Uchaguzi 2020 Mama Salma Kikwete akiwa Rais ajaye sitashangaa

Agombee kwanza ubunge wa jimbo, akifanikiwa apewe wizara ya mambo ya nje. Hivi anayo shahada yoyote (hitaji la katiba kuwa Rais)
 

Tumekuwa vichwa panzi kweli kweli siku hizi 😂
 

Sijaelewa uhusiano wa post yangu na post yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…