''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

Helo Wiselady, habari yako LOVE?? Umeonana na mtu mmoja anaitwa Asprin?

Niko hapa hommie. Ulikuwa unasema...?....Hakikisha hapa, ili ujue nimekutukuza kwa kujali maslahi yangu.


The Following 3 Users Say Thank You to Kaizer For This Useful Post:
Asprin(Today), GY (Today), Teamo (Today)
 
Tatizo si kujua bali wanajua kiasi ie. wana taarifa kiasi gani kuhusu tabia za waume zao wakware!



Hapo ndo shida kwani wanaume hutamani kufa wakifikiria hiyo kitu. Wanasahau kuwa mwosha huoshwa na...kula ili uliwe!!!

lakini mkuu,
mi naona huwa inapendeza sana ''mpango wa nje'' wa kike akiwa HANA NDOA
 
Tatizo ni kwamba huko nje mnakoenda kupunguza stress mnajiachia kwelikweli,maufundi yote ya kumwaga kuliko hata kwa father house wako orijino!!!!!!

Bacha hayo maufundi kwanini usimfanyie mkeo/mumeo????????????????
 
mwenyekiti hebu maliza ''utata'' huu....!

''MPANGO WA NJE'' vs ''MAMA MWENYE NYUMBA''


Hakuna utata wowote hapo kijana wangu,,......halafu ukisema "mama mwenye nyumba" mi napata picha ya wale wanaopangisha chumba kimoja kimoja, nyumba moja ina vyumba ishirini kisha umeme hakuna na maji ni ya kununua...
 
Hautoi stress wala nini, unamfanya mtu ku-postpone matatizo yake katika mahusiano. Ni kama vile kuvuta bangi au kubwia unga!
LAKIN WITH TIME you get healed.....!

maanake si mnasemaga TIME HEALS
 
tatizo si kujua bali wanajua kiasi ie. Wana taarifa kiasi gani kuhusu tabia za waume zao wakware!



Hapo ndo shida kwani wanaume hutamani kufa wakifikiria hiyo kitu. Wanasahau kuwa mwosha huoshwa na...kula ili uliwe!!!

dc kwamba mla naye huliwa
 
Hakuna utata wowote hapo kijana wangu,,......halafu ukisema "mama mwenye nyumba" mi napata picha ya wale wanaopangisha chumba kimoja kimoja, nyumba moja ina vyumba ishirini kisha umeme hakuna na maji ni ya kununua...
ha ha ha ha!
inaonekana hujasoma post ''mama'' hapo juu
 
Teamo uliniacha mbali sana kusema mama mwenye nyumba halafu hiyo mpango wa nje du ndo naisikia leo.
Nadhani muhimu ni kwa mwanaume kujua limits zake kati ya MMN na MWJ..vinginevyo anaemiliki kihalali anaenjoy mana hajifichi wala kuogopa kuonwa
 
lakini mkuu,
mi naona huwa inapendeza sana ''mpango wa nje'' wa kike akiwa HANA NDOA

Yaani unamanisha 'MPANGO MZIMA' wa mwenzio ndo uwe 'MPANGO WA NJE' wako?

Kwa hiyo unakuwa 'MPANGO MZIMA WA NJE' au?

Aisee sasa naanza kukubali, tukonstreti na dinomineta tu....
 
Niko hapa hommie. Ulikuwa unasema...?....Hakikisha hapa, ili ujue nimekutukuza kwa kujali maslahi yangu.


The Following 3 Users Say Thank You to Kaizer For This Useful Post:
Asprin(Today), GY (Today), Teamo (Today)


(Mpe risiti yake kabisa........)
 
Teamo uliniacha mbali sana kusema mama mwenye nyumba halafu hiyo mpango wa nje du ndo naisikia leo.
Nadhani muhimu ni kwa mwanaume kujua limits zake kati ya MMN na MWJ..vinginevyo anaemiliki kihalali anaenjoy mana hajifichi wala kuogopa kuonwa
haya bibi mkubwa........!
NADHAN TUNGEZIJADILI LIMITS
 
ha ha ha ha!
inaonekana hujasoma post ''mama'' hapo juu

Big Braza ODM keshamaliza kabisa kila kitu hapo.....sasa nikisema itakuwa repitition au hujasoma bandiko "mama" la mkuu ACID kuhusu reflection?
hapa imebaki story tu lini tunaandamana kudai chatroom irudishwe?
 
WAKUU,
HABARINI ZA MAJILIO?

naomba mawazo yenu katika muendelezo ule ule wa ''kuelezana ukweli unaohuzunisha''.....

ASSUMING KWAMBA SITUATION IMETOKEA HIVYO na baba mwenye nyumba ameamua kuwa na ''mpango wa kando'' kwa sababu zozote zile,mi nataka tupeane mawazo kwamba hivi ni nani anaeinjoi mapenzi zaidi ya mwenzake kati ya:

1)-MAMA MWENYE NYUMBA

-ambaye ndo mke wako wa ndoa
-ambaye ndo yuko responsible bega kwa bega na wewe katika kuikuza familia
-ambaye anavumilia kwa hali yoyote ile muda wowote ule utakao amua kurudi
-ambaye muda wote wa usiku wa giza anakuwa na mawazo kibao kwamba ''mume wangu amepatwa na nini''
-ni mke wako ''enewei'' na she is entitled to whatever is brought for the family
-ambaye utakata roho ukiwa mikononi mwake

2)-MPANGO WA NJE.
-she is entitled to kampani,route na vikao vyote vya pombe/movie etc
-anapewa nafasi ya kuagiza chochote anachotaka mkiwa baa
-anapewa nafasi ya kupelekwa shoping na kujiagizia chochote
-anakuwa na uhakika wa credits,means za tranzport (hata kumrash home kila siku sio ishu)
-anapewa nafasi adimu ya kuchat na wewe 24/7
-anapewa nafasi ya kudeka anavyotaka
-anapewa nafasi ya kunisindikiza arusha kuungana na pakajimi na kampani kubwa ya jf ya ARACHUGA


TUSAIDIANE HAPO MAWAZO,who is enjoying?
....and why?


Nimeipenda hiyo avatar yako inanitamanisha yani acha tu... natamani kupaa now:focus:
it depends na wapi baba mwenye nyumba anaspend muda wake mwingi... huko anapospend muda mwingi huko basi ujue anafaidi sana huyo anayepewa muda kibao mengine mi huwa hayajalishi sana.. time spent kwangu ndio constant factor
 
yaani unamanisha 'mpango mzima' wa mwenzio ndo uwe 'mpango wa nje' wako?

Kwa hiyo unakuwa 'mpango mzima wa nje' au?

Aisee sasa naanza kukubali, tukonstreti na dinomineta tu....

"mpango mzima wa nje ndani"
 
Teamo uliniacha mbali sana kusema mama mwenye nyumba halafu hiyo mpango wa nje du ndo naisikia leo.
Nadhani muhimu ni kwa mwanaume kujua limits zake kati ya MMN na MWJ..vinginevyo anaemiliki kihalali anaenjoy mana hajifichi wala kuogopa kuonwa

hii point sana tuu, Nimegonga senks
 
Back
Top Bottom