Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

Evarist Chahali nani aliyekwambia Barakoa ndo inakinga Corona ? au akili zako na uwezo wako wa ufahamu ndo umeishia hapo?

Corana haiambukizi kwa njia ya hewa yani kupumua corona virus ili kutoka kwa mwanadamu mmoja kwenda kwa mwingine kunaitajika kuwepo na third part ambapo ni contaminated area ambapo victim anagusa

Katika njia zote ambazo wataalamu wa afya wanasema zote zinalenga kitu kimoja tu ambacho ni maji maji yanatoka kwa njia ya mdomo na pua na ndo njia ambazo virusi wa corona wanaingia kupitia sehemu hzo. Je huoni kwamba tunavaliswa barakoa hili kutuzuia tusiguse pua au mdomo? kwani akiwa na hand sanitizer hawezi kuwa protected dhidi ya virusi vya corona? kama target area ni kushika midomo na pua?

Kingine tazama madhara ya kuzuia Respiratory system na Gas exchange hasa kwa wenye magojwa ya Moyo,Kisukari,Figo na kisukari? hivi unajua hewa unayovuta na kutoa unapovaa barakoa inakuwa ktk form gani? je ni Oxygen au ni mchanganyiko wa Oxygen na Carbon dioxide?

Why turisk wagojwa wa magojwa hayo kwa hoja ya kuzuia mtu kugusa mdomo na pua je hatuwezi kutumia njia zingine kama kunawa mikono na kutumia vitakasa mikono (Hand sanitizer) kuliko kucheza na mapafu na organs zingine 27 ambazo kwa pamoja zinakamilisha mfumo wa upumuaji?
 
Usiwachoshe waombolezaji kwan kaanza leo kutokuvaa? ? Mama kajifukiza inatosha msilazimishe tuamini tiba za wazungu


Lemme remind you Mr Fugitive modern war is all about infiltration, invasion is no longer a theme....as long as Double S won't step on their interests we all know Corona sio weapon😉.


Have a cup of tea...
Mhe Rais ni bingwa kujifukiza Kuliko meko?
 
Kwa kauli za huyu jamaa maana yake usipotambua covid lazima ikuue hii project kwa Tanzania nadhani wakubali imefeli waanzishe project nyingine
Mbona ishaondoa wapendwa wetu wa kutosha. Au mwenzetu huna ndugu wa rafiki wa karibu aliyepitiwa na huyu mdudu Cov 19?
 
Joe Biden kachanjwa lakini muda wote kavaa barakoa.
... that's the meaning of leadership! Unavaa barakoa sio kwa ajili yako zaidi ni kwa ajili ya kuwakinga wengine!
 
Nikweli hajaanza leo kutovaa barakoa mama D, lakini hata akianza leo sio mbaya, hali huku mtaani sio nzuri, najua wao wanajua zaidi yangu hali ilivyo lakini wanasababu zao ambazo gharama zake zimefikia pakubwa, Mama Janet sio mjinga, naamini hapo kuna ujumbe ametuma.
Hongera sana kwa comment mzuri sana
 
Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).

But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...

Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."
View attachment 1731079
Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080
Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.



Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.

I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.

I stand to be corrected.

Mmeanza wachambuzi uchwara, chuki zenu kwa jpm, won't help anything. Better shut up and go to sleep.
 
Kwa kauli za huyu jamaa maana yake usipotambua covid lazima ikuue hii project kwa Tanzania nadhani wakubali imefeli waanzishe project nyingine
Na mtapukutishwa sana tu
 
Kwa kauli za huyu jamaa maana yake usipotambua covid lazima ikuue hii project kwa Tanzania nadhani wakubali imefeli waanzishe project nyingine
Hivi unabiashara ya Majeneza?
 
Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).

But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...

Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."
View attachment 1731079
Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080
Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.



Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.

I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.

I stand to be corrected.

Msituchoshe,Mmeshaanza ujuaji wenu tena
 
... inawezekana yeye Mh. Rais ana kinga dhidi ya Corona but as a leader anatakiwa kuonesha uongozi dhidi ya Corona kunusuru mamilioni ya watanzania wengine ambao pengine hawana kinga kama zake. Kinachoonekana ni kuipuuza Corona na, as an icon, wengine watamwiga na kuishia kuteketea!
Kama watu walivyo jazana pale uhuru lazima kutatokea mlipuko wa hatari
 
Kuna uwezekano wa kuwa na Rais mwingine mpya miezi michache ijayo kama huu uzembe wa hali ya juu wa kuendelea kuidharau COVID kwa kutovaa barakoa na kuheshimu social distance.
Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).

But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...

Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."
View attachment 1731079
Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080
Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.



Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.

I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.

I stand to be corrected.
 
Back
Top Bottom