''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

We acha tu wao ndo wakula matunda tunayopalilia sie wa kulinda miji na watoto wasiporomoke ili akinywa bia ishuke bila mawaa kazi tunayo

Mother house palilia matunda mamaa ""my infii leo si tunatoka eeh"",
Mwambie akuandalie ile suruali ya..... na shati la.... na viatu vile.... nakadhalika.

(Daa umependeza my infii, na amejitahidi kunyoosha vizuri kwa kweli, twende zetu my infii)

Jamani tafadhali.
 
imepita hiyo......!
BILA KUPINGWA
 

The "tips" are inside ur hearts...
What u feel inside there is what could keep the flame burning!
Zaidi ya hapo kama ni kujenga au kubomoa mnaamua wenyewe...
 
Kwa hiyo mmekonkludi yupi mtamu kati ya waifu na baadhi ya wasaidizi wake?
 
The "tips" are inside ur hearts...
What u feel inside there is what could keep the flame burning!
Zaidi ya hapo kama ni kujenga au kubomoa mnaamua wenyewe...

and for whatever that gives you smile, si ndio?
 
dah hii siledi inavyokimbia mwe kungekuwa hakuna stori za infi (oh no sorry wapendwa msijekwazika) ngoja nitumie tasfida yake mpango wa nje, MMU ingekufa walahi
 
dah hii siledi inavyokimbia mwe kungekuwa hakuna stori za infi (oh no sorry wapendwa msijekwazika) ngoja nitumie tasfida yake mpango wa nje, MMU ingekufa walahi
Afu wewe unajua unatishia safari yangu ya kwenda mbinguni?
 
Hivi babu watoto kuwa siri ya mama ni mpango mzima?
Umeonae? tatizo wanabisha hawa viumbe. Afu kijana umewiva kwenye kusoma katikati ya mistari. Chagua mjukuu mmoja nikupe mafunzo ya kukagua....For free.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…