hapo ina maanisha itakuwa hivyo maisha yako yote?....matatizo ya kwenye ndoa ukiyachukulia kama unasoma katekismo bac uanishilia taratibu, ukiyaona mengine ukayapotezea mengine unaharibu bac cku zinasonga, ni bora kuingia na kupambana nayo kuliko kutumika huko nje kama ifuatavyo...na hawa wanaume ambavyo hawatosheki kesho kesho akiokita ka spring chicken kengine anakumwaga.....
mpaka hapo ''hamna'' kitu ndoa.....!
tiketi nyingine ya kumfanyia maisha ''mpango wa kando''
hapo ina maanisha itakuwa hivyo maisha yako yote?....matatizo ya kwenye ndoa ukiyachukulia kama unasoma katekismo bac uanishilia taratibu, ukiyaona mengine ukayapotezea mengine unaharibu bac cku zinasonga, ni bora kuingia na kupambana nayo kuliko kutumika huko nje kama ifuatavyo...na hawa wanaume ambavyo hawatosheki kesho kesho akiokita ka spring chicken kengine anakumwaga.....
Kwa kifupi mpaka sasa mpango wa nje unaongoza mbili bila. Manake naona wanawake wanaupinga wakati wanaume wote wameuunga mkono. Sasa jiulizeni hawa wanaume wanaosapoti kampeni ya mpango wa nje,ambao pia ni waumini wa mpango wenyewe, huo mpango wanaupanga na kina nani? Wanaume wenzao? Agrrrrrrrrrrrr...........
Kwa kifupi wanawake acheni unafiki.
Babu anarudi kitandani kulala.
tiketi nyingine hiyo ya ''KUCHOSHANA'' na baadae jamaa anaendelea na ''mpango wa nje''.....labda kwa wengine, mie yangu ipo na itaendelea kuwepo na kwa style hiyo hapo.....kwa wanangu sawa kwa mambo mengine c mnajifanya vichwa vya nyumba? bac mie kazi yangu ni kumsaidia kuleta/kupanga maendeleo!...haikuwa hivyo awali lakini kuanzia ile mikiki mikiki bac haaaa anajua kabisa ctaki kuckia baba chupa wala mama mfuniko...mahitaji yanamuhusu mwanzo mwisho.
js kwahiyo wewe si unaweza kuwa mpango wangu wa nje
Hivi NN, ulishawahi kuwa mpango wa nje wa mtu katika life yako?
Aisee pamoja na kuitetea sana thread yenu jana kwenye kikaango cha Acid, bado unataka kuchezea kaka zako?
tiketi nyingine hiyo ya ''KUCHOSHANA'' na baadae jamaa anaendelea na ''mpango wa nje''.....
aisee pamoja na kuitetea sana thread yenu jana kwenye kikaango cha acid, bado unataka kuchezea kaka zako?
Ukiongea na mimi vizuri ukanisomesha nikasomeka inawezekana kabisa....unatafuta mpango wa nje Finest???
ukiongea na mimi vizuri ukanisomesha nikasomeka inawezekana kabisa....unatafuta mpango wa nje finest???
nyie hamuwezi kuingia kwenye mpango wa nje, bado wadogo nyie, shughulikieni kwanza mpango mzima, haya mengine tuachieni sisi
Bacha naomba utafute njia mbadala ya kufupisha jina langu plz!(ni ombi).....bado cjafikiria hata kwa mbali....
Achana nae huyo......!
''bange''
JK tulia ikulu, wapinzani tuachie sisi
Kuna wanawake wengine YEYE NIWAKUU,
HABARINI ZA MAJILIO?
naomba mawazo yenu katika muendelezo ule ule wa ''kuelezana ukweli unaohuzunisha''.....
ASSUMING KWAMBA SITUATION IMETOKEA HIVYO na baba mwenye nyumba ameamua kuwa na ''mpango wa kando'' kwa sababu zozote zile,mi nataka tupeane mawazo kwamba hivi ni nani anaeinjoi mapenzi zaidi ya mwenzake kati ya:
1)-MAMA MWENYE NYUMBA
-ambaye ndo mke wako wa ndoa
-ambaye ndo yuko responsible bega kwa bega na wewe katika kuikuza familia
-ambaye anavumilia kwa hali yoyote ile muda wowote ule utakao amua kurudi
-ambaye muda wote wa usiku wa giza anakuwa na mawazo kibao kwamba ''mume wangu amepatwa na nini''
-ni mke wako ''enewei'' na she is entitled to whatever is brought for the family
-ambaye utakata roho ukiwa mikononi mwake
2)-MPANGO WA NJE.
-she is entitled to kampani,route na vikao vyote vya pombe/movie etc
-anapewa nafasi ya kuagiza chochote anachotaka mkiwa baa
-anapewa nafasi ya kupelekwa shoping na kujiagizia chochote
-anakuwa na uhakika wa credits,means za tranzport (hata kumrash home kila siku sio ishu)
-anapewa nafasi adimu ya kuchat na wewe 24/7
-anapewa nafasi ya kudeka anavyotaka
-anapewa nafasi ya kunisindikiza arusha kuungana na pakajimi na kampani kubwa ya jf ya ARACHUGA
TUSAIDIANE HAPO MAWAZO,who is enjoying?
....and why?
Daaaa eti dada nyamayao eee! hivi hawezi kuridhika na mimi pamoja na huyo mother house wake jamani.
Sasa wanaume hapo ndo mnaponipa tabu.
asikudanganye mtu bana, hakuna kitu murua kama kua na mkeo ndani, yaani hata kama anasonga ugali, unamuita room halafu ndio inakua vile tena! Hayo mambo ya mechi za ugenini mara mchezaji kagoma au kashindwa kutoka...mmh unaishia kukasirika tu!! I love mama ya watoto yangu!
asante sana!na aende akatumie jasho lake, sio langu limechangia liende kwenye anasa zake....btw hata nikitumia hii njia nictumie nje mkitaka kwenda mnaenda tu....sema kuna ile kaishiwa ndio nitamrushia visenti lakini sio maozea!...halafu namchosha kuhudumia"familia yake?...haaa miujiza.