Mama Salma Kikwete

Tupieni na za mama mwinyi mkapa na baba wa taifa tuone!
 
Naona siti ameezeeka sasa, enzi zake nae alikuwa bomba compare na mke mwenzake
Awamu ya tatu mmmh! naogopa mie
Mama Maria twakutakia kila la heri mama


(Mama Maria Nyerere (katikati) Mama Siti Mwinyi (kushoto) na Mama Salma Kikwete)


(Anna Mkapa)
 
Naona siti ameezeeka sasa, enzi zake nae alikuwa bomba compare na mke mwenzake
Awamu ya tatu mmmh! naogopa mie
Mama Maria twakutakia kila la heri mama

Hahahahahaha, mie sina la kusema maana yasije nikuta makubwa.
 
Reactions: ram
Mama Salma Kikwete kuvaa havai sana ila kinachofanya aonekane kupendeza kwenye mavazi ni hiyo round and pretty face yake.
 
Mama viremba anaonyesha kwamba sio lazima ukae uchi au kuvaa vimini ndo mtu upendeze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…