kwani sio bibi yao?Ukifua nguo anasema sabuni hiyo sio nzuri kwa mwanaye nisiitumie tena.
Nasijui kung'arisha nguo za mwanae.
Hata chakula sijui kupika ukimwambia mnapigana analia eti anaonewa hali chakula kikipikwa hadi apike yeye.
Anatesa watoto wangu hutasema ni bibi yao yaani anawapelekesha na niwadogo.
Anapiga wafanyakazi na pia anawatishia kwa maneno makali.
Sijui chakufanya .
Nipo njia panda kiufupi ni mkorofi nimechoka angekuwa mama yangu ningemwambia siyo mama yangu simwambii na hama na naacha wafanyakazi .
Mkalie kimya, usijibizane na mama mkwe wako, maudhi yake ni ya muda tu atarudi kwake, akikwambia hujui kupika mwambie mama nifundishe, akikwambia sabuni sio nzuri mwambie akuchagulie sabuni nzuri, na akikwambia hujui kufua mwambie nataka kujifunza kutoka kwako, kudeal nae ni rahisi huna sababu ya kukimbia nyumba yako, nishushe tu fanya kama yeye ndo anajua kila kitu akufundishe, muda ukifika atarudi kwake utaendelea na maisha yakoUkifua nguo anasema sabuni hiyo sio nzuri kwa mwanaye nisiitumie tena.
Nasijui kung'arisha nguo za mwanae.
Hata chakula sijui kupika ukimwambia mnapigana analia eti anaonewa hali chakula kikipikwa hadi apike yeye.
Anatesa watoto wangu hutasema ni bibi yao yaani anawapelekesha na niwadogo.
Anapiga wafanyakazi na pia anawatishia kwa maneno makali.
Sijui chakufanya .
Nipo njia panda kiufupi ni mkorofi nimechoka angekuwa mama yangu ningemwambia siyo mama yangu simwambii na hama na naacha wafanyakazi .
Ungeanza na maelezo haya kwenye uzi wako ungeeleweka zaidi kuliko ulichoandika mwanzo ambapo unaonekana unamatatizo weweUkifua nguo anasema sabuni hiyo sio nzuri kwa mwanaye nisiitumie tena.
Nasijui kung'arisha nguo za mwanae.
Hata chakula sijui kupika ukimwambia mnapigana analia eti anaonewa hali chakula kikipikwa hadi apike yeye.
Anatesa watoto wangu hutasema ni bibi yao yaani anawapelekesha na niwadogo.
Anapiga wafanyakazi na pia anawatishia kwa maneno makali.
Sijui chakufanya .
Nipo njia panda kiufupi ni mkorofi nimechoka angekuwa mama yangu ningemwambia siyo mama yangu simwambii na hama na naacha wafanyakazi .
KabisaaKatika vitu I am proud of ni uamuzi wa kumchukulia Mamangu Mkwe kuwa ni Mama yangu.
Na sijawahi kujutia. Why? Because Mama Yangu Mzazi hajakamilika, Ana madhaifu yake mengi tu kama mimi na Mama Yangu.
Why nitarajie Mama wa mwenzangu awe kamilika wakati mie na Mama Yangu hatujakamilika.
So namchukulia kama an ordinary human being. Nampa heshima yake kama Mzazi wangu.
Mie niomba hivyo hivyo nimewakuta wote mpaka baba uwiii Mungu anajuaMimi nilikua natamani niolewe nikutane na mama mkwe na mawifi wenye midomo. Lakini sina mama mkwe alishatangulia hao mawifi hata muda wa kuja majumbani kwa kaka zao hawana. Wako busy na ndoa zao.
Sikia mke huonekana kuwa anafaidi matunda ambayo hajui yafika vipi pale na ndiyo maugomvi huanzia hapoFikiria mtoa mada ndio mkeo na anayesemwa ni mama yako mwenye tabia tajwa... utafanya nini maana shida huwa ni kwa mama wa wanaume
Sina cha kuongezea amemalizaMkalie kimya, usijibizane na mama mkwe wako, maudhi yake ni ya muda tu atarudi kwake, akikwambia hujui kupika mwambie mama nifundishe, akikwambia sabuni sio nzuri mwambie akuchagulie sabuni nzuri, na akikwambia hujui kufua mwambie nataka kujifunza kutoka kwako, kudeal nae ni rahisi huna sababu ya kukimbia nyumba yako, nishushe tu fanya kama yeye ndo anajua kila kitu akufundishe, muda ukifika atarudi kwake utaendelea na maisha yako
Huwezi kubadilisha kitu, ndio mama wa mumeo huyo
Kwanini nayeye asikae na baba huko? Au atafute hata bamdogo au anko awe anapitiwa kausingizi kaasubuhi?
