Mama mwenye hali ngumu anakaa na binti mdogo mjamzito ambaye sio ndugu yake

Mama mwenye hali ngumu anakaa na binti mdogo mjamzito ambaye sio ndugu yake

Mimi kiasili na kabila ni mix ya somewhere, ila nimeishi sana maeneo ya baharini, jamaa wa pwani wengi si watu wa kukunja, life Kwao it's very simple kwenye kuishi, wako open sana na wanajua kuishi kiushkaji na kubalance mambo, kipindi hicho mabroo wanaenda sana abroad na wanatoboa lakini hawakunji roho, kipindi ni kijana mdogo niliona watu wote TZ wako hivyo, nilivyoanza kutembea ndiyo nikajua kumbe Kuna sehemu watu wana roho nyeusi hata kidogo unachokipambania pia anakitaka, anhaa hapo nikaelewa kwamba wapo watu si wa kwenda nao kirafiki, you have to be tough in decisions, lazima uwe kama communist Mao au Stalin sometimes.
 
Mimi kiasili na kabila ni mix ya somewhere, ila nimeishi sana maeneo ya baharini, jamaa wa pwani wengi si watu wa kukunja, life Kwao it's very simple kwenye kuishi, wako open sana na wanajua kuishi kiushkaji na kubalance mambo, kipindi hicho mabroo wanaenda sana abroad na wanatoboa lakini hawakunji roho, kipindi ni kijana mdogo niliona watu wote TZ wako hivyo, nilivyoanza kutembea ndiyo nikajua kumbe Kuna sehemu watu wana roho nyeusi hata kidogo unachokipambania pia anakitaka, anhaa hapo nikaelewa kwamba wapo watu si wa kwenda nao kirafiki, you have to be tough in decisions, lazima uwe kama communist Mao au Stalin sometimes.
Mkuu, una maanisha watu wa Pwani walikuonesha roho mbaya?? Mimi siku zote huwa ninaamini ya kuwa, hakuna kabila lolote lile linalokosa idadi ndogo ya watu wa hovyo au wenye roho mbaya.

Kwa hiyo hata watu wa Pwani (wazaramo/wakwele) wapo wachache wenye roho mbaya, ingawa wengi wao wana roho zilizojaa upendo mkubwa mnoo..
 
Mkuu, una maanisha watu wa Pwani walikuonesha roho mbaya?? Mimi siku zote huwa ninaamini ya kuwa, hakuna kabila lolote lile linalokosa idadi ndogo ya watu wa hovyo au wenye roho mbaya.

Kwa hiyo hata watu wa Pwani (wazaramo/wakwele) wapo wachache wenye roho mbaya, ingawa wengi wao wana roho zilizojaa upendo mkubwa mnoo..
Hapana, soma vizuri.
 
M
Mambo vp wadau??

Ninaomba radhi "in advance" kwa uandishi m-bovu. I'm not a gifted writer.

Kuna mama mmoja yeye ni kabila la Pwani/mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).

Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.

Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.

Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.

Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje?

Watu wa Pwani (Wazaramo, Wandengereko,n.k) Mwenyezi Mungu awabariki sana.

From my experience, wengi wenu hamkusoma sana na mna vipato vidogo, lakini Mwenyezi Mungu amewapa mioyo iliyojaa upendo mnoo.

NB: Mimi ni kabila la mkoa wa Mara na sio mtu wa Pwani.
Upo sahihi kama ni mkazi wa Mara,sehemu kama Tarime pale,mtu anaweza kukuchukia tu sababu unavaa nguo nzuri kuliko wao,Kitu Zuma,tajiri wa Moram aliua luteni wa jeshi bar,sababu ya kugombania mwanamke bar,hakuna mwenyeji wa Pwani atafanya huu ufala,Dr.Isack Sima(R.I.P),aliuawa 2023 April,sababu ya mambo hayajulikani.
Kiuhalisia huko mikoani watu wamejaa chuki na roho mbaya ambayo,unaweza shangaa sijui wameitoa ama kurithi wapi
 
