Na bora yake hiyo mama anaipata kila siku bila masimango, na akijidhatiti kuongeza mtaji na hiyo take home inaongezeka.faida ya 10,000 ni ndogo?? Mbona ni take home za waajiriwa wengi tu😁
kutoa sio utajiri, kusaidia mtu sio mpaka uwe navyo vingiMambo vp wadau??
Ninaomba radhi kwa uandishi m-bovu.
Kuna mama mmoja yeye ni mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).
Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.
Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.
Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.
Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje??
Watu wa Pwani (Wazaramo, Wandengereko,n.k) Mwenyezi Mungu awabariki sana.
NB: Mimi ni kabila la mkoa wa Mara..
It's a very relevant example. Ubarikiwe sana wewe na huyo jamaa yako..Ndugu labda nikwambie tu maskini huwa wanasaidiana Sana kuliko matajiri . Msaada wa maskini ni wakweli na una mguso wa Moja kwa moja , kwani anatoa the last coin .
Mfano ,Mimi miaka ya nyuma niliwahi kuwa ghetto ,akaja mshikaji wangu mmoja kuomba msaada na Mimi nilikuwa najitafuta miaka ya 1995 . Nikawa namlisha, tunapika . Mimi naenda kupiga zege nalipwa 1000 per day . Jamaa alikuja kuondoka after six months . Maisha yalikuja kumnyookea na ndiye amenifikisha hapa . Now Mimi nina maisha mazuri tu kupitia yeye . Nachukua posho taasisi ya kimataifa UN
Hakika nimejifunza mkuu..kutoa sio utajiri, kusaidia mtu sio mpaka uwe navyo vingi
Umeandika vema mkuu..Mwanamke mjamzito huwa anatia huruma fulani hivi.
Jana tulikuwa tunaongelea watu wanaokuja kwa Mwamposa kutoka mikoani na kukisa huduma za kijamii. Kuna jamaa mwanaume anasema ilibidi amuokoe mwanamke mjamzito aliyekuja kwa Mawamposa bila mwenyeji, akawa anaumwa, ikabidi jamaa amchukue ampeleke nyumbani kwake, ambako alikuwa na mke tayari, mpaka akaingia lawamani majirani wakawa wanamwambia mke wake kwamba huyo bwana kamletea mkemwenza.
"Rizk mantashaa" unajua maana yake mkuu??uzeeni wanaishi maisha gumu sana
Umekuja na ID tofauti naona.
Ukirudia ujinga wako huu naipeleka ignore list ID hii nayo
Baraka hutokea zaidi kwa watu wasaiadiao wengine. Ni mara chache sana mtu mwema kupata shida ya kumshinda kuikabili.Mambo vp wadau??
Ninaomba radhi kwa uandishi m-bovu.
Kuna mama mmoja yeye ni mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).
Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.
Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.
Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.
Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje??
Watu wa Pwani (Wazaramo, Wandengereko,n.k) Mwenyezi Mungu awabariki sana.
NB: Mimi ni kabila la mkoa wa Mara..
Jamaa hapendi, achana naye tu..Unaikana dini shekh
Jamaa wakuache tu mkuu. Mimi ninaamini siku zote kama mtu hataki suala fulani, unaachana naye tu..Umekuja na ID tofauti naona.
Ukirudia ujinga wako huu naipeleka ignore list ID hii nayo.
Just leave him alone..Shekh pokea Salam kutoka madrasa tuliyosoma wote pale msikiti wa....
....ni kabila gani halina idadi fulani ndogo ya watu wa hovyo/wanafiki??Tatizo la wazaramo ni uislamu tu umewafanya kuishi kinafiki na kishabiki ...maana kwa tabia zao dini ni kinyume na maisha yao halisi
Sijajua umetoka jamii gani na Mnatabia gani hasa kwenye utu na ubinadamu, ila ni kawaida sana, mfano wanyakyusa wana ndugu wa hiari wengi sana, na makabila mengi tu wamasai, wasukuma, wameru ndio usiseme unabatizwa hadi jina la ukooKweli kabisa. Inawezekana mimi ni mtu wa hovyo sana mkuu..
Kila mtu ana chakupoteza ni vile tu hujakamatika bado.Maskin hana cha kupoteza
Wewe ujaelewa ninacho maanisha ...kuhusu ulicho uliza ni kwamba nilimaanisha wazaramo awajikwezi wanaroho nzuri kuliko makabila mengi ...sasa hayo makabila mengine watu wake kiasili ni wabinafsi na wana roho mbaya wakichanganya na dini zao wanazo zitumia kinafiki ndiyo inakua balaaa....ni kabila gani halina idadi fulani ndogo ya watu wa hovyo/wanafiki??
Nakupeleka ignore list.Unaikana dini shekh
Andiko laki linatufundisha niniMambo vp wadau??
Ninaomba radhi kwa uandishi m-bovu.
Kuna mama mmoja yeye ni mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).
Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.
Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.
Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.
Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje??
Watu wa Pwani (Wazaramo, Wandengereko,n.k) Mwenyezi Mungu awabariki sana.
NB: Mimi ni kabila la mkoa wa Mara..
Hongera! Siku hizi umetelekeza chama cha CCM. Huweki uzi kusifia tena. Wewe pamoja na malaria sugu mepotea sanaNimesoma nimekusikitikia sana sana
Sasa, si unaumia wewe sio masikini.. Kamchukue huyo binti kuishi nae wewe na kumsaidia.. Maana unaonyesha hauwezi kumpatia yeye pesa au kumpangia sehemu na roho yako hiyo
Huyo ni troll tu, nimempeleka ignore list.Jamaa wakuache tu mkuu. Mimi ninaamini siku zote kama mtu hataki suala fulani, unaachana naye tu..