''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

hapo ina maanisha itakuwa hivyo maisha yako yote?....matatizo ya kwenye ndoa ukiyachukulia kama unasoma katekismo bac uanishilia taratibu, ukiyaona mengine ukayapotezea mengine unaharibu bac cku zinasonga, ni bora kuingia na kupambana nayo kuliko kutumika huko nje kama ifuatavyo...na hawa wanaume ambavyo hawatosheki kesho kesho akiokita ka spring chicken kengine anakumwaga.....

Hivi NN, ulishawahi kuwa mpango wa nje wa mtu katika life yako?
 
mpaka hapo ''hamna'' kitu ndoa.....!

tiketi nyingine ya kumfanyia maisha ''mpango wa kando''

labda kwa wengine, mie yangu ipo na itaendelea kuwepo na kwa style hiyo hapo.....kwa wanangu sawa kwa mambo mengine c mnajifanya vichwa vya nyumba? bac mie kazi yangu ni kumsaidia kuleta/kupanga maendeleo!...haikuwa hivyo awali lakini kuanzia ile mikiki mikiki bac haaaa anajua kabisa ctaki kuckia baba chupa wala mama mfuniko...mahitaji yanamuhusu mwanzo mwisho.
 
hapo ina maanisha itakuwa hivyo maisha yako yote?....matatizo ya kwenye ndoa ukiyachukulia kama unasoma katekismo bac uanishilia taratibu, ukiyaona mengine ukayapotezea mengine unaharibu bac cku zinasonga, ni bora kuingia na kupambana nayo kuliko kutumika huko nje kama ifuatavyo...na hawa wanaume ambavyo hawatosheki kesho kesho akiokita ka spring chicken kengine anakumwaga.....

Daaaa eti dada nyamayao eee! hivi hawezi kuridhika na mimi pamoja na huyo mother house wake jamani.
Sasa wanaume hapo ndo mnaponipa tabu.
 
Kwa kifupi mpaka sasa mpango wa nje unaongoza mbili bila. Manake naona wanawake wanaupinga wakati wanaume wote wameuunga mkono. Sasa jiulizeni hawa wanaume wanaosapoti kampeni ya mpango wa nje,ambao pia ni waumini wa mpango wenyewe, huo mpango wanaupanga na kina nani? Wanaume wenzao? Agrrrrrrrrrrrr...........

Kwa kifupi wanawake acheni unafiki.

Babu anarudi kitandani kulala.

Babu leo mbona hubanduki kitandani........au ndo mpango wa nje
 
labda kwa wengine, mie yangu ipo na itaendelea kuwepo na kwa style hiyo hapo.....kwa wanangu sawa kwa mambo mengine c mnajifanya vichwa vya nyumba? bac mie kazi yangu ni kumsaidia kuleta/kupanga maendeleo!...haikuwa hivyo awali lakini kuanzia ile mikiki mikiki bac haaaa anajua kabisa ctaki kuckia baba chupa wala mama mfuniko...mahitaji yanamuhusu mwanzo mwisho.
tiketi nyingine hiyo ya ''KUCHOSHANA'' na baadae jamaa anaendelea na ''mpango wa nje''.....
 
Hivi NN, ulishawahi kuwa mpango wa nje wa mtu katika life yako?

Bacha naomba utafute njia mbadala ya kufupisha jina langu plz!(ni ombi).....bado cjafikiria hata kwa mbali....
 
Aisee pamoja na kuitetea sana thread yenu jana kwenye kikaango cha Acid, bado unataka kuchezea kaka zako?

My infii mbona umekuwa mkali tena????
 
tiketi nyingine hiyo ya ''KUCHOSHANA'' na baadae jamaa anaendelea na ''mpango wa nje''.....


na aende akatumie jasho lake, sio langu limechangia liende kwenye anasa zake....btw hata nikitumia hii njia nictumie nje mkitaka kwenda mnaenda tu....sema kuna ile kaishiwa ndio nitamrushia visenti lakini sio maozea!...halafu namchosha kuhudumia"familia yake?...haaa miujiza.
 
Asikudanganye mtu bana, hakuna kitu murua kama kua na mkeo ndani, yaani hata kama anasonga ugali, unamuita room halafu ndio inakua vile tena! Hayo mambo ya mechi za ugenini mara mchezaji kagoma au kashindwa kutoka...mmh unaishia kukasirika tu!! I love mama ya watoto yangu!
 
Ukiongea na mimi vizuri ukanisomesha nikasomeka inawezekana kabisa....unatafuta mpango wa nje Finest???

