''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

unachokiongea nyamayao ni sawa kwahiyo unahalalisha kwao kulala ovyo uko nje hapa sijakuelewa dada una maana gani kwa hiyo atembee tu huko halafu atakimbilia kwangu nimpokee sababu ni mume mbona kama tunachanganya mambo huwa tunajisahau sana na kuamini ukishaolewa unapendwa wewe tu na hakuna kingine bado naamini kuna security ambayo ndoa inatupa ndio inatufanya wanaume waweze kuandika haya na sisi tunasapoti kuamini atarudi tu na magonjwa je mapenzi yanagawanyika wapi uliona usafishe chupi usiku mwingine akaweka utando wake halafu atarudi najua atarudi sababu ya hii NDOA


mwanaume walio wengi wakitoka nje ucdhani atadumu na wewe kivile, akimaliza kale ka uzuri kako ujue atatafuta mwingine, jinc mie mke wake anavyonifanyia ndio atakavyokufanyia wewe, mie c ziwa limedondoka kwa kumnyonyesha yeye na wanae, sasa wewe kalidondosha kwa kubembea nalo....hapo faida ipo kwangu japo atakumbuka kuna familia atatimua mbio kurudi hme....baadhi ya wadada nawashangaa sana,hebu mjifunze kuringia usichana wenu...huyu mume wa mtu anakupimia muda anatoka saa mbili anakuambia namuwahi "wife"...we umeridhika tu kutumika, labda awe gold digger nitamuelewa otherwise hakunaga mapenzi ya kweli kutoka kwa mume wa mtu, tena mwanaume anaeijali familia yake ndio kabisaaa wanajua kuwapotezea warembo muda....
 
NYAMAYAO ENDELEA MAMA!.....
nadhani nimeanza kukuelewa wewe ni nani
 
unachokiongea nyamayao ni sawa kwahiyo unahalalisha kwao kulala ovyo uko nje hapa sijakuelewa dada una maana gani kwa hiyo atembee tu huko halafu atakimbilia kwangu nimpokee sababu ni mume mbona kama tunachanganya mambo huwa tunajisahau sana na kuamini ukishaolewa unapendwa wewe tu na hakuna kingine bado naamini kuna security ambayo ndoa inatupa ndio inatufanya wanaume waweze kuandika haya na sisi tunasapoti kuamini atarudi tu na magonjwa je mapenzi yanagawanyika wapi uliona usafishe chupi usiku mwingine akaweka utando wake halafu atarudi najua atarudi sababu ya hii NDOA

Chauro you just made my day lol!!!!!
 
lakin hapa jf realistic HAITAKIWI!ikiongelewa inakuwa kama una GLORIFY

huo ndo ukweli unaotuzunguka,,hata usipozungumzwa ulikuwepo na upo,,,sitaki kuamini kuwa maneno ya keyboard ndo matendo,,lkn huo ndo ukweli
 
unachokiongea nyamayao ni sawa kwahiyo unahalalisha kwao kulala ovyo uko nje hapa sijakuelewa dada una maana gani kwa hiyo atembee tu huko halafu atakimbilia kwangu nimpokee sababu ni mume mbona kama tunachanganya mambo huwa tunajisahau sana na kuamini ukishaolewa unapendwa wewe tu na hakuna kingine bado naamini kuna security ambayo ndoa inatupa ndio inatufanya wanaume waweze kuandika haya na sisi tunasapoti kuamini atarudi tu na magonjwa je mapenzi yanagawanyika wapi uliona usafishe chupi usiku mwingine akaweka utando wake halafu atarudi najua atarudi sababu ya hii NDOA

Chauro mume wa ndoa ni mume wako tu wala usiwe na wasiwasi akirudi mpokee kwa mabusu na bashasha zote hata kama ametoka kwenye kazi za nje ingawa wewe haujui
 
wengine huanza siku moja baada ya kufunga ndoa

the finest mbona unanitisha mwenzio, unataka kunambia bora nibaki hivi hivi nilivyo sasa.
manake infii noma, mume nae ndo hivyo ujiandae kukabidhiana na mavituko ya hapa na pale.
duu
 
huo ndo ukweli unaotuzunguka,,hata usipozungumzwa ulikuwepo na upo,,,sitaki kuamini kuwa maneno ya keyboard ndo matendo,,lkn huo ndo ukweli

Wise the lady wengine ni wagumu kuelewa sana hapa JF ni wachache sana kama wewe wanaelewa hizi keyboard
 
