mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Basi WatuacheeeeWako Twitter hawajui kinachoendelea nchini
Maneno tuuuuuuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi WatuacheeeeWako Twitter hawajui kinachoendelea nchini
Hii comment😎Acha akili za kipimbi.
Joe Biden kachanjwa lakini muda wote kavaa barakoa.... inawezekana yeye Mh. Rais ana kinga dhidi ya Corona
Hii umeitoa kwenye kijiwe gan cha kahawa....??Group linalomzunguka ndio linampumbaza namshauri alitimue lote... Akae sana na Kikwete atamsaidia Kikwete hajawahi Shindwa vita yeyote even Marehemu alimtafuta sana akaambiwa utaondoka wewe Jk Mtoto wa Mjini
Mhe Rais ni bingwa kujifukiza Kuliko meko?Usiwachoshe waombolezaji kwan kaanza leo kutokuvaa? ? Mama kajifukiza inatosha msilazimishe tuamini tiba za wazungu
Lemme remind you Mr Fugitive modern war is all about infiltration, invasion is no longer a theme....as long as Double S won't step on their interests we all know Corona sio weapon😉.
Have a cup of tea...
Endeleeni na ubishi wenu muendelee kupukutikaKwani ndio leo ameanza kutokuvaa barakoa?
Mbona ishaondoa wapendwa wetu wa kutosha. Au mwenzetu huna ndugu wa rafiki wa karibu aliyepitiwa na huyu mdudu Cov 19?Kwa kauli za huyu jamaa maana yake usipotambua covid lazima ikuue hii project kwa Tanzania nadhani wakubali imefeli waanzishe project nyingine
Mhe Rais ni bingwa kujifukiza Kuliko meko?
Meko ndo nan we kichaa?Mhe Rais ni bingwa kujifukiza Kuliko meko?
... that's the meaning of leadership! Unavaa barakoa sio kwa ajili yako zaidi ni kwa ajili ya kuwakinga wengine!Joe Biden kachanjwa lakini muda wote kavaa barakoa.
Hongera sana kwa comment mzuri sanaNikweli hajaanza leo kutovaa barakoa mama D, lakini hata akianza leo sio mbaya, hali huku mtaani sio nzuri, najua wao wanajua zaidi yangu hali ilivyo lakini wanasababu zao ambazo gharama zake zimefikia pakubwa, Mama Janet sio mjinga, naamini hapo kuna ujumbe ametuma.
Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).
But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...
Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."
View attachment 1731079
Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080
Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.
Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.
I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.
I stand to be corrected.
Na mtapukutishwa sana tuKwa kauli za huyu jamaa maana yake usipotambua covid lazima ikuue hii project kwa Tanzania nadhani wakubali imefeli waanzishe project nyingine
Hivi unabiashara ya Majeneza?Kwa kauli za huyu jamaa maana yake usipotambua covid lazima ikuue hii project kwa Tanzania nadhani wakubali imefeli waanzishe project nyingine
Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).
But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...
Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."
View attachment 1731079
Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080
Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.
Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.
I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.
I stand to be corrected.
tatizo mmeichukulia barakoa kama chama pinzani. mmeshazika wengi mpaka kinara wa kupinga barakoa, ajabu bado mmekaza shingoKwani ndio leo ameanza kutokuvaa barakoa?
Kama watu walivyo jazana pale uhuru lazima kutatokea mlipuko wa hatari... inawezekana yeye Mh. Rais ana kinga dhidi ya Corona but as a leader anatakiwa kuonesha uongozi dhidi ya Corona kunusuru mamilioni ya watanzania wengine ambao pengine hawana kinga kama zake. Kinachoonekana ni kuipuuza Corona na, as an icon, wengine watamwiga na kuishia kuteketea!
kushauri kuvaa barakoa ni ujuaji?Msituchoshe,Mmeshaanza ujuaji wenu tena
Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).
But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...
Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."
View attachment 1731079
Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080
Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.
Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.
I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.
I stand to be corrected.