Peter Mabala
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 1,216
- 1,680
Kiongozi inaonekana unaogopa. 1.6 M ni pesa nyingi ingawa tunatofautiana.Marian Girls si iko Bagamoyo?? Ni watu wa ajabu kabisa
Kama mnaogopa msiusubiri uamuzi wa waziri.
Hilo jambo lipo ndani ya uwezo wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app