mwandiga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,506
- 664
Sasa jamani njaa imekuwa mbaya hivyo. Au ndio usanii huu.Wasanii wa filamu za Kibongo, leo wameitisha mkutano na waandishi wa habari ambapo wamekanusha kuidai CCM huku wakisema kwamba wote walilipwa.