Lakini sio sababu yakusumbua watoto na kuwa chanzo chakuwesha amani ya ndoa ya watoto wake kama bado ana nguvu si anakaa kwake anapewa mahitaji yote? Kuna kijana alilalamika kwa mchungaji mama anataka kupewa sawa kwa aina hiyo hiyo kitu alicholetewa mkamwana wake, sasa kijana anakwazika kwanini iwe hivyo utazani ninawake wawili?Niliulizaga hilo swali baadae nkajua 1. Baba alikua na kisukari then shortly after mzee akavuta (RIP) things got worse after that
Ni kweli yaani hajatambua kuwa wewe ni mama pia hayo maneno yanakera wanao.Lakini sio sababu yakusumbua watoto na kuwa chanzo chakuwesha amani ya ndoa ya watoto wake kama bado ana nguvu si anakaa kwake anapewa mahitaji yote? Kuna kijana alilalamika kwa mchungaji mama anataka kupewa sawa kwa aina hiyo hiyo kitu alicholetewa mkamwana wake, sasa kijana anakwazika kwanini iwe hivyo utazani ninawake wawili?
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hivyo ni mama tu anatuumiza kichwa mawifi kidogo wao wako tight na lifeMimi nilikua natamani niolewe nikutane na mama mkwe na mawifi wenye midomo. Lakini sina mama mkwe alishatangulia hao mawifi hata muda wa kuja majumbani kwa kaka zao hawana. Wako busy na ndoa zao.
Atafika baada ya saa mbili nanusu akifika tu huu usiku tunasepa akae mwenyewe hapo sibadilikiWee tena ukute ni mkwe wa kitanga, Pole sana, kwa kweli sijui shida ipo wapi kwa hawa wakwe zetu wa kike, wakati mwingine unajishusha down to earth lakini haoni jema lako hata moja, muda wote yeye anakukosoa na kukusema, unakaa kimya unamvumilia tu kwa sababu mwisho wa siku atarudi kwake
Ila kuna wengine hawawezi kuvumilia kabisa, mimi katika watu ambao huwa hawanipi tabu ni mama mkwe, hata nikimkuta amenuna au ananisema huwa natabasamu namuuliza mama nikiletee supu? Au namletea glass ya maziwa halafu namuuliza nini kimekukwaza mama
Wakati mwingine nikimsikia ananisema namletea doti ya kitenge namwambia leo nimekununulia zawadi, mwisho wa siku akaacha kabisa akawa anaona aibu maana niliamua kudeal nae kidiplomasia, akawa sasa anawasumbua madada wa kazi na watoto,nikipanga ratiba anapangua anapanga yake
Halafu hata mtoto wake asikie mama ananisema, akikasirika akitaka kugombana na mama mimi huwa nasimama upande wa mama, namwambia afterall she is a mother na wala huwa simruhusu aingilie makwazo au kero anazosababisha mama hata kwa wadada wa kazi au kwa watoto, maana huwa naona ni mambo ya kupita tu, imefika mahali wake wa mashemeji zangu wote wamemsusia mama, na mama hathubutu kwenda kwao maana akifika wanafungasha wanasepa mpaka mama aondoke, ile mimi walaaaa, hata mama akigombana na mzee huko nyumbani au akikwazika anakimbilia kwangu kupunguza mawazo na wala huwa hanipi shida, naenda nae tu hivyohivyo ingawa wakati mwingine nakwazika naumia na maneno yake, hana shukrani saingine mlalamishi tu anacholalamika hakina maana
Siku moja nimeenda kazini nimemwachia dada maagizo, mama akainhia jikoni kachemsha mihogo na maharage akawalisha watoto, anasema ati tinawapa watoto maisha ya anasa, nimerudi watoto wana njaa namuuliza dada watoto hawajala akanisimulia wala sikukasirika, nikaingia nikawapikia watoto
Jama hupendinkero za mkwe wako, jitahidi usije kuwa mkwe wa namna hiyo huko mbelenu, watoto wako wataoa/olewa, jiulize wewe utakua mkwe wa namna gani, usiruhusu watoto wa wenzio wasononeke kwa sababu yako, kupitia wakwe zetu, tupate somo.
