Uchaguzi 2020 Mama Salma Kikwete akiwa Rais ajaye sitashangaa

Uchaguzi 2020 Mama Salma Kikwete akiwa Rais ajaye sitashangaa

Hapo kweli ntakubaliana na Trump mara infinite kuwa Africa na hasa TZ ni "shitholes"...
 
Urais sio kutema mema kama ya mama Salma pekee, hii ni nafasi nyeti sana isiyohitaji majaribio au kuangalia mafanikio machache

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora ya salma kuliko dr chuma kwenye reasoning
Kwenye kipengele cha reasoning anakaa yeyote ila ishu ya uongozi hususani katika sekta nyeti kama raisi haifai kukaliwa na mwanamke

Wanaume wote tuliopo humu nchini tunaanzaje kumruhusu shemeji aongoze nchi?

Mimi hata awe mama yangu simpi kura


It's Scars
 
Mkuu sasa unazungumzisje na dini smbszo zinskataza mwanamke asiwe kiongozi wa wanaume?

Je dini zilikuwa sshihi kws muono wako kukstaza hivi au ilifanya ubaguzi..?
Kwenye kipengele cha reasoning anakaa yeyote ila ishu ya uongozi hususani katika sekta nyeti kama raisi haifai kukaliwa na mwanamke

Wanaume wote tuliopo humu nchini tunaanzaje kumruhusu shemeji aongoze nchi?

Mimi hata awe mama yangu simpi kura


It's Scars

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sasa unazungumzisje na dini smbszo zinskataza mwanamke asiwe kiongozi wa wanaume?

Je dini zilikuwa sshihi kws muono wako kukstaza hivi au ilifanya ubaguzi..?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipengele hicho hizo dini zimepatia nawapa pongezi kwa hilo maana hai-make sense wanaume wapo halafu unaongozwa na mwanamke

Na wewe una maoni gani kwa dini ambazo zinapalilia swala la mtoto wa miaka tisa kuolewa na jibaba wa miaka hamsini kua ni jambo halali?


It's Scars
 
yangu naona kuwa ni jambo halina tatizo kama ambavyo hakuna tatizo kwa mzee wa miaka 70 kumuoa binti wa miaka 18 range ya miaka 52,na yule mzee wa miaka 50 kumuoa binti wa miaka 9 range ni miaka 41.


Kipengele hicho hizo dini zimepatia nawapa pongezi kwa hilo maana hai-make sense wanaume wapo halafu unaongozwa na mwanamke

Na wewe una maoni gani kwa dini ambazo zinapalilia swala la mtoto wa miaka tisa kuolewa na jibaba wa miaka hamsini kua ni jambo halali?


It's Scars

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yangu naona kuwa ni jambo halina tatizo kama ambavyo hakuna tatizo kwa mzee wa miaka 70 kumuoa binti wa miaka 18 range ya miaka 52,na yule mzee wa miaka 50 kumuoa binti wa miaka 9 range ni miaka 41.




Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa

Dini ingesema jambo hilo ni baya ungetumia vigezo hivyo kukanusha kua sio baya au ungekubalia nayo kua ni baya?

It's Scars
 
Naona unafurahi mkuu hhhhhh.

Watu wanatakiwa wajue kuwa kufuata dini sawa sawa ni kufanya zuri na ukalisema zuri kwa sababu dini imesema zuri ,na kuacha baya na kusema ni baya kwa sababu dini imesema baya.

Ndiyo maana nikasema laiti dini ingeniruhusu kumuoa mwanaume mwenzangu na ingesema ni jambo zuri basi ningeoa mwanaume mwenzangu au kuolewa pia.lakini nalichukia jambo hilo kwa sababu ya dini tu.

Dini ingeniruhusu kula nguruwe ningekula vizuri,ila sili kwa sababu dini imesema nisile.

Kwa sababu kama unaacha jambo kwa sababu unaliona baya na sio kwa sababu ya dini imesema baya na hapo hapo unasema wewe ni muumini wa dini hiyo basi hapo wewe hufuati dini bali unajifuata mwenyewe,na hapo hakuna mantiki ya kujiita muumini.
Hahahaaa

Dini ingesema jambo hilo ni baya ungetumia vigezo hivyo kukanusha kua sio baya au ungekubalia nayo kua ni baya?

It's Scars

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona unafurahi mkuu hhhhhh.

Watu wanatakiwa wajue kuwa kufuata dini sawa sawa ni kufanya zuri na ukalisema zuri kwa sababu dini imesema zuri ,na kuacha baya na kusema ni baya kwa sababu dini imesema baya.

Ndiyo maana nikasema laiti dini ingeniruhusu kumuoa mwanaume mwenzangu na ingesema ni jambo zuri basi ningeoa mwanaume mwenzangu au kuolewa pia.lakini nalichukia jambo hilo kwa sababu ya dini tu.

Dini ingeniruhusu kula nguruwe ningekula vizuri,ila sili kwa sababu dini imesema nisile.

Kwa sababu kama unaacha jambo kwa sababu unaliona baya na sio kwa sababu ya dini imesema baya na hapo hapo unasema wewe ni muumini wa dini hiyo basi hapo wewe hufuati dini bali unajifuata mwenyewe,na hapo hakuna mantiki ya kujiita muumini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahaaa aisee hii noma

Basi tuishie hapa tusiharibu mjadala wa watu

It's Scars
 
Bata linarudi
Una wivu??ndio maana Marekani wanachaguaga baba na mtoto kuwa marais maana wanajua wizi unapungua na ni rais watu kupata elimu ya Urais
Mfano G W Bush atakuwa alipata msaada mkubwa wa mambo kwa babake ambae alisha wahi kuwa Rais

Uingereza
Wanamalkia yani familia moja inaongoza nchi miaka yote hii inapunguza gharama na watu kuja kwenye cheo kikubwa kama cha urais kujaribu uongozi

Sasa hapa kwetu masikini lakini tunalikataa hilo asikwambie mtu kunagharama kubwa sana kutengeneza Rais mpya na si chini ya miaka 3 ya madarakani ndio mtu anajua na kuzoea...

Angeshinda Hillary isingesumbua sana kwa kuwa Bill yupo nyuma anajua itifaki zote sasa umeona kinachotokea kwa Trump

Hapa naelewa kwann nchi zingine zinamfumo wa ufalme na usultan

Angalia Oman no gharama za uchaguzi wala masiasa.
Kafa mtu anapanda mtu usiku huo huo..

Kwa kuwa serikali inaendeshwa kwa mifumo
Rais kama mfalme ama sultan anakaa kuiboresha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😕🙄kwa fitina za chama la wana, ati nani awe rais?? Hao fisi wenye kulana wenyewe...mama Salma Kikwete endelea kusaidia yatima, Mungu atakubariki...usidanganyike


Everyday is Saturday............😎
 
Back
Top Bottom