Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

Mama D akiacha biasness ni mtu mmoja smart sana.

Unfortunately inaonekana target yake huwa ni kupinga KILA kitu ambacho hakitokei upande wa serikali.
 
Naam

Mtu wa kwanza naona umekua na hoja kinzani lakini yenye mashiko
 
Unampigia mbuzi gitaa
 
Sawa mkuu ila ume block sana watu kule Twitter. Punguza kujishaua jasusi mstaafu
Sio jasusi huyu maku, alikuwa dereva pale TISS akafukuzwa kwa ajili ya umbeya. Yani anaokoteza umbeya anachapisha kwenye page yake kuhusu kifo cha rais hata secretary pale Mzena alifahamu.

Kafunga comments Instagram na YouTube sababu ni muoga hataki wahoji umbeya wake. Twitter ukihoji ubuyu wake anaookoteza anakulamba block ndio maana huko hana influence hata kidogo watu hawamfatilii.

angekuwa na uwezo huyu mahalun angefunga comments hata hapa ila hana jinsi.
 
Zile kauli na unabii wa Melinda Gate March 2020 zinatolewa chadema March 2021 sijajui kama hizo fikra zimeama bila malipo
YAani mmenpoteza meko ila bado tu mnaendelea kushupaza shingo.
Mtampoteza na huyu pia
 
Unafikiria mama Samia yeye hajui siri alizozijua mzee wetu Magufuli juu ya huu ulaghai wa korona
Kwa ujinga huu na yeye atakwenda.

Umri wake ni miaka 61.
Sasa kama kachoka kama meko aliyedanganywa na gwajima basi aendelee
 
Kwa ujinga huu na yeye atakwenda.

Umri wake ni miaka 61.
Sasa kama kachoka kama meko aliyedanganywa na gwajima basi aendelee
akienda wewe utapata nini? kama ni maisha yataendelea kukuchapa mpaka unaingia kaburini kwa sababu hauna akili.
 
akienda wewe utapata nini? kama ni maisha yataendelea kukuchapa mpaka unaingia kaburini kwa sababu hauna akili.
No comment. Basi mwambie asivae barakoa akbatiane na kila mtu.

Yeye ni mungu mdogo kama meko
 
tafuta maisha upunguze nongwa acha maigizo ya jf upo uchi
Nishakujua ila Ngoja nikutie kwenye ignore list maana unajifanya sana wewe ni mfia meko.
Walivyomuua ndugu yangu ben saanane ulifurahi sana si eti ee?
 
Vaa barakoa Madame President....achana na maigizo ya mtangulizi wako
 
Nishakujua ila Ngoja nikutie kwenye ignore list maana unajifanya sana wewe ni mfia meko.
Walivyomuua ndugu yangu ben saanane ulifurahi sana si eti ee?
wewe ni mganga njaa tu unipunguzii lolote ukiniweka ignore list ,najua una stress za maisha na akili hauna
 
Lisu wakati wa kampeni alikua anavaa barakoa?au ni unafiki tu unawasumbua
Tangu lini mmeanza kumuiga Lissu? Kwa sababu Lissu alifanya makosa wakati wa kampeni haina maana wote tumuige.

Corona ipo na njia moja inayotambulika ya kupunguza maambukizi ni kuvaa barakoa na kukaa umbali fulani na watu wengine. Tusibishie kila kitu kwa sababu tu aliyesema ni mtu ambae tunamuona ni upinzani.

Amandla...
 
unataka lock down nini? hahahahhahah tuanze na familia yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…