''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

Lakini kila chenye faida kina hasara pia!!! But kama faida ni kubwa kuliko hasara, tunachagua.
So kama infii anapata furaha, amani, upendo nakadhalika zote kuliko mama mwenye nyumba,
Tunaweza kusema bora kuchagua Hiyo (MY INFII)
hapa mama najua WENGI WATAKUPINGA.....!lakin huo ndio ukweli
 
lakini kila chenye faida kina hasara pia!!! But kama faida ni kubwa kuliko hasara, tunachagua.
So kama infii anapata furaha, amani, upendo nakadhalika zote kuliko mama mwenye nyumba,
tunaweza kusema bora kuchagua hiyo (my infii)

kwahiyo nani alikutuma uolewe au kuoa kama unaona infii ni bora
 
Mpango wa nje unafaidi sana si uongo....nianzie na hii kwanza halafu nitarudi
 
Mpango wa nje unafaidi sana si uongo....nianzie na hii kwanza halafu nitarudi
ha ha ha ha!unajua nin,mimi huwa napenda watu wakweli kama wewe.haya mama:
The Following User Says Thank You to JS For This Useful Post:

Teamo (Today)​
 
mpaka pale atakapokuwa mama mwenye nyumba lakini still anaweza akaendelea kufanywa mpango wa nje na mtu mwingine kwahiyo mechi bado inakuwa ngumu
Hapa mpango wa nje kivip? maana yeye ndo anakua na mpango wa nje sio yeye anafanywa kua mpango wa nje au? :bump:
 
kwahiyo nani alikutuma uolewe au kuoa kama unaona infii ni bora

Swala si mpango wa nje na mama mwenye house, nachagua mpango wa nje naachana na mambo ya mama mwenye nyumba.
Nahesabu gharama hapo, nkiona kusema my Infii ni afadhali kuliko My husband NACHAGUA (MY INFII)
 
ha ha ha ha ha ha!
CCM NDIO CHAAMAAAAAAAAAAAAAAAAA..................CCEM YAJENGA NCHI!

Heroes are not those who never lose, but those who never quit....

Heroes = Mpango mzima
 
Swala si mpango wa nje na mama mwenye house, nachagua mpango wa nje naachana na mambo ya mama mwenye nyumba.
Nahesabu gharama hapo, nkiona kusema my Infii ni afadhali kuliko My husband NACHAGUA (MY INFII)
HA HA HA HA!ld hebu check your pm shortly...........
 
Back
Top Bottom