Alex Muuza Maembe
JF-Expert Member
- Dec 13, 2024
- 655
- 1,413
- Thread starter
- #221
Okay..Sio muhimu ila ni lazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay..Sio muhimu ila ni lazima
Wewe upo wapi hapo bibie??Utu au kitu??Mapishi muda hujaleta!Ni wachache sana wengi wanathamini kitu na sio utu
Hakika mkuu..Ni wachache sana wengi wanathamini kitu na sio utu
Ndiomana una Roho mbovuMambo vp wadau??
Ninaomba radhi "in advance" kwa uandishi m-bovu.
Kuna mama mmoja yeye ni kabila la Pwani/mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).
Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.
Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.
Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.
Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje?
Watu wa Pwani (Wazaramo, Wandengereko,n.k) Mwenyezi Mungu awabariki sana.
From my experience, wengi wenu hamkusoma sana na mna vipato vidogo, lakini Mwenyezi Mungu amewapa mioyo iliyojaa upendo mnoo.
NB: Mimi ni kabila la mkoa wa Mara na sio mtu wa Pwani.
...Abarikiwe Sana [emoji257]...Mambo vp wadau??
Ninaomba radhi "in advance" kwa uandishi m-bovu.
Kuna mama mmoja yeye ni kabila la Pwani/mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).
Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.
Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.
Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.
Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje?
Watu wa Pwani (Wazaramo, Wandengereko,n.k) Mwenyezi Mungu awabariki sana.
From my experience, wengi wenu hamkusoma sana na mna vipato vidogo, lakini Mwenyezi Mungu amewapa mioyo iliyojaa upendo mnoo.
NB: Mimi ni kabila la mkoa wa Mara na sio mtu wa Pwani.
Na wanashikamana sana kwenye shida na raha. Akilazwa mmojawao watataarifiana ukoo mzima wanachangishana hiki na kile. Nilihamia mahali na mwanangu alikuwa anapata komunio, nikawa naumiza kichwa nitafanyaje na ugeni huu sijazoea watu... Jirani mmoja Mzaramo nadhani alihisi nina hiyo changamoto, akaja akasema tuachie kila kitu wewe peleka mtoto kanisani, akatafuta majirani wakapika. Wazaramo hoiyeeeeeeNasemaga kila siku humu, wazaramo pamoja na mapungufu yao ila, Kama kuna kitu wamefanikiwa ni kutokuwa na stress, huwa wanaridhika na vitu vidogo sana kwenye maisha
Okay. Sawa mkuu..Ndiomana una Roho mbovu
Amen.....Abarikiwe Sana [emoji257]...
Mungu kawanyima utajiri wa mali ila amewapa utajiri wa roho. Hakika ni watu wema sana.Na wanashikamana sana kwenye shida na raha. Akilazwa mmojawao watataarifiana ukoo mzima wanachangishana hiki na kile. Nilihamia mahali na mwanangu alikuwa anapata komunio, nikawa naumiza kichwa nitafanyaje na ugeni huu sijazoea watu... Jirani mmoja Mzaramo nadhani alihisi nina hiyo changamoto, akaja akasema tuachie kila kitu wewe peleka mtoto kanisani, akatafuta majirani wakapika. Wazaramo hoiyeeeeee
Mambo vp wadau??
Ninaomba radhi "in advance" kwa uandishi m-bovu.
Kuna mama mmoja yeye ni kabila la Pwani/mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).
Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.
Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.
Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.
Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje?
Watu wa Pwani (Wazaramo, Wandengereko,n.k) Mwenyezi Mungu awabariki sana.
From my experience, wengi wenu hamkusoma sana na mna vipato vidogo, lakini Mwenyezi Mungu amewapa mioyo iliyojaa upendo mnoo.
NB: Mimi ni kabila la mkoa wa Mara na sio mtu wa Pwani.
Na wewe upo wapi?? Utu au kitu??..Wewe upo wapi hapo bibie??Utu au kitu??Mapishi muda hujaleta!
