Mama Rwakatare anahaha kumuokoa Mch. Jean aliyekamatwa kwa Ubakaji!!!

Mama Rwakatare anahaha kumuokoa Mch. Jean aliyekamatwa kwa Ubakaji!!!

Hakuna binadamu ambae anauwezo wa kuwa na mamlaka ya mungu hapa duniani, ni uongo mtupu. Hakuna mchungaji asiye tenda zambi sasa sijui huwa anaungama kwa nani. Nakama yeye mwenyewe anadhambi anawezaje kuwasamehe watu zambi eti ...,
wote kuni za jahanamah!
 
yaaan huyu bibi huwa anamajanga sana na waumini wa kanisa lake sidhani kama kuna maskini
 
Inatishaaa.Kama tulijua sehemu salama ni kanisani sasa tufanyeje?Kwanini huyu mama alitaka wayamalize kifamilia wkt ni maswala ya jinai?Aliogopa siri itafichuka.Ni wkt wa kufunga na kuomba maana bila hivyo hatutawajua wachungaji wa kweli na wauongo.Tunamshukuru Mungu ameeanza kuweka peupe.Huyi mama alipopata ubunge nilipata shaka kama ataweza siasa na kumtumikia Mungu?Huwezi kutumikia mabwana wawili na ukawamudu wote,ni lzm mmoja atachukua nafasi kubwa na ndio tunayoyaona sasa.Ni vema ndugu zangu tukawa makini na hawa watumishi wapo wa kweli na waungo tusivutwe na matangazo badala yake tumruhusu roho mt atushauri.Siku hizi kumekuwa na watumishi wa mazingaombwe na watu kwa kukosa maarifa wanaangamizwa.Mungu utusaidie
 
jamani, huyu mchungaji sio wa Mikocheni B. bali ni Freelance Evangelist

facebook page yake ni http://www.facebook.com/bamana.jeanfelix?fref=ts

hebu acheni kumuongelea vibaya mama wa watu, sio kila jambo mnalichukulia juu juu.. amehubiri makanisa mengi TANZANIA na AFRIKA kwa ujumla.

we report you soul who ever started the thread.

Jesus told us not to fear other human opponents (Lk. 12:4-5).

When we try to please others, when we fear what others may say or do to us, we place ourselves in a position of great vulnerability.

Our lives no longer remain our own. We become captive to what others think, want, or threaten.

We are only to trust the LORD and reverence him. In God is our safety, both now, and forevermore.

Muache ametafuta kwa jasho lake... mbona mazuri yake hamuyaoni???? ana saidia watu wangapi??? msiharibu bure jina la mama mchungaji.

 
Tukibaki sceptists wenye kudhani wana GPA kubwa wanatuona mabahau! Yako wapi sasa!
 
Mimi najiombea mwenyewe mambo ya Udalali wa Imani sitaki, maisha yenyewe haya
 
jamani hamjui kuwa siku za mwisho kutakuwepo na manabii wa uongo, wenye kupenda pesa na kujisifu na kiburi, ambao katika hao wamo wajiingizao kwa siri ili kuharibu kanisa la Mungu na kuwauwa kiroho kondoo wa Bwana?

Hamjui kuwa ndo siku zimekaribia za mpinga kristo kutawala dunia hii yote muonayo ni dalili tosha ya mambo yanayokuja.

Wewe uliona wapi kwa mtanzania wa kawaida hasa mchungaji kumiliki jumba la kifahari namna ile itadhani ikulu ya marekani, uliona wapi kumiliki shule na vitu vikubwavikubwa lukuki kiasi kile ambacho inatubidi tushangae na kubaki midomo wazi kama sio kujifunika na shuka la dini kumbe kuna siri nzito humo? Mungu ameamua kufichua na kuandika moja baada ya jingine ipo siku mtamjua mtumishi wa kweli na yule asiye wa kweli yaani MNUFAISHAJI BINAFSI
 
Back
Top Bottom