t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Wakwere by default ni wazaramo hata lugha nadhani wanaingilianaKama wakwere na wapemba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakwere by default ni wazaramo hata lugha nadhani wanaingilianaKama wakwere na wapemba!
Siwezi kusema kama mimi nina roho mbaya au njema, bali wanaonijua ndio wanaoweza kusema kuwa mimi ni mtu wa roho gani..Nimesoma nimekusikitikia sana sana
Sasa, si unaumia wewe sio masikini.. Kamchukue huyo binti kuishi nae wewe na kumsaidia.. Maana unaonyesha hauwezi kumpatia yeye pesa au kumpangia sehemu na roho yako hiyo
Mungu anambariki uyo mama na biashara yake io io wanakula na wanafurahia maishaKweli dada yangu..
Kuna watu wana roho njema sana aisee..Mungu anambariki uyo mama na biashara yake io io wanakula na wanafurahia maisha
Yaan Moyo wa dhahabuKuna watu wana roho njema sana aisee..
Mimi ni mtu wa mkoa wa Mara..Wakwere by default ni wazaramo hata lugha nadhani wanaingiliana
Kibongo bongo huyo ni mtanzania mwenye maisha ya kati,sio masikinfaida ya 10,000 ni ndogo?? Mbona ni take home za waajiriwa wengi tu😁
May God, the Almighty, keep blessing people of this Calibre..Yaan Moyo wa dhahabu
Kwa maisha ya Dar na mtu mwenye familia, huyo ni masikini. Alafu hiyo 10,000 ni makadirio tu ya harakaharaka..Kibongo bongo huyo ni mtanzania mwenye maisha ya kati,sio masikin
Mimi ni mtu wa mkoa wa Mara..
Umekuja na ID tofauti naona.Shekh pokea Salam kutoka madrasa tuliyosoma wote pale msikiti wa....
Mkuu, higher income earners wanaweza kuhisi kuwa unawachukia kwa hii statement yako kumbe upo sahihi kwa kiasi kikubwa sana..Hawajali hilo na nadhani pia wapo sahihi!, kuna raha gani kumalizia uzee na drip za insulin pamoja na madawa ya presha wakati mzaramo anapiga chai chapati hadi anaingia kaburini
Tunayachukulia maisha seriously sana lakini mwishoni impact yake ni magonjwa ya gharama
Kwenye dini kuna bwana alivamiwa na wanyang'anyi na kumwacha karibu na kufa.Wakapita viongozi wa dini hawakumpa msaada.Lakini alipokutana na mtu mmoja akamhurumia na kumpeleka kwenye matibabu kwa gharama zake.Huyu naweza kunfananisha na mama uliomwelezea.Watu wa namna hii hata kama masikini hawezi kulala njaa wala kuugua.Mimi ningelipenda nipewe moyo kama huu maana huwezi kuigizaMambo vp wadau??
Ninaomba radhi kwa uandishi m-bovu.
Kuna mama mmoja yeye ni mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).
Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.
Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.
Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.
Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje??
Sasa hao waajiriwa ni matajiri kiasi cha kumchukua mtu Baki mjamzito na kuishi naye kama ndugu yake??faida ya 10,000 ni ndogo?? Mbona ni take home za waajiriwa wengi tu😁
Labda wewe ndio una roho mbaya, Tanzania kauli mbiu sisi sote ni NDUGU, hapo tayari ameshakua ni mtoto wake na huyo atakuwa ni mjuukuu wakeMambo vp wadau??
Ninaomba radhi kwa uandishi m-bovu.
Kuna mama mmoja yeye ni mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).
Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.
Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.
Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.
Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje??
Upo sahihi sana mkuu..Kwenye dini kuna bwana alivamiwa na wanyang'anyi na kumwacha karibu na kufa.Wakapita viongozi wa dini hawakumpa msaada.Lakini alipokutana na mtu mmoja akamhurumia na kumpeleka kwenye matibabu kwa gharama zake.Huyu naweza kunfananisha na mama uliomwelezea.Watu wa namna hii hata kama masikini hawezi kulala njaa wala kuugua.Mimi ningelipenda nipewe moyo kama huu maana huwezi kuigiza
Kwa Taarifa Yako, na ufanye utafiti watu wenye vipato vidogo ambao unawatazama kama maskini, ni matajiri wakubwa wa Roho na ni wepesi kusaidia wenye shida kuliko matajiri wenye uwezo mkubwa! Na hii ndio maana Ile ya heri walio maskini mana watakuona ufalme wa Mungu! .kuwafikia matajiri kuwaomba msaada ni ngumu mpaka wao watake mwisho wa mwaka kama hauu wakatoe masazo ya mwisho na makamera! Wewe kwakua umeona Hilo na wewe weka mkono hapo! Nisaidie wako wapi nikaguse maisha Yao na Mungu aniinulie watu waguse maisha yangu pia! We shine by lifting others!Mambo vp wadau??
Ninaomba radhi kwa uandishi m-bovu.
Kuna mama mmoja yeye ni mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).
Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.
Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.
Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.
Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje??
Kweli kabisa. Inawezekana mimi ni mtu wa hovyo sana mkuu..Labda wewe ndio una roho mbaya, Tanzania kauli mbiu sisi sote ni NDUGU, hapo tayari ameshakua ni mtoto wake na huyo atakuwa ni mjuukuu wake
Hapana mkuu. Ninakataa. Huyu mama muuza Samaki hana mtoto wa kiume hata mmoja..wanaume mwenye hiyo mimba ni mtoto wake a mjukuu wake wazaramo wanawajua vizuri