Na huyu kijana aliyemshika mama, ajiangalie. Wengine wamevaa barakoa ila wao hawakuamini kama Tuly amefariki kwa Corona eh?Chadema inatangaza msiba wa mama mzazi wa Tuly Nasa aliyekuwa kada wa Chadema ambaye kwa sasa ni marehemu aliyezikwa wiki iliyopita. Msiba umetokea leo alfajiri.
Wiki iliyopita mama huyo alikuwa mzima na alishiriki mazishi ya mwanaye huyo wa kike.
Picha mama mwenye nguo nyeupe (ambaye amefariki dunia mapema leo) akimuaga mwanaye marehemu Tuli Nasa.
View attachment 1707061
Mi wa kiumeunatoooombwa ww
We ndio Vicky Kamata nini?Mwaka huu wazee hatutoboi.......tutaacha wajane wengi sana.....maana sioni pa kutokea........
Liwalo na liwe maana hakuna namna......mpaka huu ugonjwa upite vijana watakuwa wameshatajirika na mirathi na wengine kuuwana kwa kugombea mirathi....maana imeshakuwa tete......
HatCorona siyo!!,Mama nae kaondoka kisa alimuuguza mwanae![emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 1707059View attachment 1707060
Halafu kiongozi Mkuu anasema hakuna Korona tusitishane. Kuna familia Mpwapwa bi mkubwa alienda kumtazama jirani mwenye Korona Kwa kuwa ni majirani alikuwa akienda mara Kwa mara, jirani kafariki, yeye kaupeleka nyumbani kafariki na binti yake kamfuata.Corona siyo!!,Mama nae kaondoka kisa alimuuguza mwanae![emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 1707059View attachment 1707060
Akutukanae hakuchagulii tusi.....Asante kijana.....uwe na wakati mwema.....We ndio Vicky Kamata nini?
Msongo was mawazo umemuondoaChadema inatangaza msiba wa mama mzazi wa Tuly Nasa aliyekuwa kada wa Chadema ambaye kwa sasa ni marehemu aliyezikwa wiki iliyopita. Msiba umetokea leo alfajiri.
Wiki iliyopita mama huyo alikuwa mzima na alishiriki mazishi ya mwanaye huyo wa kike.
Picha mama mwenye nguo nyeupe (ambaye amefariki dunia mapema leo) akimuaga mwanaye marehemu Tuli Nasa.
View attachment 1707061
Mkuu mbona kama kauli ya kukata tamaa...hapana tuendelee kupambana mpaka mwisho..Mwaka huu wazee hatutoboi.......tutaacha wajane wengi sana.....maana sioni pa kutokea........
Liwalo na liwe maana hakuna namna......mpaka huu ugonjwa upite vijana watakuwa wameshatajirika na mirathi na wengine kuuwana kwa kugombea mirathi....maana imeshakuwa tete......
Agharrrr.. Kumbe chademaCorona siyo!!,Mama nae kaondoka kisa alimuuguza mwanae![emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 1707059View attachment 1707060
Sasa nikitaka kufanya ufufuo je?Nakumbuka mwaka jana mwezi wa 12 kuna mzee mtaani kwetu alikufa ghafla tu
Mchungaji akatoa maelekezo hakuna kuangalia mwili wa marehemu kwenye jeneza
Ilitembezwa picha tu nadhani huu utaratibu ungetumika
Hiyo lazima ni corona. Hawakuchukua tahadhaliMama na huyo wa kiume hawana barakoa, siwezi kuthibitisha kam Corona ndio umewaondoa lakini ni vyema tuchukue tahadhari kujilinda.
Apumzike anapostahili.So sad!!
Fanya tu mkuuSasa nikitaka kufanya ufufuo je?
Mapambano ni makali mno....mkuu....na hakuna dalili ya ushindi zaidi ya muujiza wa Mungu.....Mkuu mbona kama kauli ya kukata tamaa...hapana tuendelee kupambana mpaka mwisho..
Usisikie kufiwa na mwana ama mzazi wewe.Mnisamehe wadau.
Kitu ninachokiona hapo kwenye picha ni dharau kwa wafiwa huyo mama na kijana, wenzake nyuma wamevaa barakoa na sidhani kama walisimama kwa muda hapo kwa marehemu ila yeye kwa sababu ni mwanae na ameguswa akaona mtoto hajafa kwa corona, na yeye mdo mzazi so aachwe aage kwa majonzi yote.
ILANI: Kwa sasa tuwe makini hata kama mgonjwa kafariki kwa ajali please picha itumike kuaga marehemu, halu siyo nzuri, tuchukue tahadhari zote na tuache mazoea ndg watanzania.
ndio, wapo hawa mawaziri wanaounga mkono Rais kutovaa barakoa. Corona ipo itawatia adabu tuMama na huyo wa kiume hawana barakoa, siwezi kuthibitisha kam Corona ndio umewaondoa lakini ni vyema tuchukue tahadhari kujilinda.
inahusiana vipi na kuvaa barakoa?kwamba utaonekana unanyanyapaa mwanaoUsisikie kufiwa na mwana ama mzazi wewe.
Ni rahisi kuchukulia Poa iwapo si wewe lakini.