Mama mwenye Radio E FM amekuwa mtangazaji baada ya Maulid Kitenge kuondoka

Mama mwenye Radio E FM amekuwa mtangazaji baada ya Maulid Kitenge kuondoka

Ukihoji Lulu amepata wapi na lini Mafunzo ya Utangazaji na Uandishi wa Habari je, unaweza ukatuambia na akina Swebe, Mpoki na Dokii ambao wanafanya vyema katika Vipindi vyao na pia ni miongoni mwa Watu wanaoongoza Kulipwa vyema hapo Efm nao walipata wapi Mafunzo yao ya hiyo Fani Mkuu? Halafu kwani ukiwa Msanii ndiyo hufai kuwa Mtangazaji? Una Hoja mahala fulani ila tatizo lako umeshindwa kidogo Kuzipanga Kimtiririko wake japo kwa ' Observation ' yako kuwa kwa Lulu nae kuwa Mtendaji kama hakutakuwa na Uangalifu na Usimamizi kunaweza kukaharibu mambo hapo na hatimaye hiyo Redio ikaanza kupoteza mwelekeo wake na hatimaye Kupotea kama siyo Kufa kabisa Kiushindani nakuunga mkono kwa 100%.

Commandant, mambo yakoje,Maulid ni chuma cha kazi
 
Leo Kitenge kawa dhahabu. Huyu huyu aliyekandiwa eti hamfikii Muyenji wa Gamba (RIP) as if kwenda nje ndiyo kila kitu.

Maulid ni talented na innovative sana. Kama Wasafi wamevunja bank kuwa naye, hawatajutia uamuzi wao.

Junatatu nitakuwa nao much as I hate Mond.
 
Siku zote biashara ukitaka ife, basi weka undugu. Katika biashara ukitaka iendelee kusimama, wrka watu baki ambao wataogopa kufanya hujuma yoyote kwa ajili ya kulinda kazi yao. Naitabiria Efm kifo baada ya muda fulani. Hii ni kwa sababu, atakachotaka Elizabeth kipite hata kama ni cha kijinga kisicho na maslahi ndicho kitapita. Isitoshe huyu ni msanii, sasa mafunzo ya utanfazaji amepata lini?
Mpoki je
 
Ukihoji Lulu amepata wapi na lini Mafunzo ya Utangazaji na Uandishi wa Habari je, unaweza ukatuambia na akina Swebe, Mpoki na Dokii ambao wanafanya vyema katika Vipindi vyao na pia ni miongoni mwa Watu wanaoongoza Kulipwa vyema hapo Efm nao walipata wapi Mafunzo yao ya hiyo Fani Mkuu? Halafu kwani ukiwa Msanii ndiyo hufai kuwa Mtangazaji? Una Hoja mahala fulani ila tatizo lako umeshindwa kidogo Kuzipanga Kimtiririko wake japo kwa ' Observation ' yako kuwa kwa Lulu nae kuwa Mtendaji kama hakutakuwa na Uangalifu na Usimamizi kunaweza kukaharibu mambo hapo na hatimaye hiyo Redio ikaanza kupoteza mwelekeo wake na hatimaye Kupotea kama siyo Kufa kabisa Kiushindani nakuunga mkono kwa 100%.

Kwani hao ulowataja wanauhusiano wa kimapenzi wa moja kwa moja na wamiliki wa hizo redio?
 
Siku zote biashara ukitaka ife, basi weka undugu. Katika biashara ukitaka iendelee kusimama, wrka watu baki ambao wataogopa kufanya hujuma yoyote kwa ajili ya kulinda kazi yao. Naitabiria Efm kifo baada ya muda fulani. Hii ni kwa sababu, atakachotaka Elizabeth kipite hata kama ni cha kijinga kisicho na maslahi ndicho kitapita. Isitoshe huyu ni msanii, sasa mafunzo ya utanfazaji amepata lini?
Wahindi mbona wamejaa ndugu na biashara inatusua?
 
Nawashauri EFM kupitia dirisha dogo wamchukue kijana mmoja pale radio UHURU jina lake limenitoka kidogo, anatosha kuziba pengo la kitenge kwenye michezo tu.
Halafu huu usajili wa wasafi isijekuwa kama wa PJ kwenda EFM kutoka craussss, alikaa miezi kadhaa, mawingu wakapanda dau wakamchukua tena.
Pesa ina jeuri nyiee, safari hii tunaweza kuwa na mtangazaji ghali zaidi hapa tz.
 
Ataweza tuu ndo kujifunza huko huko mbona zembwela ameweza kwa sasa anakimbiza na sio zembwela tuu mbana mpoki nae ni mtangaji au kicheko wako wengi nikiwaelezea hapa simalizi leo.
Anatakiwa ajifunzie kwenye Vipindi vya Saa NNE hadi saa saba mchana huwa vinasikilizwa na watu wa uswahilini na beki tatus
 
Father house punguza stress, relax, usikimbize upepo kihisia ungali hujui mwanzo wake wala mwisho wake Bosi
Ataweza tuu ndo kujifunza huko huko mbona zembwela ameweza kwa sasa anakimbiza na sio zembwela tuu mbana mpoki nae ni mtangaji au kicheko wako wengi nikiwaelezea hapa simalizi leo.
 
Ukihoji Lulu amepata wapi na lini Mafunzo ya Utangazaji na Uandishi wa Habari je, unaweza ukatuambia na akina Swebe, Mpoki na Dokii ambao wanafanya vyema katika Vipindi vyao na pia ni miongoni mwa Watu wanaoongoza Kulipwa vyema hapo Efm nao walipata wapi Mafunzo yao ya hiyo Fani Mkuu? Halafu kwani ukiwa Msanii ndiyo hufai kuwa Mtangazaji? Una Hoja mahala fulani ila tatizo lako umeshindwa kidogo Kuzipanga Kimtiririko wake japo kwa ' Observation ' yako kuwa kwa Lulu nae kuwa Mtendaji kama hakutakuwa na Uangalifu na Usimamizi kunaweza kukaharibu mambo hapo na hatimaye hiyo Redio ikaanza kupoteza mwelekeo wake na hatimaye Kupotea kama siyo Kufa kabisa Kiushindani nakuunga mkono kwa 100%.
Hoja nzuri sana hii, tena huku kwetu matombo huwa twaiita "unang'ata huku unapuliza kama panya buku waaa..." [emoji125]
 
Back
Top Bottom