Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

WaTz tuchukueni hatua za kujikinga na Covid-19 ikiwa pamoja na kuvaa barakoa. Uzembe na kupuuuza kutatumaliza. Dawa ya kiburi ni kaburi.
Hiki ulichoandika hapa ni sahihi kabisa, anza na familia yako, ndugu zako, ukoo wako upande wa baba na wa mama. Tumia uwezo wako wote kuhakikisha wamekuelewa na wanazingatia maana Dawa ya kiburi ni kaburi kama ulivyosema.

Mimi mbwinu zangu kwenye COVID nilishaanza na nimeshafanikiwa kwa 90%
 
Msitupigie kelele na mibarakoa yenu! Sasa tumeamua na neti hatutaki kutumia tena eti sijui kukinga malaria upuuzi mtupu!
Tuacheni tushavurugwa na msiba, ebo!
 
Msitupigie kelele na mibarakoa yenu! Sasa tumeamua na neti hatutaki kutumia tena eti sijui kukinga malaria upuuzi mtupu!
Tuacheni tushavurugwa na msiba, ebo!
Pole mwaya😭💔💔💔💔
 
Nimependa pale ulipomuonesha kumbukumbu Rais wa moyo wao Tundu Lissu akichanja mbuga kwenye mikusanyiko bila barakoa.

Halafu kina Evarist Chahali na wenzake wanasema watanzania watakufa kule kwenye kumuaga rais sababu hakuna social distancing wala barakoa

Wenyewe wanasema mbona huyo tundu alikuja bila barakoa na hakufa
 
Atakwambia alikua hakai nyumba 1 na Mama Janet, walikua wanaingia mlango mmoja ila ndani ya ule mlango kuna nyumba ingine mama janet anaenda na Mh. anaenda.

Let this people talk,you can not stop them "we can only ignore them"
Usidharau kila taarifa unayoambiwa. Hao ni watu na wanaishi na watu.

Wewe ulijua Magu ana watoto 7 Wakati Janet wake ni wawili 2 ??
 
2-Image-from-iOS-19.jpg
 
Nimependa akili ya kumvalisha mama Janet Barakoa..

Pretty not her idea..

Ni set up ya kuhamisha magoli taratibu(strategic good move)..

Kwa nini asingevaa since then and why now?

Mama Samia kuvaa barakoa si suala la kukurupukia, anatakiwa alihandle with great wisdom.

Kuna Public perception ambayo tayari imeshatengenezwa na the late kuhusu korona, ambayo ilipata uungwaji mkono si tu na wananchi ila pamoja na safu yake yote ya uongozi.

Kwa maoni yangu kubadili huu mtizamo si suala la kukurupukia...

Anaweza kuvaa barakoa hata sasa, but guess what pro-magufuli watamuona kama msaliti na aliyekuwa na nidhamu ya woga sana. Which is not a good starting point.

Na endapo atakurupukia hiyo barakoa, huenda kuna hatihati ya kuligawa taifa badala ya kuliunganisha mapema.

Nawasilisha
Good analysis!!!
 
Evarist MKUU mbona unabeba tumizigo ambato sio saizi yako!

Itunze heshima yako MKUU tuhoja kama hutu sio twa kutoa mtu kama wewe.
 
WANAFIKI WANAONEKANA KWA MACHO ...KINA JAFFO NA KABUDI WALIOKUWA WAIMBA SIFA NA KUMTIA NDIMU MAGUFULI ASIVAE BARAKO LEO HII WAO NDIO WANAVAAA

SAMIA JIEPUSHE NA WANAFIKI
 
Evarist Chahali Kama hofu yako ni maambuki ya COVID 19 fanya kitu chochote kilicho ndani ya uwezo wako kutoa suluhu kwa hao watanzania unaowaongelea hapa akiewemo rais wetu. Kumbuka hakuna rais wa nchi bila wananchi

Na nikukumbushe makusanyiko ya watu bila barakoa wala sanitzer yapo nchi nzima. Hata ukimuuliza Tundu atakuambia alikua anaingia hadi kariakoo bila barakoa.

Labda sababu wewe na ukoo wako mnaishi ughaibuni ndio maana hujui. ila kama una ndugu huku waulize vile wanaishi watakusaidi labda ili uweze kulisaidia taifa lako

Kama nia yako ni COVID 19 acha kulalamika fanya kitu chochote kilicho ndani ya uwezo wako kutoa suluhu kwa hao watanzania unaowaongelea hapa.

Na kwa msaada zaidi nikukumbushe makusanyiko ya watu bila barakoa wala sanitzer yapo nchi nzima.

Labda sababu wewe na ukoo wako mnaishi ughaibuni ndio maana hujui..... ila kama una ndugu huku waulize vile wanaishi watakusaidi labda ili uweze kulisaidia taifa lako


Hii ni Kawe leo




Hii ni Mwenge leo




Kariakoo 5 months ago







Hii ndio hali halisi

Wanajifanya vipofu kisa Lissu
 
Group linalomzunguka ndio linampumbaza namshauri alitimue lote... Akae sana na Kikwete atamsaidia Kikwete hajawahi Shindwa vita yeyote even Marehemu alimtafuta sana akaambiwa utaondoka wewe Jk Mtoto wa Mjini

Kwahiyo JK hatakufa kwakuwa ni “mtoto wa Mjini”?
 
Back
Top Bottom