Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

Ukiangalia takwimu za maabukizi na vifo vinavyo sababishwa na kovid Duniani, atakuta asilimia 95.5% ya watu wanapata ugonjwa na kupona - wanao kufa wengi wao wana tatizo la ziada la kiafya, kwa kifupi COVID-19/21 haiwui vile - watengenezaji wa chanjo ndio wanatumia main stream media kuleta taharuki Duniani wanataka chajo zao ambazo hazijafanyiwa tafiti na majaribio ya kutosha wanalazimisha WHO waziingize sokoni bila ya kujali madhara ya kutumia half cooked Frankestein vaccines.

Kawaida ya chanjo zinapashwa kufanyiwa majaribio ya takribani miaka mitano kabka hazija ingizwa sikoni - hivi sasa chanjo za makampuni ya magharibi yanaonekana kutumia nguvu nyingi za ushawishi kulazimisha Dunia itumie chanjo zao zenye walakini mkubwa - swali la kujiuliza hapa ni kwa nini nakampuni hayo yanapiga vita madawa ambayo ni very effective katika kudhibiti na kuponya virus vya kovid, mfano: cheap wonder drug "ivermectin" ambayo haina madhara ilianza kutimika kuanzia kwenye miaka ya 70s kutibu wanyama na baadae bunadamu dhidi ya magonjwa ya matende pamoja na river blindness.

Ingekuwa busara kama dawa hizo ndio zingepewa kipaumbele kuttumika kutibu watu wakati chanjo zikifanyiwa tafiti na majaribio ya muda mrefu ili Dunia ijiridhishe kwamba chanjo hizo hazina madhara kwa matumizi ya wanadamu - WHO ifanye kazi zake za msingi sio ya kugeuzwa madalali wa kupigia debe chanjo za Bill Gates na mkewe wakishirikiana na World Bank kutaka kuziingiza mkenge third World wachukuwe mkopo World Bank kununulia chanjo za makampuni yanayo fadhiliwa na William Gates na mkewe - Serikaki za kiafrika zibapashwa kuwa makini na genge hili ovu.
 
Group linalomzunguka ndio linampumbaza namshauri alitimue lote. Akae sana na Kikwete atamsaidia Kikwete hajawahi Shindwa vita yeyote even Marehemu alimtafuta sana akaambiwa utaondoka wewe Jk Mtoto wa Mjini
Mlikuwepo wakati anamtafuta, watu wambea!
 
Kitendo cha kumu expose mama kwenye halaiki kama hiyo bila kuvaa barakoa kinatia huzuni na kinaonyesha sisi ni wabishi Tena ubishi wa kijinga inaumiza Sana.
 
Ikitafsirika mnaliweka taifa na usalama wake at risk watakuwa wanakosea.
 
Ungekuwa wewe ungeweza kumwambia samia avae barakoa?
Unakijua cheo cha samia vizuri?
 
Mwacheni Mama! Huenda anayaenzi maneno ya Hayati bosi wake kwa vitendo.
 
Unaeleweka.
Kuanzia mwezi Mei mwaka 2020, hakuna Mtanzania hata mmoja aliyekufa kwa Covid...
Hakuna asiyekuwa mjinga dunia hii. Nauliza ili unitoe huo ujinga kwenye hili ili nibaki na ujinga wa vitu vingine.

Wengine (akiwemo Kijazi) tuliambiwa ni shida ya upumuaji(hii nilishahisi ni COVID-19) ila kwa JPM hatukuambiwa, ndio maana nilitaka unieleweshe juu ya kauli yako.

Hata ukinijibu kistaarabu nitaelewa.
 
Inaumiza sana tukisema haya sisi ndio tunaonekana sio wazalendo.
 
Coronavirus ni project ya mabeberu kutaka kuitawala dunia! RAIS NA VIONGOZI WOTE VAENI BARAKOA, SOCIAL DISTANCING NA HAKUNA KUSHIKANA MIKONO. Sasa, kama wale wanaosimamia usalama wa Rais hawalioni hilo, basi ni bahati mbaya sana!

Lakini wakae wakijua kuwa, mabeberu yanaweza kuwahujumu viongozi wetu wa juu kwa kutumia maambukizi ya corona. Misimamo yetu na Vita vya kiuchumi bado kuisha! WAKE UP! COVID-19 INAWEZA KUTUMIKA KAMA BIOLOGICAL WEAPON AGAINST OUR LEADERS!
 
Evarist Chahali nani aliyekwambia Barakoa ndo inakinga Corona ? au akili zako na uwezo wako wa ufahamu ndo umeishia hapo?...
Kinachoshangaza ni kila mtu kujigeuza mtaalamu wa tiba.... Kma wataalam wa WHO ambao wana PhD kabisa za masuala ya virology wameshauri (Not limited to) Barakoa kma tool ya ku control maambukizi mnapokuja na ujuaji mwingi ina maana wao hawakufanya risk assesment?

Kama tumekataa barakoa tuseme tumeamua tu sio kuanza kuzitolea kasoro za kisayansi ili kujustify. Kwani nani kakataza tusitengeneze za kwetu? Mbona kuna barakoa za vitenge? Zote zinatoka kwa mabeberu?
 
Naomba kueleweshwa kwa ushahidi wa kitaalam namna gani barakoa inazuia COVID, maana nachanganyikiwa kabisa katika jambo hili
 
Back
Top Bottom