watu kama hao ndio wanaosababisha watumishi wa ukweli nao wadhaniwe kuwa ni fake.
yaani umeongea vizuri ndugu yangu ni kweli kabisa matendo ya baadhi ya watumishi yanarudisha nyuma kanisa,yanafanya watumishi wote waonekane fake,mungu tusaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu kama hao ndio wanaosababisha watumishi wa ukweli nao wadhaniwe kuwa ni fake.
Zipo taarifa kuwa Mch
Jean Felix Bamana (DRC) (45) amekamatwa kwa Kwa jarida BNG/RB/862/2013
na IR682 ya tarehe 21 Feb,2013 kosa likiwa kumutoroshwa Mwanafunzi wa
St. Mary Goreth ambaye ni mtoto wa Swai na kufanya naye Zinaa kwenye
hotel ya GRAND Magomeni DSM huku bill zote zikilipwa na Mama Rwakatare
Mbunge Viti Maalum CCM.
Kukamatwa kwa Mch Jean kumetokea baada ya kupata sms za mapenzi
alizotuma Jean kwenda kwa mtoto huyo na kukutwa na baba yake Mzazi.
Polisi walipofuatilia simu ya Mch Jean wakakuta kuna mawasiliano ya Siri
na Mama Rwakatare wa Mikocheni B na Ushahidi huo ukatoa Mwanya wa
Kwenda Kanisani kwa mama Rwakatare ambapo alipohojiwa alikubali
kumufahamu Mch Jean na kwamba ni mgeni wake Maalumu na mhubiri wa
Kimataifa.
Hata hivyo imebainika kuwa Mch Jean amekuwa anafundisha semina ya
Ndoa na masomo ya Kichungaji kanisani Kwa mama Rwakatare.
Wafanyakazi wa Hotel ya Grand wamebainisha kuwa bill ya Mch Jean imekuwa
inalipwa na mama Rwakatare kwa mda wote huo sambamba na watoto wengine
wa Tz na Wakongo ambao wapo hapo wakisubili safari ya kwenda nje ambayo
inasukwa na Mch Jean na mama Rwakatare!!
Polisi walipo fika kanisani Mama Rwakatare ndiye alikwenda kumuchukua
mwanafunzi aliyetorshwa na kumuleta kanisani huku akiwasihi polisi
wayamalize matatizo hayo kifamilia.
Pia haikuweza kufahamika ni kwa nini Mama Rwakatare hakutaka Mgeni wake
huyo alale kwenye Jumba lake na badala yake anampeleka huko
NB.
Mwaka 2004 Mch Shansi kutoka DRC alikamatwa na kupigwa PI na serikali
baada ya kujificha kanisani kwa Mama Rwakatare huku akijihusisha na
Ujambazi na madawa ya kulevya hadi leo hakuna aliyejifunza.
Lipo sakata la Bi Maimuna ambalo nitaeleza baadaye ila kwa mara ya
kwanza naunga mkono kauli ya Rais Kikwete kuwa wapo Viongozi wa Dini
ambao wanajihusisha na madawa ya Kulevya.
Shetani yuko kazini, Kumbuka hata watumishi wa Mungu ni wanaadamu. We need to pray for them constantly that God may deliver them from the attack of the enemy. Biblia yasema Mungu anajua walio wake na kila alitajae Jina la Bwana na aache uovu.
Yanaongewa mengi sana kuhusu rwakatare, kuhusu huduma yake, kuhusu kuwa muuza unga, na pia umalaya. kuhusu huduma ni kweli anakiuka misingi ya biblia, lakini hayo mengine mawili yanahitaji ushahidi wa uhakika ndipo tuyaongee. Je kuna mtu mwenye ushahidi kuhusu rwakatare kuuza unga atuwekee? kuhusu kupenda dogodogo je? Ninadhani tukishajiridhisha na haya tuna haki ya kuongea kwa ujasiri wote
saw wa makcahh! naye antolewaga pepo nanani vile?Hivi pepo la Mchungaji linatolewa na nani ?
Huyo kapiga anakashfa ya ushoga toka kitambo ss wasitutanie kutwambia ni mchungaji huo uchangaji kautoa wap?
Mama Kokuu! Sitetei Kapiga,
lakini ningeshauri kuwa wale wanaomtuhumu kuwa shoga wasemi lini
walisikia ni shoga. Mimi nijuavyo YESU hubadilisha makahaba hata mashoga
kuwa waumini wazuri. Husamehe wauaji na wanyang'anyi kuwa wema! Yumkini
wale wamjuao Kapiga ni wale wa matukio ya zamani. Biblia
inasema,...Tazama mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa KIUMBE KIPYA. Ya
kale yamepita, tazama yamekuwa mapya. Kwa hiyo si ajabu huyo wa Clouds
ni Kiumbe kipya na Kristo peke yake anaweza kumhukumu. Nani anafahamu
kuwa Kapiga alishatubu na kusamehewa dhambi, isipokuwa Kristo mwenyewe?
Ni nani anafahamu toba ya kweli ya Kapiga kwa Yesu Kristo? Simtetei kama
anafanya uovu huo, lakini nachelea kumnyoshee mtu kidole wakati
hufahamu mahusiano yake na Muumba wake!
Mama Kokuu! Sitetei Kapiga, lakini ningeshauri kuwa wale wanaomtuhumu kuwa shoga wasemi lini walisikia ni shoga. Mimi nijuavyo YESU hubadilisha makahaba hata mashoga kuwa waumini wazuri. Husamehe wauaji na wanyang'anyi kuwa wema! Yumkini wale wamjuao Kapiga ni wale wa matukio ya zamani. Biblia inasema,...Tazama mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa KIUMBE KIPYA. Ya kale yamepita, tazama yamekuwa mapya. Kwa hiyo si ajabu huyo wa Clouds ni Kiumbe kipya na Kristo peke yake anaweza kumhukumu. Nani anafahamu kuwa Kapiga alishatubu na kusamehewa dhambi, isipokuwa Kristo mwenyewe? Ni nani anafahamu toba ya kweli ya Kapiga kwa Yesu Kristo? Simtetei kama anafanya uovu huo, lakini nachelea kumnyoshee mtu kidole wakati hufahamu mahusiano yake na Muumba wake![/QUOT
Umeongea point tupu.