Chauro mume wa ndoa ni mume wako tu wala usiwe na wasiwasi akirudi mpokee kwa mabusu na bashasha zote hata kama ametoka kwenye kazi za nje ingawa wewe haujui

TF, hebu jaribu kupiga picha ya upande wa pili? Unaweza kumpokea kwa mabusu my wife wako akitoka kwenye infi?
 
the finest mbona unanitisha mwenzio, unataka kunambia bora nibaki hivi hivi nilivyo sasa.
manake infii noma, mume nae ndo hivyo ujiandae kukabidhiana na mavituko ya hapa na pale.
duu

Hilo la wewe kubaki peke yako siliafiki ila mimi nilikuwa nashauri mimi na wewe tuwe mwili mmoja ili tuepuke hizi "KAZI ZA NJE"
 
unachokiongea nyamayao ni sawa kwahiyo unahalalisha kwao kulala ovyo uko nje hapa sijakuelewa dada una maana gani kwa hiyo atembee tu huko halafu atakimbilia kwangu nimpokee sababu ni mume mbona kama tunachanganya mambo huwa tunajisahau sana na kuamini ukishaolewa unapendwa wewe tu na hakuna kingine bado naamini kuna security ambayo ndoa inatupa ndio inatufanya wanaume waweze kuandika haya na sisi tunasapoti kuamini atarudi tu na magonjwa je mapenzi yanagawanyika wapi uliona usafishe chupi usiku mwingine akaweka utando wake halafu atarudi najua atarudi sababu ya hii NDOA

hujanipata vizuri Chauro....hakuna kitu nakipinga kama hiki, ni kwa vile tu ukisoma mabandiko ya humu ndani wazee wanakuambia hakuna mwanaume mwenye kuweza kukaa na mwanamke mmoja, na akitoka nje c bora ujue kama anatoka bac, na je ucpojua ukakaa ukajifariji kumbe magonjwa yanakunyemelea taratibu?....ishu kwangu sio kurudi ishu kwangu ni kwa hao warembo wanaokubali kuweka uzuri wao rehani na kutembea na waume za watu wakijua fika hawana future nao ila mwisho wa cku wanarudi kwa wanaowaita"wife"...nakemea hao wadada kwa nguvu zote nikiwaambia "ringieni uzuri/urembo wenu".....hawa wazee(Asprin) wacwadanye mwisho wa cku wanakimbilia kwa wife zao na adabu zote.
 
TF, hebu jaribu kupiga picha ya upande wa pili? Unaweza kumpokea kwa mabusu my wife wako akitoka kwenye infi?

DC BABU, Unless kama haujui kama unajua sidhani kama utamsubiria nyumbani lakini kama unakumbuka ile stori ya yule jamaa aliyemkamata mke wake wala hakufanya kitu chochote alikuwa positive kwa mke wake kwa kila jambo hatimaye wife ikabidi ale kona kwa kuwa alihisi labda jamaa iko siku atamuua
 
Unafikiri tunawaacha kuwapokea lazima na mabusu motomoto lakini hii sekta aisee huwa kushea inakuwa ngumu embu pata picha aah maumivu maumivu ushawahi fikiria finest hapa hamna ule msemo kushare ni kujaliana nahamu vingekuwa vinapungua saizi mngetulia tu

chauro mume wa ndoa ni mume wako tu wala usiwe na wasiwasi akirudi mpokee kwa mabusu na bashasha zote hata kama ametoka kwenye kazi za nje ingawa wewe haujui
 
Bado tupo kwenye topic ile ile au kuna issue mpya tunadiscuss.....:confused2:
 
hujanipata vizuri chauro....hakuna kitu nakipinga kama hiki, ni kwa vile tu ukisoma mabandiko ya humu ndani wazee wanakuambia hakuna mwanaume mwenye kuweza kukaa na mwanamke mmoja, na akitoka nje c bora ujue kama anatoka bac, na je ucpojua ukakaa ukajifariji kumbe magonjwa yanakunyemelea taratibu?....ishu kwangu sio kurudi ishu kwangu ni kwa hao warembo wanaokubali kuweka uzuri wao rehani na kutembea na waume za watu wakijua fika hawana future nao ila mwisho wa cku wanarudi kwa wanaowaita"wife"...nakemea hao wadada kwa nguvu zote nikiwaambia "ringieni uzuri/urembo wenu".....hawa wazee(asprin) wacwadanye mwisho wa cku wanakimbilia kwa wife zao na adabu zote.

huyu mzee sijui leo kalala
 
Back
Top Bottom