Mama mwenye hali ngumu anakaa na binti mdogo mjamzito ambaye sio ndugu yake

Mama mwenye hali ngumu anakaa na binti mdogo mjamzito ambaye sio ndugu yake

Nimesoma nimekusikitikia sana sana

Sasa, si unaumia wewe sio masikini.. Kamchukue huyo binti kuishi nae wewe na kumsaidia.. Maana unaonyesha hauwezi kumpatia yeye pesa au kumpangia sehemu na roho yako hiyo
Siwezi kusema kama mimi nina roho mbaya au njema, bali wanaonijua ndio wanaoweza kusema kuwa mimi ni mtu wa roho gani..
 
Hawajali hilo na nadhani pia wapo sahihi!, kuna raha gani kumalizia uzee na drip za insulin pamoja na madawa ya presha wakati mzaramo anapiga chai chapati hadi anaingia kaburini
Tunayachukulia maisha seriously sana lakini mwishoni impact yake ni magonjwa ya gharama
Mkuu, higher income earners wanaweza kuhisi kuwa unawachukia kwa hii statement yako kumbe upo sahihi kwa kiasi kikubwa sana..
 
Mambo vp wadau??

Ninaomba radhi kwa uandishi m-bovu.

Kuna mama mmoja yeye ni mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).

Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.

Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.

Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.

Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje??
Kwenye dini kuna bwana alivamiwa na wanyang'anyi na kumwacha karibu na kufa.Wakapita viongozi wa dini hawakumpa msaada.Lakini alipokutana na mtu mmoja akamhurumia na kumpeleka kwenye matibabu kwa gharama zake.Huyu naweza kunfananisha na mama uliomwelezea.Watu wa namna hii hata kama masikini hawezi kulala njaa wala kuugua.Mimi ningelipenda nipewe moyo kama huu maana huwezi kuigiza
 
Mambo vp wadau??

Ninaomba radhi kwa uandishi m-bovu.

Kuna mama mmoja yeye ni mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).

Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.

Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.

Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.

Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje??
Labda wewe ndio una roho mbaya, Tanzania kauli mbiu sisi sote ni NDUGU, hapo tayari ameshakua ni mtoto wake na huyo atakuwa ni mjuukuu wake
 
Kwenye dini kuna bwana alivamiwa na wanyang'anyi na kumwacha karibu na kufa.Wakapita viongozi wa dini hawakumpa msaada.Lakini alipokutana na mtu mmoja akamhurumia na kumpeleka kwenye matibabu kwa gharama zake.Huyu naweza kunfananisha na mama uliomwelezea.Watu wa namna hii hata kama masikini hawezi kulala njaa wala kuugua.Mimi ningelipenda nipewe moyo kama huu maana huwezi kuigiza
Upo sahihi sana mkuu..
 
Mambo vp wadau??

Ninaomba radhi kwa uandishi m-bovu.

Kuna mama mmoja yeye ni mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).

Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.

Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.

Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.

Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje??
Kwa Taarifa Yako, na ufanye utafiti watu wenye vipato vidogo ambao unawatazama kama maskini, ni matajiri wakubwa wa Roho na ni wepesi kusaidia wenye shida kuliko matajiri wenye uwezo mkubwa! Na hii ndio maana Ile ya heri walio maskini mana watakuona ufalme wa Mungu! .kuwafikia matajiri kuwaomba msaada ni ngumu mpaka wao watake mwisho wa mwaka kama hauu wakatoe masazo ya mwisho na makamera! Wewe kwakua umeona Hilo na wewe weka mkono hapo! Nisaidie wako wapi nikaguse maisha Yao na Mungu aniinulie watu waguse maisha yangu pia! We shine by lifting others!
 
Back
Top Bottom