Murano
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,056
- 1,102
[emoji23][emoji23] we kweli viatu vya samakiEti niweke pumbu chini namsikiliza Lulu anidadavulia habari za michezo na mambo mengine.
Mimi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] we kweli viatu vya samakiEti niweke pumbu chini namsikiliza Lulu anidadavulia habari za michezo na mambo mengine.
Mimi!
Ukihoji Lulu amepata wapi na lini Mafunzo ya Utangazaji na Uandishi wa Habari je, unaweza ukatuambia na akina Swebe, Mpoki na Dokii ambao wanafanya vyema katika Vipindi vyao na pia ni miongoni mwa Watu wanaoongoza Kulipwa vyema hapo Efm nao walipata wapi Mafunzo yao ya hiyo Fani Mkuu? Halafu kwani ukiwa Msanii ndiyo hufai kuwa Mtangazaji? Una Hoja mahala fulani ila tatizo lako umeshindwa kidogo Kuzipanga Kimtiririko wake japo kwa ' Observation ' yako kuwa kwa Lulu nae kuwa Mtendaji kama hakutakuwa na Uangalifu na Usimamizi kunaweza kukaharibu mambo hapo na hatimaye hiyo Redio ikaanza kupoteza mwelekeo wake na hatimaye Kupotea kama siyo Kufa kabisa Kiushindani nakuunga mkono kwa 100%.
Mpoki jeSiku zote biashara ukitaka ife, basi weka undugu. Katika biashara ukitaka iendelee kusimama, wrka watu baki ambao wataogopa kufanya hujuma yoyote kwa ajili ya kulinda kazi yao. Naitabiria Efm kifo baada ya muda fulani. Hii ni kwa sababu, atakachotaka Elizabeth kipite hata kama ni cha kijinga kisicho na maslahi ndicho kitapita. Isitoshe huyu ni msanii, sasa mafunzo ya utanfazaji amepata lini?
Majizzo ajitafakari Kama mishahara midogo aongeze tunapenda redio yake sababu ya watangazaji makini na ana bahati Wasafi aijafika mikoani
Ukihoji Lulu amepata wapi na lini Mafunzo ya Utangazaji na Uandishi wa Habari je, unaweza ukatuambia na akina Swebe, Mpoki na Dokii ambao wanafanya vyema katika Vipindi vyao na pia ni miongoni mwa Watu wanaoongoza Kulipwa vyema hapo Efm nao walipata wapi Mafunzo yao ya hiyo Fani Mkuu? Halafu kwani ukiwa Msanii ndiyo hufai kuwa Mtangazaji? Una Hoja mahala fulani ila tatizo lako umeshindwa kidogo Kuzipanga Kimtiririko wake japo kwa ' Observation ' yako kuwa kwa Lulu nae kuwa Mtendaji kama hakutakuwa na Uangalifu na Usimamizi kunaweza kukaharibu mambo hapo na hatimaye hiyo Redio ikaanza kupoteza mwelekeo wake na hatimaye Kupotea kama siyo Kufa kabisa Kiushindani nakuunga mkono kwa 100%.
Wahindi mbona wamejaa ndugu na biashara inatusua?Siku zote biashara ukitaka ife, basi weka undugu. Katika biashara ukitaka iendelee kusimama, wrka watu baki ambao wataogopa kufanya hujuma yoyote kwa ajili ya kulinda kazi yao. Naitabiria Efm kifo baada ya muda fulani. Hii ni kwa sababu, atakachotaka Elizabeth kipite hata kama ni cha kijinga kisicho na maslahi ndicho kitapita. Isitoshe huyu ni msanii, sasa mafunzo ya utanfazaji amepata lini?
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Eti niweke pumbu chini namsikiliza Lulu anidadavulia habari za michezo na mambo mengine.
Mimi!
Anatakiwa ajifunzie kwenye Vipindi vya Saa NNE hadi saa saba mchana huwa vinasikilizwa na watu wa uswahilini na beki tatusAtaweza tuu ndo kujifunza huko huko mbona zembwela ameweza kwa sasa anakimbiza na sio zembwela tuu mbana mpoki nae ni mtangaji au kicheko wako wengi nikiwaelezea hapa simalizi leo.
Ataweza tuu ndo kujifunza huko huko mbona zembwela ameweza kwa sasa anakimbiza na sio zembwela tuu mbana mpoki nae ni mtangaji au kicheko wako wengi nikiwaelezea hapa simalizi leo.
Hoja nzuri sana hii, tena huku kwetu matombo huwa twaiita "unang'ata huku unapuliza kama panya buku waaa..." [emoji125]Ukihoji Lulu amepata wapi na lini Mafunzo ya Utangazaji na Uandishi wa Habari je, unaweza ukatuambia na akina Swebe, Mpoki na Dokii ambao wanafanya vyema katika Vipindi vyao na pia ni miongoni mwa Watu wanaoongoza Kulipwa vyema hapo Efm nao walipata wapi Mafunzo yao ya hiyo Fani Mkuu? Halafu kwani ukiwa Msanii ndiyo hufai kuwa Mtangazaji? Una Hoja mahala fulani ila tatizo lako umeshindwa kidogo Kuzipanga Kimtiririko wake japo kwa ' Observation ' yako kuwa kwa Lulu nae kuwa Mtendaji kama hakutakuwa na Uangalifu na Usimamizi kunaweza kukaharibu mambo hapo na hatimaye hiyo Redio ikaanza kupoteza mwelekeo wake na hatimaye Kupotea kama siyo Kufa kabisa Kiushindani nakuunga mkono kwa 100%.
Eti niweke pumbu chini namsikiliza Lulu anidadavulia habari za michezo na mambo mengine.
Mimi!