Sasa hao mawifi ndiyo wakukusadiaHivyo ni mama tu anatuumiza kichwa mawifi kidogo wao wako tight na life
Haaaaa kwanini usikae na mwenzio mkapanga mfanye nini? Usifanye hivyo kwani mwanaye huwa anasemaje !Atafika baada ya saa mbili nanusu akifika tu huu usiku tunasepa akae mwenyewe hapo sibadiliki
Hahaha una umri gani dear, that is too childish, usiondoke kwako kwa sababu ya mama mzaa mume wako, you need to sort it kabla hata mumeo hajafika,Atafika baada ya saa mbili nanusu akifika tu huu usiku tunasepa akae mwenyewe hapo sibadiliki
Mume wako yeye anasemaje kuhusu tabia za mama? Na kama mmeshajua tabia zake hazivumiliki kwa nini mnampa nafasi ya kukaa kwenu muda mrefu?Hivyo ni mama tu anatuumiza kichwa mawifi kidogo wao wako tight na life
Ona sasa unavyoandika kwa kutumia IQ kubwa. Ndio maana ninasemaga siku zote unafaa kuwa mke wangu.Wee tena ukute ni mkwe wa kitanga, Pole sana, kwa kweli sijui shida ipo wapi kwa hawa wakwe zetu wa kike, wakati mwingine unajishusha down to earth lakini haoni jema lako hata moja, muda wote yeye anakukosoa na kukusema, unakaa kimya unamvumilia tu kwa sababu mwisho wa siku atarudi kwake
Ila kuna wengine hawawezi kuvumilia kabisa, mimi katika watu ambao huwa hawanipi tabu ni mama mkwe, hata nikimkuta amenuna au ananisema huwa natabasamu namuuliza mama nikiletee supu? Au namletea glass ya maziwa halafu namuuliza nini kimekukwaza mama
Wakati mwingine nikimsikia ananisema namletea doti ya kitenge namwambia leo nimekununulia zawadi, mwisho wa siku akaacha kabisa akawa anaona aibu maana niliamua kudeal nae kidiplomasia, akawa sasa anawasumbua madada wa kazi na watoto,nikipanga ratiba anapangua anapanga yake
Halafu hata mtoto wake asikie mama ananisema, akikasirika akitaka kugombana na mama mimi huwa nasimama upande wa mama, namwambia afterall she is a mother na wala huwa simruhusu aingilie makwazo au kero anazosababisha mama hata kwa wadada wa kazi au kwa watoto, maana huwa naona ni mambo ya kupita tu, imefika mahali wake wa mashemeji zangu wote wamemsusia mama, na mama hathubutu kwenda kwao maana akifika wanafungasha wanasepa mpaka mama aondoke, ile mimi walaaaa, hata mama akigombana na mzee huko nyumbani au akikwazika anakimbilia kwangu kupunguza mawazo na wala huwa hanipi shida, naenda nae tu hivyohivyo ingawa wakati mwingine nakwazika naumia na maneno yake, hana shukrani saingine mlalamishi tu anacholalamika hakina maana
Siku moja nimeenda kazini nimemwachia dada maagizo, mama akainhia jikoni kachemsha mihogo na maharage akawalisha watoto, anasema ati tinawapa watoto maisha ya anasa, nimerudi watoto wana njaa namuuliza dada watoto hawajala akanisimulia wala sikukasirika, nikaingia nikawapikia watoto
Jama hupendinkero za mkwe wako, jitahidi usije kuwa mkwe wa namna hiyo huko mbelenu, watoto wako wataoa/olewa, jiulize wewe utakua mkwe wa namna gani, usiruhusu watoto wa wenzio wasononeke kwa sababu yako, kupitia wakwe zetu, tupate somo.
Wamemkanya mpaka wameenda kwao