''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

hapa sasa unataka kuleta hoja mpya ambayo tutaanza kuhamishana meza
ha ha ha ha!
mkuu jaribu kumuuliza mtu mmoja mmoja......!
singo lady anaetembea na mume wa mtu AU married lady anaetembea na SINGO-PLAYBOY which is the lesser evil?
 
i cant believe mna-embrace huu ujinga...!
 
ha ha ha ha!
Mkuu jaribu kumuuliza mtu mmoja mmoja......!
singo lady anaetembea na mume wa mtu au married lady anaetembea na singo-playboy which is the lesser evil?

kwangu mimi hii maana naona unataka hii hoja yako mnaajenda ya kuhamisha watu meza
 
kwani kuolewa ni lazima mkuu?....

watu wangeenda kwa waganga kutafuta waume?

Haya maswali yanaongelea nini? Kwamba kuolewa si lazima ila watu wanaenda kwa waganga kutafuta dawa ili waolewe, au mimi ndo sielewi?
 
Haya maswali yanaongelea nini? Kwamba kuolewa si lazima ila watu wanaenda kwa waganga kutafuta dawa ili waolewe, au mimi ndo sielewi?
maana yangu hapo ni kwamba kuolewa sio RULE....!kwamba muda ukifika lazima uolewe....wakat mwingine sio lazima uolewe ndo maana wengine wanalazimisha
 
Samahani...
Hayo mambo ambayo mama mwenye nyumba hawezi kufanya ni kama nini vile...?!
1. Mara oh mimi nimechoka sana, wiki hii uniache...
2. Chachandu ni uhuni, kwani zinaongeza nini...
3. Mimi siwezi kufanya staili za malaya/changudoa, mimi mke wa ndoa bwana...
4. Siendi baa, mimi nimeokoka....
5. n.k

na mengine kibao...
 
Napenda kuweka malalamiko yangu rasmi.....hii thredi inaenda haraka kupita maelezo.....kurasa 10 kabla sijasoma ukurasa wa kwanza?
@Teamo....hii thredi imelenga kupata maoni ya MMN na MN?....napendekeza hii thredi iwe exclusive kwa wale ambao ni MMN na MN....wapi Da Sophy?
[@Asprin/Kaizer: (Sensa na ule mpango wa PJ aruchaga?)]
 
tayari wamekwisha anzaaaa

tofauri na wenginee.................................
ha ha ha ha!
MAISHA YANGEKUWA HIVI TUNGEYAWEZA KWEELI?....lakini ndivyo watu wanavyopaniki kwenye KOMMENTS ZAAAOOOOO TIFAUTI NA WENGINEEEEEEEEEEEE........!sisi hatupaniki badala yake tunaweka hoja mezani watu wanajadili na kubishana kwa hoja HII NI MMU YA UKWELI PEKEEEEEEEE

TAYARI AMEKWISHAA ANZAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!.....

CCM NDIO CHAAMAAAAAAAAAAAAAAA
 
heroes are not those who never lose, but those who never quit....

heroes = mpango mzima

ccm ndiooo baba x2
ccm ndiooo mama x2
ccm yajenga nchi x2
mapinduzi tuongoze x2
 
Napenda kuweka malalamiko yangu rasmi.....hii thredi inaenda haraka kupita maelezo.....kurasa 10 kabla sijasoma ukurasa wa kwanza?
@Teamo....hii thredi imelenga kupata maoni ya MMN na MN?....napendekeza hii thredi iwe exclusive kwa wale ambao ni MMN na MN....wapi Da Sophy?
[@Asprin/Kaizer: (Sensa na ule mpango wa PJ aruchaga?)]
ha ha ha!
haya bana......!

hebu toa komments zako kabisa
 
ha ha ha ha!
MAISHA YANGEKUWA HIVI TUNGEYAWEZA KWEELI?....lakini ndivyo watu wanavyopaniki kwenye KOMMENTS ZAAAOOOOO TIFAUTI NA WENGINEEEEEEEEEEEE........!sisi hatupaniki badala yake tunaweka hoja mezani watu wanajadili na kubishana kwa hoja HII NI MMU YA UKWELI PEKEEEEEEEE

TAYARI AMEKWISHAA ANZAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!.....

CCM NDIO CHAAMAAAAAAAAAAAAAAA



KWAKO WEWE UHURU UNAMAANISHA NINI?
 
napenda kuweka malalamiko yangu rasmi.....hii thredi inaenda haraka kupita maelezo.....kurasa 10 kabla sijasoma ukurasa wa kwanza?
@teamo....hii thredi imelenga kupata maoni ya mmn na mn?....napendekeza hii thredi iwe exclusive kwa wale ambao ni mmn na mn....wapi da sophy?
[@asprin/kaizer: (sensa na ule mpango wa pj aruchaga?)]

aisee mkuu upo?
 
1. Mara oh mimi nimechoka sana, wiki hii uniache...
2. Chachandu ni uhuni, kwani zinaongeza nini...
3. Mimi siwezi kufanya staili za malaya/changudoa, mimi mke wa ndoa bwana...
4. Siendi baa, mimi nimeokoka....
5. n.k

na mengine kibao...

"Si wote wenye mbio washindao katika mashindano, na si wote wenye nguvu wapatao chakula chao; bali bahati huwapata wote"
 
Back
Top Bottom