu akikumaliza kabisa biashara atafanya na nani???, lab rats atawapata wapi kwa ajili ya majaribio ya madawa yake??-- kamwe hawezi kukumaliza kabisa na hawezi kukuacha uzaliane kama nzige ili baadaye muwazidi idadi na iwe shida kwao kuja kupora malighafi zenu.
 
Siku zote masikini ndio wanaongoza kwa malalamiko kuwa wanarogwa. Ni nadra sana kusikia kauli za kurogwa toka kwa matajiri !


Bila shaka kwa hayo mawazo mgando uliyonayo ulirogwa ulipokuwa mdogo.
 
Usimzibe mdomo mama,wacha afunguke
kwa levo yake mama huyu anapaswa kuongea kwa ushahidi, jambo zito kama hilo huwezi kutuhumu tu kama sie tulioko huku kwenye vijiwe vya kahawa.
binafsi nilidhani huyu mama ni mtu makini sana kumbe naye ni roporopo tu
 
kwa levo yake mama huyu anapaswa kuongea kwa ushahidi, jambo zito kama hilo huwezi kutuhumu tu kama sie tulioko huku kwenye vijiwe vya kahawa.
binafsi nilidhani huyu mama ni mtu makini sana kumbe naye ni roporopo tu


Umemuuliza ushahidi na akashindwa kuutoa???---- msiwe wale watu mnaoambiwa juu ya hatari inayowakabili badala ya kukaa chini na kupeleleza mnaanza kumshutumu mjumbe aliyewaketeeni habari.

Hizo ndizo akili za waafrika weusi, tunadharauliwa kweli kwa kushindwa kufanya tafiti za hata mambo madogo yanayotuhusu sembuse kufanya tafiti za kisayansi katika anga za juuu???!!!

Pathetic.😏
 
Back
Top Bottom