Alex Muuza Maembe
JF-Expert Member
- Dec 13, 2024
- 655
- 1,413
- Thread starter
- #201
Upo sahihi sana mkuu. Hawawazi kutoboa sio kuiba kama lile kabila la mkoa wa kaskazini..Kweli aisee. Wanakula wanachopata na huridhika na kidogo walichonacho. Hii inaboresha afya ya akili