katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa huu uandishi, ww ndiye mwenye shida
WallahKwa huu uandishi, ww ndiye mwenye shida
Kuna rafiki yangu ambaye ni jinsia ya kike, na katika kupiga story za wakwe akasema mama mkwe akija kuwasalimia huwa hakai zaidi ya siku mbili kwa sababu huwa anapiga kelele wakati wa tendo la ndoa mpaka mama mkwe anasikia na baada ya siku mbili anaaga. Hii inaitwa wanawake na vijimambo.Jamani kuolewa raha sana ila huyu mtu akianza maneno umekufa.
1.Jiko lake
2.Mume wako (mtoto ni wake) Leo amekuja mie nawatoto tunawaza kufunga vyumba vyetu nakuhamia kwa mama yangu abaki kwa mtoto wake mtu ni gubu.
Kerooo kama ulimzaa ukamtelekeza stendi au sokoni.
Maeno hayaishi hadi unatamani ukimbie.
Ila leo baba anarudi ijioni tunamwambia tunahama kisa mama ake.
Watoto wanawapeleka kwa mama yangu hata watoto wamemchoka.
Kama mama ako anahizi tabia ni mmbaya
Asante kwa ushauri ila swali huyo dada hana watoto ??Kuna rafiki yangu ambaye ni jinsia ya kike, na katika kupiga story za wakwe akasema mama mkwe akija kuwasalimia huwa hakai zaidi ya siku mbili kwa sababu huwa anapiga kelele wakati wa tendo la ndoa mpaka mama mkwe anasikia na baada ya siku mbili anaaga. Hii inaitwa wanawake na vijimambo.
Hata yeye anafikia muda wakumkimbia ndio maana tunaolewa .Tuwapende tu wazazi jamn huyo ni mzazi wa mume wako muheshim kaa nae mlee kama watoto wako jiulize angekuwa mzazi wako jee
Sasa ndio nahama nasubiri baba la baba aje nasepa na mwachia nyumba shish au nafanya kama nilivyoshauriwaKwangu afanye nini mama mkwe? Aje kusalimia na kuondoka, kama anataka kukaa na mwanae amchukue akakae nae kwake . Nataka nikae na mke wangu bila usumbufu. Ila mama yangu mzazi sina la kusema ni kumbembeleza kama mtoto.
Mkeo naye atambembeleza mama yake kama mtoto mdogo ila wakwako asalimie tu nakuondokaKwangu afanye nini mama mkwe? Aje kusalimia na kuondoka, kama anataka kukaa na mwanae amchukue akakae nae kwake . Nataka nikae na mke wangu bila usumbufu. Ila mama yangu mzazi sina la kusema ni kumbembeleza kama mtoto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna rafiki yangu ambaye ni jinsia ya kike, na katika kupiga story za wakwe akasema mama mkwe akija kuwasalimia huwa hakai zaidi ya siku mbili kwa sababu huwa anapiga kelele wakati wa tendo la ndoa mpaka mama mkwe anasikia na baada ya siku mbili anaaga. Hii inaitwa wanawake na vijimambo.
Kwa kweli sikumuuliza hilo swali.Asante kwa ushauri ila swali huyo dada hana watoto ??
Shusha kidogo hasira mpendwa, kuwa na subra, utasikia nilimzaa Mimi ndiyo akaja kwako[emoji23] mama mkweee! Embu fanya kama humuoni vile!Sasa ndio nahama nasubiri baba la baba aje nasepa na mwachia nyumba shish au nafanya kama nilivyoshauriwa
Kuna rafiki yangu ambaye ni jinsia ya kike, na katika kupiga story za wakwe akasema mama mkwe akija kuwasalimia huwa hakai zaidi ya siku mbili kwa sababu huwa anapiga kelele wakati wa tendo la ndoa mpaka mama mkwe anasikia na baada ya siku mbili anaaga. Hii inaitwa wanawake na vijimambo.
Sawa nitakupa mrejesho kama nimemuwezaKwa kweli sikumuuliza hilo swali.
Inawezekana alikuwa anawatuma watoto duka la mbali kabla ya kutekeleza azimio la lake.