zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
nimecheka sana majibu yako kwa jamaa hahahahaha msikilize mkuu labda mnafahamiana hahahahaUmekuja na ID tofauti naona.
Ukirudia ujinga wako huu naipeleka ignore list ID hii nayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimecheka sana majibu yako kwa jamaa hahahahaha msikilize mkuu labda mnafahamiana hahahahaUmekuja na ID tofauti naona.
Ukirudia ujinga wako huu naipeleka ignore list ID hii nayo.
Mchanganyiko, mara mzaramo, mara mnyakyusa, mkoa wa Mara. Ulitaka kutuambia makabila au wema wa muuza samaki kwa mjamzito ?Mambo vp wadau??
Ninaomba radhi kwa uandishi m-bovu.
Kuna mama mmoja yeye ni mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).
Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.
Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.
Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.
Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje??
Watu wa Pwani (Wazaramo, Wandengereko,n.k) Mwenyezi Mungu awabariki sana.
NB: Mimi ni kabila la mkoa wa Mara..
ChaiMwanamke mjamzito huwa anatia huruma fulani hivi.
Jana tulikuwa tunaongelea watu wanaokuja kwa Mwamposa kutoka mikoani na kukosa huduma za kijamii. Kuna jamaa mwanaume anasema ilibidi amuokoe mwanamke mjamzito aliyekuja kwa Mawamposa bila mwenyeji, akawa anaumwa, ikabidi jamaa amchukue ampeleke nyumbani kwake, ambako alikuwa na mke tayari, mpaka akaingia lawamani majirani wakawa wanamwambia mke wake kwamba huyo bwana kamletea mkemwenza.
Nishampeleka ignore list.nimecheka sana majibu yako kwa jamaa hahahahaha msikilize mkuu labda mnafahamiana hahahaha
tajiri anauogopa umaskini hataki kabisa chezea hela yake kwa upumbavu wa kuita msaada maana anajua hata siku akifirisika hao alio wasaidia ndo wakwanza kumbeza ko hataki hali hiiKwa Taarifa Yako, na ufanye utafiti watu wenye vipato vidogo ambao unawatazama kama maskini, ni matajiri wakubwa wa Roho na ni wepesi kusaidia wenye shida kuliko matajiri wenye uwezo mkubwa! Na hii ndio maana Ile ya heri walio maskini mana watakuona ufalme wa Mungu! .kuwafikia matajiri kuwaomba msaada ni ngumu mpaka wao watake mwisho wa mwaka kama hauu wakatoe masazo ya mwisho na makamera! Wewe kwakua umeona Hilo na wewe weka mkono hapo! Nisaidie wako wapi nikaguse maisha Yao na Mungu aniinulie watu waguse maisha yangu pia! We shine by lifting others!
Mkuu, mimi ni mtu wa mkoa wa Mara, ila makabila ya Pwani wengi hawajasoma sana lakini wana mioyo ya utu na upendo mno..Wewe ujaelewa ninacho maanisha ...kuhusu ulicho uliza ni kwamba nilimaanisha wazaramo awajikwezi wanaroho nzuri kuliko makabila mengi ...sasa hayo makabila mengine watu wake kiasili ni wabinafsi na wana roho mbaya wakichanganya na dini zao wanazo zitumia kinafiki ndiyo inakua balaaa
Aiseee huyo jamaa yako ana roho ya ibilisi kabisaroho nzuri ama mbaya ni mtu kuzaliwa nayo
nna mshikaji wangu ana roho mbaya ana roho ya uchoyo hata yeye analijua hilo
kuna siku tumekaa analaumu kwa nini mtoto wake wa kwanza ni me hana roho ya mbaya (uchungu na kitu chake )
anamfurahia mtoto wake wa kike kumfata roho ya uchoyo (yeye anaita uchungu na kitu chake)
Wema wa watu wa Pwani. Wengi ni standard 7 tu ila wana mioyo ya upendo mnoo..Mchanganyiko, mara mzaramo, mara mnyakyusa, mkoa wa Mara. Ulitaka kutuambia makabila au wema wa muuza samaki kwa mjamzito ?
Mbona Dar kuna makabila zaidi ya 100 wanaishi kwa mchanganyiko. Kinachokushangaza wewe ni nini sasa hapo??..Mchanganyiko, mara mzaramo, mara mnyakyusa, mkoa wa Mara. Ulitaka kutuambia makabila au wema wa muuza samaki kwa mjamzito ?
Wema hauna Kabila wala dini. Mifano ipoWema wa watu wa Pwani. Wengi ni standard 7 tu ila wana mioyo ya upendo mnoo..
Mkuu, may you please elaborate this more??Yesu alitoa mifano mingi sana, na mmoja wa mfano huo ni huu "Haki yenu isipozidi haki ya Mafarisayo hamtairithi mbingu"
Kuna watu tunadharau dini zao, kuna watu hawana muda na mambo ya ibada lakini haki zao ni kubwa kuliko viongozi wa dini.
Kasooooongo mbona wewoooooooMwinyi au mwanasiasa yoyote yule kutokea Zanzibar au Pwani, wanakuwa na elements fulanifulani za kiungwana.
Idadi kubwa ya watu wema wapo Pwani. Tazama hata social media platforms utaona matukio mengi ya kikatili yapo mikoa ya bara hususan Geita na Tarime..Wema hauna Kabila wala dini. Mifano ipo
Hii ndio nini sasa??Kasooooongo mbona wewooooooo
Okay. Asante kwa kunipa elimu..Sijajua umetoka jamii gani na Mnatabia gani hasa kwenye utu na ubinadamu, ila ni kawaida sana, mfano wanyakyusa wana ndugu wa hiari wengi sana, na makabila mengi tu wamasai, wasukuma, wameru ndio usiseme unabatizwa hadi jina la ukoo
Achana nao hao mkuu..Nakupeleka ignore kist.
Kuanzia hapa sitaona post zako.
Wewe ni troll tu hujafikia uwezo wa kujibizana na mimi.