M

Upo sahihi kama ni mkazi wa Mara,sehemu kama Tarime pale,mtu anaweza kukuchukia tu sababu unavaa nguo nzuri kuliko wao,Kitu Zuma,tajiri wa Moram aliua luteni wa jeshi bar,sababu ya kugombania mwanamke bar,hakuna mwenyeji wa Pwani atafanya huu ufala,Dr.Isack Sima(R.I.P),aliuawa 2023 April,sababu ya mambo hayajulikani.
Kiuhalisia huko mikoani watu wamejaa chuki na roho mbaya ambayo,unaweza shangaa sijui wameitoa ama kurithi wapi
Umenena vema sana mkuu..
 
Kuna uhusiano mkubwa kati ya ukalimu na kiwango Cha elimu ya mtu ,hasa kwa mtaala wetu wa Tanzania ,chunguza utagundua kitu


Binafsi nimekaa na wasukuma ambao hawajaenda shule ,ni wakalimu mbaya, tofauti na wasukuma haohao walioenda shule

Labda shule ndio tunda lenyewe walilokula Adam na Eva Hadi wakajua like
" Haaa Adam una mguu wa tatu!!!!?
Adam: mbona na wewe una mdomo mwingine huko !??

(Knowledge)
Kuwa mtu mwenye roho ya upendo ni karama kutoka kwa Mungu na wala haina uhusiano wowote ule na utajiri wa pesa..
 
Na wanashikamana sana kwenye shida na raha. Akilazwa mmojawao watataarifiana ukoo mzima wanachangishana hiki na kile. Nilihamia mahali na mwanangu alikuwa anapata komunio, nikawa naumiza kichwa nitafanyaje na ugeni huu sijazoea watu... Jirani mmoja Mzaramo nadhani alihisi nina hiyo changamoto, akaja akasema tuachie kila kitu wewe peleka mtoto kanisani, akatafuta majirani wakapika. Wazaramo hoiyeeeeee
Na wanavyo penda shughuri sasa, hapo walijisikia raha mno.
 
Watu wenye uwezo wamekuwa obsessed na kitu kinaitwa risk assessment and management. Kabla haja saidia a Najiuliza what if....... What if.......... Mwisho wa siku hatoi msaada. Lakini wa maskini hajiulizi hayo maswali. Yeye ni kutoa msaada mengine anamwachia Mungu wake.
 
Watu wenye uwezo wamekuwa obsessed na kitu kinaitwa risk assessment and management. Kabla haja saidia a Najiuliza what if....... What if.......... Mwisho wa siku hatoi msaada. Lakini wa maskini hajiuliza hayo maswali. Yeye ni kutoa msaada mengine anamwachia Mungu wake.
sounds true!
 
Watu wenye uwezo wamekuwa obsessed na kitu kinaitwa risk assessment and management. Kabla haja saidia a Najiuliza what if....... What if.......... Mwisho wa siku hatoi msaada. Lakini wa maskini hajiuliza hayo maswali. Yeye ni kutoa msaada mengine anamwachia Mungu wake.
Watu wa hali ya chini have nothing to lose. They have, almost, seen it all...
 
Mambo vp wadau??

Ninaomba radhi "in advance" kwa uandishi m-bovu. I'm not a gifted writer.

Kuna mama mmoja yeye ni kabila la Pwani/mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).

Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.

Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.

Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.

Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje?

Watu wa Pwani (Wazaramo, Wandengereko,n.k) Mwenyezi Mungu awabariki sana.

From my experience, wengi wenu hamkusoma sana na mna vipato vidogo, lakini Mwenyezi Mungu amewapa mioyo iliyojaa upendo mnoo.

NB: Mimi ni kabila la mkoa wa Mara na sio mtu wa Pwani.
sio upwani tuu pia uislam unawajenga Sana watu wa pwani
 
Back
Top Bottom