Nyie hamuwezi kuingia kwenye mpango wa nje, bado wadogo nyie, shughulikieni kwanza mpango mzima, haya mengine tuachieni sisi
 
ukiongea na mimi vizuri ukanisomesha nikasomeka inawezekana kabisa....unatafuta mpango wa nje finest???

according tu wachangiaji wote humu inaonekana mpango wa nje ndio dili, basi na mimi nataka nitesti mpango wa nje nitaanza kwa kuku-pm
 
nyie hamuwezi kuingia kwenye mpango wa nje, bado wadogo nyie, shughulikieni kwanza mpango mzima, haya mengine tuachieni sisi

hizi habari za kutaka kuhamishana meza hizi niliziona tokea mwanzo
 
WAKUU,
HABARINI ZA MAJILIO?

naomba mawazo yenu katika muendelezo ule ule wa ''kuelezana ukweli unaohuzunisha''.....

ASSUMING KWAMBA SITUATION IMETOKEA HIVYO na baba mwenye nyumba ameamua kuwa na ''mpango wa kando'' kwa sababu zozote zile,mi nataka tupeane mawazo kwamba hivi ni nani anaeinjoi mapenzi zaidi ya mwenzake kati ya:

1)-MAMA MWENYE NYUMBA

-ambaye ndo mke wako wa ndoa
-ambaye ndo yuko responsible bega kwa bega na wewe katika kuikuza familia
-ambaye anavumilia kwa hali yoyote ile muda wowote ule utakao amua kurudi
-ambaye muda wote wa usiku wa giza anakuwa na mawazo kibao kwamba ''mume wangu amepatwa na nini''
-ni mke wako ''enewei'' na she is entitled to whatever is brought for the family
-ambaye utakata roho ukiwa mikononi mwake

2)-MPANGO WA NJE.
-she is entitled to kampani,route na vikao vyote vya pombe/movie etc
-anapewa nafasi ya kuagiza chochote anachotaka mkiwa baa
-anapewa nafasi ya kupelekwa shoping na kujiagizia chochote
-anakuwa na uhakika wa credits,means za tranzport (hata kumrash home kila siku sio ishu)
-anapewa nafasi adimu ya kuchat na wewe 24/7
-anapewa nafasi ya kudeka anavyotaka
-anapewa nafasi ya kunisindikiza arusha kuungana na pakajimi na kampani kubwa ya jf ya ARACHUGA


TUSAIDIANE HAPO MAWAZO,who is enjoying?
....and why?
Kuna wanawake wengine YEYE NI
'MAMA MWENYE NYUMBA'' ........KWAKO.......... NA VILE VILE NI ''MPANGO WA KANDO'' ......KWA MUUZA GENGE---------HIVYO YEYE NDO ANAFAIDI
 
Daaaa eti dada nyamayao eee! hivi hawezi kuridhika na mimi pamoja na huyo mother house wake jamani.
Sasa wanaume hapo ndo mnaponipa tabu.

mwanaume walio wengi wakitoka nje ucdhani atadumu na wewe kivile, akimaliza kale ka uzuri kako ujue atatafuta mwingine, jinc mie mke wake anavyonifanyia ndio atakavyokufanyia wewe, mie c ziwa limedondoka kwa kumnyonyesha yeye na wanae, sasa wewe kalidondosha kwa kubembea nalo....hapo faida ipo kwangu japo atakumbuka kuna familia atatimua mbio kurudi hme....baadhi ya wadada nawashangaa sana,hebu mjifunze kuringia usichana wenu...huyu mume wa mtu anakupimia muda anatoka saa mbili anakuambia namuwahi "wife"...we umeridhika tu kutumika, labda awe gold digger nitamuelewa otherwise hakunaga mapenzi ya kweli kutoka kwa mume wa mtu, tena mwanaume anaeijali familia yake ndio kabisaaa wanajua kuwapotezea warembo muda....
 
asikudanganye mtu bana, hakuna kitu murua kama kua na mkeo ndani, yaani hata kama anasonga ugali, unamuita room halafu ndio inakua vile tena! Hayo mambo ya mechi za ugenini mara mchezaji kagoma au kashindwa kutoka...mmh unaishia kukasirika tu!! I love mama ya watoto yangu!

kama una mama mwenye nyumba nahaujawahi kujaribu mpango wa nje usijaribu kabisa

onyo: dont try this
 
na aende akatumie jasho lake, sio langu limechangia liende kwenye anasa zake....btw hata nikitumia hii njia nictumie nje mkitaka kwenda mnaenda tu....sema kuna ile kaishiwa ndio nitamrushia visenti lakini sio maozea!...halafu namchosha kuhudumia"familia yake?...haaa miujiza.
asante sana!
wanawake kama wewe ndio ninaopenda waendelee kuwepo duniani.....
hapa wewe hoja ni KUTUMIA HELA YA NANI
 
Back
Top Bottom