Mama na Baba Mchungaji Walinitega

Mama na Baba Mchungaji Walinitega

Kutembea na mke WA MTU huwa ni jambo la makusudi thus ukikutwa ukiuliwa ni sawa
Kama umesoma vizuri, mchungaji nakewe walikubaliana jamaa ale mzigo kwa hiyo hapo hakuna kukutwa wala kuuawa. Hofu yake ni mke wake kujua basi.
 
Mshahara wa dhambi ni mauti hakunaga Siri idumuyo at the end huwa ni fedheha na majuto milele,wengi wanalia kwa kuzichezea ndoa zao.
Watoto wamepoteza muelekeo baada ya mama zao kuendekeza nyge za dakika tano
 
Mkuu kumbuka kutubu nayo ni Neema sio Kila mtu anaweza kuipata
True. Ndio maana anataka aache ili atubu. Tatizo ni vitisho ndio maana akaniomba ushauri na mimi nimeomba kwenu ili kupata mawazo productive.
 
Mpe mimba ili waridhike ila iwe kihalali ili wakisema uwafunge kisheria andikishaneni kwanini nyie mnamahusiano mbele ya mume wake . Watie sign
 
Ulishafungua mlango wa uzinzi ndani ya ndoa yako tegemea majibu wife wako nae akianza kucheat means wewe ndie ulifungulia mlango
 
Ushanaswa ungeomba ushauri kabla ya kumwaga,endelea nae uwe mtumwa wa ngono ili kulinda ndoa Yako.
 
Mpe mimba ili waridhike ila iwe kihalali ili wakisema uwafunge kisheria andikishaneni kwanini nyie mnamahusiano mbele ya mume wake . Watie sign
Mmmh hapa mke wa jamaa si atajua tu maana kumbuka mke wa mchungaji ameanza kumchukia mke wa N.
 
Aliyesema ikimbie zinaa hakukosea. Ona sasa namna shetani alivyokudaka vizuri. Yupo pembeni anakucheki maana hutaki ndoa ivunjike na pia uhusiano wako na Mungu umekufa. Tubu, Tubu,Tubu. Nenda Kwa Mungu Kwa toba kamili, muombe na njia ya kutatua. Hao wote ni maagenti. Haiwezekani Mchungaji amruhusu wake akaliwe nje. Je Imani yake Kwa Mungu wa Ibrahim ipo wapi?
 
Kwamba msela wako akamkunja "viwili" huyo ma'mchungaji sebuleni kwenye sofa hadi mabao yakawa yananuka [emoji1][emoji1][emoji1].

Kwamba cha pili ma mchungaji aka-moan mpaka nje wakawa kama wamesikia. Ba'mchunaji alisikia akavunga maana mission alikuwa anaijua yeye kazi yake ilikuwa kumzuga mke wa msela wako na watoto.

Dah ila hizi stori!!!.
 
Aliyesema ikimbie zinaa hakukosea. Ona sasa namna shetani alivyokudaka vizuri. Yupo pembeni anakucheki maana hutaki ndoa ivunjike na pia uhusiano wako na Mungu umekufa. Tubu, Tubu,Tubu. Nenda Kwa Mungu Kwa toba kamili, muombe na njia ya kutatua. Hao wote ni maagenti. Haiwezekani Mchungaji amruhusu wake akaliwe nje. Je Imani yake Kwa Mungu wa Ibrahim ipo wapi?
Jamaa ametambua hilo ndio maana anataka kutubu, ila akaomba nimshauri kabla ya kumuacha huyo mama na mimi nikaja hapa kutafuta mawazo mazuri ya kumsaidia.
 
Kwamba msela wako akamkunja "viwili" huyo ma'mchungaji sebuleni kwenye sofa hadi mabao yakawa yananuka [emoji1][emoji1][emoji1].

Kwamba cha pili ma mchungaji aka-moan mpaka nje wakawa kama wamesikia. Ba'mchunaji alisikia akavunga maana mission alikuwa anaijua yeye kazi yake ilikuwa kumzuga mke wa msela wako na watoto.

Dah ila hizi stori!!!.
Hakuna linaloshindikana chini ya jua.
 
Back
Top Bottom