Mama mwenye nyumba kanisamehe kodi mbele ya baba mwenye nyumba

Mama mwenye nyumba kanisamehe kodi mbele ya baba mwenye nyumba

Una akili za kitoto sana, hela unayo ila kulipa kodi unataka mpaka ukumbushwe?
Ndio kawaida ya wabongo kaka, kulipa deni mpaka umdai ilihali anatambua kabisa ni wajibu wake kulipa.

Mbongo anaweza akawa na million mfukoni wake, wakati huo wewe unamdai shilingi elfu kumi tu, ila akajikausha mpaka utakamkumbusha...

Yaani wabongo kutoa hela mfukoni hili walipe deni wanaona kama wanaitupa.
 
Kiongozi hiyo pesa usiitumie, huyo mama atakutafuta pembeni ili umpe ni ya marejesho, hakutaka umpe mzee
 
😂😂Mkuu, kujikwamua kwa mtanzania ni kitendawili kisichokuwa na jibu, unaeza sema ujibane bane ulale kwenye mkeka, upange chumba cha giza cha 10k etc, ukashangaa unakufa kibudu ukiwa na kibubu cha 700k ndani

Maisha ndo haya haya mkuu, wacha niishi life fulani hivi hata siku nikiwa na malaika tunakula story napata cha kuhadithia

Utaanzaje kujenga wakati watoto wa 2000 wamejazana mtaani?
. UPUUZI HUU 🙁🙁🙁.


. Wewe huna life unayoishi hapo zaidi ya kumtajirisha huyo mwenye nyumba tu...

. Kama kodi yenyewe tu unasubiria mpaka misaada ipite kwa mama mwenye nyumba ndo upumue alafu unasema unakula maisha.....
 
Dogo hela haiachwi kirahisi hivyo. Kuna mawili: 1. Mama hiyo hela ataichukua kutoka kwako baadaye ili aitumie kwa mambo yake, au 2. Amekuhonga kinamna ili baadaye uwe kiben 10 chake. Hivyo endelea kuitunza pesa yake.
 
Dogo hela haiachwi kirahisi hivyo. Kuna mawili: 1. Mama hiyo hela ataichukua kutoka kwako baadaye ili aitumie kwa mambo yake, au 2. Amekuhonga kinamna ili baadaye uwe kiben 10 chake. Hivyo endelea kuitunza pesa yake.
Duh! Ngojea nivutevute siku kama 15 hivu, au nimdodose nione mrejesho?
 
😂😂Mkuu, kujikwamua kwa mtanzania ni kitendawili kisichokuwa na jibu, unaeza sema ujibane bane ulale kwenye mkeka, upange chumba cha giza cha 10k etc, ukashangaa unakufa kibudu ukiwa na kibubu cha 700k ndani

Maisha ndo haya haya mkuu, wacha niishi life fulani hivi hata siku nikiwa na malaika tunakula story napata cha kuhadithia

Utaanzaje kujenga wakati watoto wa 2000 wamejazana mtaani?
Sasa chumba cha elfu 50 ndo chumba cha kusema maisha ni haya haya?
 
mmh we ni mwanafunzi? chumba cha 50k? Daah na bado kweny comments tunabishana akat hio n budget yangu ya bando na dakka kwa mwez na inaweza ikawa isitoshe sometimes
 
Hiyo hela nadhani unapaswa kuilipa sio kwamba amekusamehe ila anajua mme wake ni mkorofi angekuzingua akaamua kukusitiri ila nashauri umlipe usiile.
 
Mvute mama mwenye nyumba pembeni, kisha muulize mama ulipigaje pale? Hapo alipo mama wa watu anangoja kuona busara yako kuwa je utamfata kumuuliza? Ili akupe majibu ya kwanini aliamua kupiga vile alivyopiga mbele ya mumewe, acha kukaa kimya na wala usiitumie hiyo pesa kabla ya kusikia kutoka kwake!! Usisubiri akufate.
 
Maza hausi atakuja kwa mlango wa uani iyo 300k utailipa tu ina anymeans
 
Back
Top Bottom