Mkeo alikuwepo mkuu??..Kuna watu wana roho nzuri tu. Hata mimi kuna siku binti mmoja alichelewa kurudi kwao usiku akakuta wamefunga ikabidi aje anigongee mimi nimpe hifadhi hadi asbh. Nilimwonea sana huruma na kumruhusu aingie alale.
Mimi utuWewe upo wapi hapo bibie??Utu au kitu??Mapishi muda hujaleta!
Hongera sana dada yangu..Kabisa ila watu wengu hawalijui hili. Ukiwa unatoa kwa moyo Mungu anakurudishia zaidi yake.
Mimi huwa natoa niko hivyo, naambiwa toka mdogo nina huruma. Nimerudishiwa kwa mengi sana.
La mwishoni, nilikuwa na fundi ujenzi, nikamuona mlemavu mkaka anasotea miguu. Nikawaza bora angekuwa kwenye vibaiskeli vya kusukuma.
Ilikuwa njiani, nikakunja 20k, nikamuomba fundi, akampe. hakukuwa na parking. Ananiambia alishangaa sana, akamwambia mbona nyingi? Ina maana labda huwa anasaidiwa pesa chini ya hapo.
Tulichoenda kufata hatukukipata, tukageuza, nikamuona tena mmmh!!!
Safari hii nilishuka mwenyewe, alikuwa anaingia sehemu ya kula, ilikuwa asubuhi. Nikasalimiana naye na kumpa tena 30k alishukuru sana na ni mpole sana anaonyesha. Nikawaomba wahudumu wamuhudumie chochote, pesa anayo.
Mwezi huu nilimwambia mtu wa karibu, mradi mpya naotaka kuanzisha bahati nzuri ni mwana JF. Aliniongezea 5m. Ilinichukua muda kuunganisha ile 50k imelipwa imekuwa 5m. Nilitoa kwa moyo mmoja kwa yule kaka. So kwenye kutoa ndiyo kunakupokea.
Hakika..yaaaah kutoa kwa moyo mkunjufu kuna faida sanaa.
Yes mkuu. Upo sahihi kwa kiasi fulani..Ni wachache wenye roho mbaya ndio hawafanyi hivyo ila wamama ntilie wengi hata ambao sio wa ukanda huo wanafanya sana hayo.
me kumicKabisa ila watu wengu hawalijui hili. Ukiwa unatoa kwa moyo Mungu anakurudishia zaidi yake.
Mimi huwa natoa niko hivyo, naambiwa toka mdogo nina huruma. Nimerudishiwa kwa mengi sana.
La mwishoni, nilikuwa na fundi ujenzi, nikamuona mlemavu mkaka anasotea miguu. Nikawaza bora angekuwa kwenye vibaiskeli vya kusukuma.
Ilikuwa njiani, nikakunja 20k, nikamuomba fundi, akampe. hakukuwa na parking. Ananiambia alishangaa sana, akamwambia mbona nyingi? Ina maana labda huwa anasaidiwa pesa chini ya hapo.
Tulichoenda kufata hatukukipata, tukageuza, nikamuona tena mmmh!!!
Safari hii nilishuka mwenyewe, alikuwa anaingia sehemu ya kula, ilikuwa asubuhi. Nikasalimiana naye na kumpa tena 30k alishukuru sana na ni mpole sana anaonyesha. Nikawaomba wahudumu wamuhudumie chochote, pesa anayo.
Mwezi huu nilimwambia mtu wa karibu, mradi mpya naotaka kuanzisha bahati nzuri ni mwana JF. Aliniongezea 5m. Ilinichukua muda kuunganisha ile 50k imelipwa imekuwa 5m. Nilitoa kwa moyo mmoja kwa yule kaka. So kwenye kutoa ndiyo kunakupokea.
Vyote coz ndiyo uhalisia wa dunia! Kuna upande utakuwa na utu na kuna upande lazima uangalie kitu!Na wewe upo wapi??
Wazaramo (Wa Pwani) wa high class mbona wapo ingawa sio wengi. Mtu asikutishe hata kidogo my wangu..🤣🤣🤣 Sasa wewe unachelewa kufanya maamuzi mi nifanyaje baba?