We acha tu wao ndo wakula matunda tunayopalilia sie wa kulinda miji na watoto wasiporomoke ili akinywa bia ishuke bila mawaa kazi tunayo
imepita hiyo......!WE ARE HAPPY TO ANNOUNCE A CHANGE ON OUR BELOVED CLUB NAME FROM INFIDILETORS SOCIAL CLUC (ISC) TO MPANGO MZIMA SOCIAL CLUB (MMSC)
However, this change will not in anyhow affect our dedicated team of leaders
Uhuru kwangu unamaanisha 'where we dare to talk openly' na sio 'where we dare to DO crazly'
mpango wa nje ni nini hasa?
hii inaitwa mwizi anajiibia mali zake
Smiles hebu tuletee tips za majarida zinasemaje 'on how to keep the flame burning for MPANGO MZIMA' ili MPANGO WA NJE uwe hauna dili
Kimey yeye alishagoma kurudi na mama mwenye nyumba shambani jioni wakiwa wameshikana mikono ilhali mchana kutwa wameshinda wakilipalilia
The "tips" are inside ur hearts...
What u feel inside there is what could keep the flame burning!
Zaidi ya hapo kama ni kujenga au kubomoa mnaamua wenyewe...
Kwa hiyo mmekonkludi yupi mtamu kati ya waifu na baadhi ya wasaidizi wake?
and for whatever that gives you smile, si ndio?
Na hawa mabinti wabishi, yaani kina Smiles wameshawaeleweni au?Mpango mzima a.k.a dawa mseto
Love, honesty, commitment....is all that could keep a smile on me!
Na hawa mabinti wabishi, yaani kina Smiles wameshawaeleweni au?
Kwa kiswahili unamaanisha?Are u pickin a fight with me....?
Kwa kiswahili unamaanisha?
Na hawa mabinti wabishi, yaani kina Smiles wameshawaeleweni au?
Afu wewe unajua unatishia safari yangu ya kwenda mbinguni?dah hii siledi inavyokimbia mwe kungekuwa hakuna stori za infi (oh no sorry wapendwa msijekwazika) ngoja nitumie tasfida yake mpango wa nje, MMU ingekufa walahi
Love, honesty, commitment....is all that could keep a smile on me!
Umeonae? tatizo wanabisha hawa viumbe. Afu kijana umewiva kwenye kusoma katikati ya mistari. Chagua mjukuu mmoja nikupe mafunzo ya kukagua....For free.Hivi babu watoto kuwa siri ya mama ni mpango mzima?